Usipanik please, kanunue bidhaa kutoka kwenye duka lenye EFD hata kama ni penseli utaona kodi unayolipa. Kajifunze aina za kodi kwanza ndio uje hapa. Mdee lazima ajifunze..kuna haki na wajibu, sie tumemchagua yeye awakikishe matatizo yetu. Wanaowakilishwa vizuri wamefanikiwa
Kama wewe ni mbunge na katika jimbo lako kero hazitatuliwi, ujue tu hauna ushawishi.
Katika hali hiyo ya kukosa ushawishi, basi hufai kuwa mwakilishi wa wananchi husika. It's simple as that.
Halima, time to go!
Ni ku influence mipango na vipaumbele serikalini ili apate upendeleo jimboni kwake...Tunaomba utusaidie huko kuwakilisha vizuri na kuwasilisha vibaya kukoje kwani!!!.
Wana Ukumbi,
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.
Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope tu!
Diamond alieleza masikitiko yake huyo kupitia katika kituo cha Clouds TV pale alipoulizwa swali kuhusu makazi yake mapya yaliyopo katika jimbo la Kawe na ndipo hapo akafunguka kuhusu suala hilo la kero ya barabara ambalo lina muda mrefu alijashughulikiwa na mbunge Halima Mdee.
Hasira za nini? Nyuma na ukuta si dhani kama ni mada. Mada ya ukuta wake kuangua ilishaletwa humu watu wakaipotezea kwa kukosa mshiko. Hiyo mada peleka magazeti ya shingongo na michuzi blogDomo akae kimya tu,bilionea unajenga ukuta ambao ukija upepo unadondoka? Bilionea unakaa kwenye kiwanja kama kiganja ambacho hata hakijapimwa?
Wenzake wasanii waliopata fedha wanaajiri washauri wakuwafundisha nini cha kusema kwenye public hasa kama elimu na upeo wa maarifa vimekupita pembeni. Kama hao clouds wamemtumia bila kujua kauli hii yaweza Kumponza.
Wana Ukumbi,
Msanii maarufu nchini mwenye mafanikio makubwa katika sanaa ya mziki wa kizazi kipya, Diamond Platnumz, amevunja ukimya wake juu ya ubovu wa barabara iendayo Madale ambayo ipo kwenye jimbo la Kawe chini ya Halima Mdee.
Msanii huyo ameelekeza lawama zake kwa mbunge huyo wa kupitia tiketi ya CHADEMA kwa kuwa Halima Mdee aliahidi wananchi wa jimbo hilo kuwa katika kipindi chake cha ubunge atahakikisha barabara hiyo inajengwa kwa kiwango cha lami, lakini hadi hii leo barabara imejaa tope tu!
Diamond alieleza masikitiko yake huyo kupitia katika kituo cha Clouds TV pale alipoulizwa swali kuhusu makazi yake mapya yaliyopo katika jimbo la Kawe na ndipo hapo akafunguka kuhusu suala hilo la kero ya barabara ambalo lina muda mrefu alijashughulikiwa na mbunge Halima Mdee.
Kunapesa inaitwa mfuko wa jimbo anafanyia nini au kulewa ndiyo matumizi menyewe?hahaa halima anatakiwa kujenga barabara ya madale toka kwenye vyanzo gani vya mapato?? kila anapoenda nyumbani kwa mkuu wa kaya hakumbuki kumwambia madale hakuna lami anaishia kupiga picha za kupost IG tu.... huyu mwisho atamlaumu halima hata kwa ule ukuta wa nyumba yake uliodondoka......
kweli ukisikia akili za kukopa ndo hizi