Dhuluma inayofanyika Ndanda secondary haikubaliki

Status
Not open for further replies.
tuko tayari kwa hilo lkn na watoto wenu pia hawatasoma kwa amani. Tutazama wote inshaallah.
Thubutu yako, hunauwezo huo, nakuhakikishia waislamu wenye nia njema na wanafunzi wengine watasoma kwa raha mstarehe wakati wewe utakuwa unauguza vidonda kwenye hospitali ya wamisionari Ndanda hapo hapo, na wanaokuchochea hawatakupatia msaada wowote.
 
huu ni upimbi,hivi niambieni shule gani ya kiislamu;jumuia Tanga,Kinondoni muslim na nyinginezo kuna ambayo imejengwa kanisa ndani yake?wanafunzi wakristo hawasomi humo?mbona wao hawadai kujengewa kanisa au kwa vile dini yao siyo dini ya fujo?angalieni shule ya ndanda imejengwa katika eneo la Abasia ukielekea juu kutoka hospital kwenda printing press na chemchem upande wa kulia ni kanisa,Abasia,Ndanda girls hostel na viwanda na upande wa kushoto ni shule na mahakama vimetenganishwa na barabara.Kanisa halipo shuleni lipo nje ya eneo la shule,kudai msikiti ndani ya shule mwisho mtadai wamisionari wasifuge nguruwe katika eneo lao ambalo si mbali na shule tena ni kuvuka mto tu.Mkumbuke miaka ya 1980 mwishoni hapo Ndanda kulitokea mgogoro kama huo waislam walitaka kwa nguvu kujenga msikiti katika eneo la shule ya msingi Ndanda ambayo iko katika eneo halali la Abasia pamoja na wamisionari kuwapa eneo jingine na kuahidi kutoa vifaa na msaada wote wa kiufundi na gharama. Wakafanya maandamano na zikiri lakini FFU walifanya kazi na mahakama ikatoa hukumu wakapigwa chini nakumbuka waziri wa mambo ya ndani alikuwa Muhidini Kimario alikuja pale.Tumieni busara mambo ya kulazimisha hayana faida,hawa wenzenu wanatumia akili sana na umakini ktk mambo yao,shule inaendeshwa na serikali lakini eneo ni la kwao kwa hati miliki zote bado hamuwezi kuwalazimisha kujenga wasichokitaka.

milembe wanakutafuta wewe! Labda nikuulize ikiwa shule inajengwa juu za ardhi inawezekana kuchukua majengo na kuacha ardhi?.
 
hiyo ndiyo kubwa ila nakuongeza nyingine vijana wa kiislam walifanya ibada ya kufunga na kuchangishana pesa ili wale(ftari) kwa pamoja lkn mkuu wa shule akadai kwamba wamechanga hela ili wanunue petrol wachome shule.

ivi huoni aibu kuandika haya maneno......

Kwa ili natamani mi ndo ningekuwa mpokea barua zenu za maandamano niwatoe kwa viboko hadi huko madrasani kwenu
 
Acha kutukana dini dini za watu wewe pambaf.Bora ungenda wewe regia abaki manake wewe ni mzoga unaosubiri kunuka


Pork
338 × 338 - 25k - jpg
interbayfoods.com

Chinese roast pork, adapted from Pablo's recipe…
580 × 380 - 121k - jpg
yeinjee.com

Pork Bans in New Zealand Considerations are being made by the Ministry of ...
400 × 300 - 98k - jpg
topnews.net.nz

When tender cut into thick slices and serve with the sauce for your pork ...
351 × 450 - 31k - jpg
a-taste-of-france.com

BONED, ROLLED LEG OF PORK
600 × 600 - 157k - jpg
deliciousmagazine.co.uk

Photo of Pork
485 × 700 - 70k - jpg
okinawaindex.com

We eat a lot of pork in this family, even given my father's Germanic ...
520 × 347 - 42k - jpg
simplyrecipes.com

Pork
401 × 332 - 27k - jpg
free-extras.com

pork butterfly chop = butterfly pork chop = pork loin butterfly chop Notes: ...
434 × 294 - 7k - jpg
foodsubs.com

Cajun pork fillet
356 × 355 - 35k - jpg
lovepork.co.uk

Slow-Roasted Pulled Pork Recipe enlarge
300 × 300 - 31k - jpg
myrecipes.com
iloveporkribs.com

The general ingredients for Dongpo pork are pork belly, wine, ...
580 × 380 - 125k - jpg
yeinjee.com

But they do know that it's okay to eat pork belly every week in moderation, ...
463 × 354 - 248k - jpg
appetiteforchina.com

File:Pork chops served.jpg
1760 × 1168 - 538k - jpg
en.wikipedia.org

BONED, ROLLED RIB OF PORK
600 × 600 - 156k - jpg
deliciousmagazine.co.uk

*Based on values for 100 grams of broiled pork tenderloin; Source: Canadian ...
750 × 579 - 85k - jpg
putporkonyourfork.com

brown gravy mix 8 thin rib pork chops (about 11/2 lbs.), trim off fat
550 × 412 - 51k - jpg
microwaverecipescookbo...

