Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

Diamond Platnumz: Mdee ni Mzigo Jimbo la Kawe

Kwanini alitoa ahadi kwa wananchi kuwa katika ubunge wake huu atahakikisha barabara inajengwa? Ikiwa alijua yeye sio serikali in the first place!

Alikotokea kabla ya kuhamia Madale kulikuwa na lami hadi mlangoni?
 
To whom it may concern:Never ever play with Halima Mdee.Generaly she is the best in our politics
 
mwambieni huyo diamond alipe kodi kwanza ndio adai maendeleo miaka yote ya uhuru hilo jimbo lipo chini ya ccm sasa anataka miaka mitano ya mdee ijengwe barabara
 
mdee is incompetent if she cant fight for simple road then she is not fit to be re-elected.
 
Hilo siyo swala kumulaumu mdee tu pengne Dada wa watu alishalipigia kelele sana swala lakini utukerezaji wa serikali yetu ya ccm ndio shida diamond angepaswa kuilaumu serikali ya magamba isiyo sikia kelele za wanachi wAke
 
Kwani Halima Mdee anakusanya kodi kutoka kwa wananchi au ameskia wapi kuwa mbunge ndio mwenye maamuzi ya barabara gani ijengwe? Acha Umbulula wewe

ingekuwa imejengwa mngesema mdee kajenga ila kwakuwa haijajengwa basi mnasema sio jukumu lake! Punguzeni kuchunguza mambo kwa bias!

Kwa mtazamo wako huu kila mtu anaweza akawa mbunge coz mbunge hana kazi!

Aliahidi ataijenga sasa hajaijenga halafu unataka tumlaumu nani? Sisi tumemtuma yeyd kitendo cha kushindwa anapaswa kulaumiwa!

Mimi vijana siasa zenu za kutetea uchama zinaniboa sn!
 
Hilo siyo swala kumulaumu mdee tu pengne Dada wa watu alishalipigia kelele sana swala lakini utukerezaji wa serikali yetu ya ccm ndio shida diamond angepaswa kuilaumu serikali ya magamba isiyo sikia kelele za wanachi wAke

ilimpasa mdee alete mrejesho wa ahadi zake, why barabara haijajengwa! Kwa mtazamo wako huu basi hakuna mbunge anaepaswa kulaumiwa ktk jimbo lake!
Hovyoo!!
 
Hivi ile barua ya TRA kuhusu kodi iliishia wapi, au Diamond alilipa.!
 
Halima Mdee ana kampuni ya ujenzi wa barabara?
Siku tukijua nani wa kumwajibisha nchi yeru itasonga mbele.
Kwa sasa adui ujinga bado anatutesa

Bado kabisa hatujamshinda adui ujinga.

Na tatizo kubwa lililopo ni hatumjui vizuri huyo adui.

Ni ngumu kumshinda adui ambaye humjui vizuri.
 
Alikotokea kabla ya kuhamia Madale kulikuwa na lami hadi mlangoni?

kwahiyo km hakukua na lami ndo na mdee kaona asiweke lami? Hebu jifungueni pingu za fikra mbn jambo jepesi hivi mnataka kuwafanya wananchi mbulula! Hata km unakipenda chama ila kikiharibu sema ukweli.

Mdee ni iron lady hilo sikatai ila kwa hili la barabara anapaswa kulaumiwa acheni siasa za maji taka! Ni bora umwambie ukweli aumie kuliko kumwambia uongo acheke! Km ndo huwa mnashauriana hivi mnampoteza mdee kwa kutanguliza uchama mbele na kujifunga macho kana kwamba hamuoni!
 
Kama yeye anasema amejenga nyumba ukiingia bila raamani unapotea sasa inakuaje asiisaidie nchi yake kwa kujenga barabara kwa grader tu kiwango cha Changarawe..mchango wake ni nini kwa Nchi yake huyu Diamond?
 
Simshangai huyo Mkata viuno maana akili zake zipo kwenye zipu wala hajui nani mtengeneza barabara!!!
 
Ha ha ha ha,Diamond anadhani siasa ni sawa na mchezo wake wa kubadilisha wanawake kila uchao.Atuachie kabisa ulingo wa siasa.
Yeye asubirie tu kutembeza hilo domo lake hyo october kwenye siasa zao uchwara ndani ya CCM.
Akome kabisa kuongelea mambo ya siasa kabla hatujamshusha kisanii mashabiki vininevyo kama ameshavimba kichwa aendelee ataona.
 
Maelezo yako mazuri na ya nafafanua vyema mada. Hata hivyo ulivyomalizia umeonyesha ni shabiki wa mfumo dume. Kwa nini tu iwe wakati akiongea na wanaume!?
Sikumaanisha wawe wanaume tuuu...nilichomaanisha kwa lugha nyingine kuwa kama hakuna LADY mwingine wa kureplace nafasi ile basi wamfundishe Manners ...ndio maana nikasisitiza NI VIZURI kuwa na Binti pale na kama hakuna mwingine basi ELIMU ya kumfanya aonge kama MSTAARABU impitie ili kumshape aendane na wanaume anaokuwa nao pale. Biologically wanaume uwa hawapendi kufanya maongezi na mwanamke anaepayuka na asiye na break...mbali na hayo mwanaume wa kiafrika amefundwa kuwa na subira ndio maana akiwa mtoto ikitokea akalia kwa sauti kubwa Mama yake na wanafamilia wengine ufunza kwa kumwambia USILIE KAMA MWANAMKE...tafsiri yake ni kumwambia awe na staha ya maneno... Sasa Mwalimu Mama kamfundisha Mtoto hivyo na Dunia inasema NANI KAMA MAMA!!! [au unalipinga ilo umpinge Christian Bella na ommy Dimpoz] na kwa semi hizo Mama kamfundisha mtoto wa Kiume kuwa Mwanume hivyo alivyo akitoka huko akafika kwa wanadunia tunasema ASIEFUNZWA NA ***** UFUNZWA NA DUNIA. Mtoto wa kike nae akikaa na Mama yake ufundishwa kuwa na adabu na heshima na hasa kuwa na staha...akifikisha muda kuwa binti [Kuvunja sahani] basi kundi la kina shangazi, bibi na wakina mama wa familia wanafunisha mambo ya msingi ya kujitambua.Na anapokaribia kuingia kwenye ndoa nako wanapatikana wakina mama wakiwemo makungwi kumwelimisha jinsi ya kuishi na wanaume wenzie. Ni sisi binafsii kama wanaume kuna mambo binafsi tumejifunza pia kujua hali za wenzetu wa jinsia tofauti wanatabia zipi kulingana na mazingira na nyakati. Sasa kwa level ya binti wako mpaka anafika hapo anapaswa kujua tabia za kiume, basi atakujifunza kupitia tabia za mpenzi wake kama sio mume wake [Male Behavioral]. Habari yako ya mfumo dume hayo ni yako ...Angel Macal ana namna ambayo anajua kabisa kuwa akikutana na wanaume G8 [G8 boys] alishajifunza akae vipi nao ili wakubaliane na ajenda zake.
 
Sasa hapo mzigo Halima au wakusanya kodi?
Naomba kwa anayejua wasanii wetu wanalipa kodi? au wanatozwa nje ya nchi
kama wanapoenda marekani.
 
Nitahakikisha nanunua meli kubwa kuliko mv Bukoba kwenye maziwa yote 3; Victoria, Tanganyika na ziwa Nyasa. By JK.
 
Back
Top Bottom