Szechuan Pork Recipe enlarge
300 × 300 - 38k - jpg
myrecipes.com

Crispy Roast Pork Belly Procedures
500 × 333 - 40k - jpg
en.christinesrecipes.com
 
Umenena vema Mkuu lakini hapo kwenye alama... labda kama nimekuelewa vibaya kuwa na wewe unamaanisha kuwa kanisa lipo ndani ya shule, kanisa la Ndanda halipo ndani ya eneo la shule. Mimi nimesoma hapo O level. kanisa lipo nje kabisa ya eneo la shule

Nashukuru kunisahihisha kidogo, ila halikombali na shule, nikando yake, na nakumbuka shule iko pale Ndanda kama unaelekea kijijini kwa Mkapa kijiji cha Mkoa kama sijachanganya.

Shule nyingi zilizojengwa na wamisionari zilikuwa na makanisa maeneo ya shule. Mfano shule ya ufundi Peramihom Songea kanisa lilijengwa ndani ya chuo ambacho hapo awali kilikuwa chuo cha ualimu. Baadaye baada ya kuona nafasi na majengo hayatoshi kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wa chuo hicho, waliamua kutafuta pesa na kujenga chuo kikubwa Songea mjini karibu na Matogoro nadhani kwa sasa nadhani kitakuwa ni mchepuo wa chuo kikuu. Tunahitaji kujifunza historia ya mambo haya badala ya kulalamikia tu bila kujali utunzwaji wa historia hizi tulikotokea tuzitunze vipi.
 
ni takriban wiki nne sasa wanafunzi 63 wa kiislam wanaosoma shule ya secondary ya ndanda wamesimamishwa na wengine kupewa masharti magumu ili warudishwe ikiwa ni pamoja kutofanya ibada wakiwa eneo la shule, kutozungumzia jambo lolote linalohusu dini yao ilihali wenzao(wakiristo) wanafanya watakavyo ikiwa ni pamoja na kufanya mikesha ktk kanisa lililopo shuleni hapo. Rai yangu ni serikali kutoa fursa sawa ya kuabudu kwa dini zote pia kumchukulia hatua za ni dham mwalim mkuu wa ndanda secondary ambae anafanya ubaguzi na kejeli dhidi ya uislam. Boko haram Nigeria ilianza kama hivi. Tamsya(vijana wa kiislam Tanzania mashuleni na vyuoni) wametoa Tamko la mgomo na maandamano nchi nzima kulaani tukio la ndanda na kutaka wanafunzi waliosimamishwa kwa kuomba eneo la kufanyia ibada warejeshwe mara moja. Utakua mgogoro endelevu mpaka madi ya msingi yasikilizwe. Vibali vya mikusanyiko na maandamano vimeombwa nchi nzima kuanzia siku ya ijumaa iwapo madai yaliyoainishwa hayatatekelezwa mpaka siku ya alhamiisi. Waislam nchi nzima tuungane kwani Hizbullah ni lenye kushinda.
Ingawa mimi sio mdini kama ulivyo wewe, nadhani kitendo cha mkuu wa shule hakikuwa sahihi, najua sana wa dini yako pia wanapenda fujo sana na muda wote wanadhani na kuona wananyimwa nafasi sawa na wengine, pengine upo utaratibu mwingine mzuri tu wa kufuatwa na wangepata haki zao za kuabudu kama wengine...nadhani hata pia wewe ulienda shule na unajua mazingira ya shule zetu
 
Thubutu yako, hunauwezo huo, nakuhakikishia waislamu wenye nia njema na wanafunzi wengine watasoma kwa raha mstarehe wakati wewe utakuwa unauguza vidonda kwenye hospitali ya wamisionari Ndanda hapo hapo, na wanaokuchochea hawatakupatia msaada wowote.

hata Ghadaf hakuamini kilichotoke LIBYA.
 
hakuna mtu mweusi hata mmoja mwenye guts za kujilipua...acheni kutishia hata hao boko haram hawajitoi mhanga,.dini imani sheikh kama unaamini allah wako ni muweza wa yote mwachieni yeye na haki itaonekana kama kweli mnaonewa.

Boko haram ni weusi kaka na wanajilipua!
 
wewe ugawafisi ndiyo unatafutwa tena siyo mirembe unatakiwa ukatibiwe kwa vichaa wa wa India,wewe ni mchanga unadandia hoja hujui historia chimbuko wala taratibu hizo tende za bure na ahadi za kupelekwa afghan stan unadandia hoja tunajua mnanufaika ktk vurugu ili mpore watu kwa posho mnazopewa tunaamini serikali ina vichwa makini kuwashughulikia watukuktu na wakorofi vinginevyo kesho mtadai kujenga msikiti ndani ya saint Joseph,niambie Kinondoni muslim kuna kanisa?
 
wamewasimamisha tu?
wangewafukuza kabisa

kama vipi wahamie kinondoni sec au al muntazir wakachukue maziro yao, waingie mtaani kutengeneza tape za udini wauze.
 
Hapa, kazi ipo..........Ijumaa tutawakumbusha mapema kabisa mkaandamane na kumchapa mkuu wa shule ya Ndanda.:A S-coffee:

Maneno mengi ya nini?
 
MS uislam ni kusema uongo? mungu wako anapokea uwongo kama huu? ulaaniwe kwa kujinufaisha kwa uongo shetani usiena aibu.

naibu waziri wa ndugu Mulugo alikwenda ndanda kuongeza tatizo na mwalim mkuu aliandaa vijana ili wajifanye ni waislam na kuwakandamiza vijana waliofukuzwa.
 
Tatizo la shule ya Ndanda ni wanafunzi wachache sana wa kiislamu ambao wanachochewa na watu wanaojiita waislam wenye itikadi kali. Shule ya Ndanda tangu iingie mikononi mwa serikali imekuwa na wanafunzi wakiislam ambao wamesoma hapo bila matatizo yoyote. Tatizo lilianza mwaka 2010 wakati wanafunzi wakiislamwachache walipoanza kukataa utaratibu wa kuchagua viongozi wa shule kwa mtindo wa kupiga kura na kutaka wateuliwe kwa misingi ya dini zao. Mwaka 2011 wakadai wajengewe msikiti shule hapo. Baadae wakaanza kutoroka usiku kwenda kwenye mihadhara ya kidini kwenye miskiti iliyo nje ya shule. Na wakaanza kukata kufanya kazi za shule kwa kisingizio cha kutotaka kuchanganyika na wanafunzi wasio waislam ati ni makafiri. Mwisho wakaandamana kilomita40 kwenda Masasi kuonana na mkuu wa wilaya. Walishauriwa warudi shule wakafuate taratibu za shule wakati tume ikifuatilia madai yao, lakini waliporudi shule wakaendeleza harakati zao na kutishia kuwauwa wanafunzi wenzao amboa hawawaungi mkono. Shule ilifungwa kuepusha dhahama hiyo. Bodi ya shule ili kaa na kutafuta ufumbumbuzi, ikiwa ni pamoja na kuwafukuza shule wanafunzi walioonekana na makosa, na kuwapa fomu ya kuwataka wanafunzi kuahidi kufuata taratibu za shule wawapo shuleni hapo. Wanafunzi waliofukuzwa walipewa nafasi ya kukata rufaa dhidi ya adhabu zao kwa vyombo husika. Sasa;

  • Kwanini watu kama Ugawafisi, Barubaru na Maralia sugu wanakuja na kauri za uchochezi na upotoshaji hapa jamvini?
  • Je ni kweli uislam ni kutofuata taratibu za shule na taasisi nyingine halali?
  • Mkuu wa shule amekuwa muungwana na mvumilivu sana dhidi ya vitendo vya hovyo vya wanafunzi hao kwani hata walipokiuka kabisa taratibu aliendelea kuwasihi na kuwashauri wafuate taratibu. Kwamfano wanafunzi waislamu walikamatwa na polisi usiku wakitokea kwenye mihadhara nje ya shule, bado mkuu wa shule hakuwafukuza shule!
  • Shule ya Ndanda ilitenga chumba maalum kwaajili ya kuabudia wanafunzi wa kiislam kwa miaka yote tangu shule itaifishwe, sasa haya madai ya kujenga muskiti yanania gani kama sio uchochezi na usumbufu?
  • Kwa nini wanafunzi wa kiislamu wanadai kuwa wanabaguliwa na kuonewa wakati wao wenyewe wanawakataa wanafunzi wenzao wasio waislam nakuwaita makafiri?
  • Wanafunzi wakiislam hawajawahi kuzuiwa kuabudu shuleni na nje ya shule, sasa haki wanazodai ni zipi?
  • Elimu bora hupatikana katika mazingira tulivu na ya amani na kufuta taratibu muafaka na sio vinginevyo.
Nawashauri wanafunzi waislam, wazazi wao, waislam wanaoamini kwamba vijana wao wanaonewa wachukue hatua muafaka za kukata rufaa ili vyombo vya kisheria vifuatilie. Lakini maandamano, vitisho na vurugu hakika havitawarudisha vijana hao shuleni hapo. Watakuwa wamepoteza nafasi yao ya masomo na hawatafanya mitihani ya kidato cha sita 8/2/2012. Maelezo wanayoto wanafunzi hao sio ya kweli. Wanamdanganya hata Mungu wao wanao mwabudu!

Crackpot!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom