Can Islam coexist with non Muslims? Ni kawaida waislam kuwa huru nchi yenye wakristo 99%, kwanini wao wakiwa wengi huminya imani nyingine?

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Uzi huu sio tuhuma au tetesi, ni uhalisia wenye shahidi / evidence za kutosha

Kwa lugha nyepesi, Ni kwanini nchi ikijaa wakristo huwa kuna uhuru wa kiimani kwa waislam lakini ikiwa kinyume kunakuwa hakuna tolerance kwa ukristo ?

Nchi inaweza kuwa majority wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k.

mifano tunaweza kuzitizama nchi jirani Ghana na Nigeria, kwa upande wa Ghana wakristo ni wengi 71% lakini imani za waislam zinaheshimiwa, wakati huo huo nchi jirani ya Nigeria waislam wapo 53% lakini kumekuwa na matukio ya kuukandamiza ukristo, pia hapa kwetu Tanzania Bara wakristo ni wengi zaidi huku imani za kiislam zikiheshimiwa lakini visiwani Zanzibar kulikojaa waislam hali ni tofauti.



Nchi zilizojaa uislam ni kawaida sana kusikia makanisa yamechomwa, yamebomolewa, n.k. wala sio jambo la kushangaza

Mfano ni hapo Zanzibar mwaka 2022 Kanisa pamoja na makazi ya Mchungaji wake, yalibomolewa kwa kisingizio cha hali ya hewa



Hii ni juzi tu hapo jumamosi iliyopita kanisa la katoliki lilishambuliwa.




Nchi hizi nyingi kikifika kipindi cha mfungo, huwa hakuna kula hadharani, ukikamatwa unaweza kufungwa, kupigwa, n.k. hakuna uhuru kabisa wa kiimani. Cha ajabu ni kwamba wanashindwa kufata sheria zilizoainishwa kwenye Quran kwamba mfungo ni wa watu maalum tu, sio kila mtu inabidi afunge,

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani ukikutwa unakula hadharani utapigwa na hata kufungwa rumande wiki kadhaa, Pichani ni wakristo wakipigwa baada ya kukutwa wanakula mchana huko Pemba.

1708363528475.png


Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja



Eneo likijaa waislam kuna uwezekano mkubwa watataka watu wa eneo hilo hata wasio waislam wafate sheria za kiislam na ataekiuka wanaona wana haki ya kumuadhibu,

Huyu kakutwa katulia anajinywea zake bia zake huko Zanzibar, wakaanza kumpiga bakora bila kujali kama imani yake inamruhusu kunywa,



taasisi za elimu kama vyuo vya kikristo wala haviingilii uhuru wa wanafunzi wa kislam lakini kwa upande wa vyuo vya kiislam hali ni tofauti, mfano chuo cha kiislam cha Morogoro hairuhusiwi kwa mwanafunzi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume hata kufanya discussion isipokuwa awepo mtu wa tatu, ukivunja hizo sheria kuna adhabu, kuna video iliwahi kuvuja ikionyesha watu wazima wa chuo hicho wakitandikwa bakora.





Nchi kadhaa zimepitisha sharia (sheria kwa mujibu wa uislam) zenye mahakama zake, inatakiwa wote mfuate sharia hata kama si muumini wa dini ya kiislam, Mfano nchi kama Malaysia, Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kwenye mahakama ya kiislam kisha usubiri uamuzi wao kama utakubaliwa
 
Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.


Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani hata uwe mkristo usiehusika na mfungo ukikutwa unakula utapigwa , Mbaya zaidi wanashindwa kufata hata sheria zao kwamba ni watu baadhi tu inabidi wafunge,

huyu kakutwa anakula hadharani anapigwa

View attachment 2909278

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko
nakumbuka miaka hiyo maeneo ya kinondoni, magomeni mwananyamala, manzese hapa n.k, ukiwa mkristo hata ukijaribu kupanga nyumba kwa muislam ulikuwa unapigwa chini. MIaka hiyo humo ndio ulikuwa mjini kwa wamiliki wa nyumba watu wanakimbilia. kilichokuja kutokea, miji imefunguka huko kimara hadi mbezi, barabara ya bagamoyo nakadhalika, ile miji tulikuwa tunakatazwa kupanga ndio wao wanatuuzia, na wamebaki masikini kuliko maeneo mengine. kwanza leo ukisema mtu akapange magomeni anakuona uanmdharau, au aseme ukapange manzese, au maeneo ya kinondoni. atakwambia kabisa acha dharau.
 
Wanampiga jamaa kisa kalewa huku usiku wanaenda kufirwa. Mapuuzi kabisa. Kwanza quran haijakataza pombe.

Kama kuna kifungu quran imekataza pombe, mtuwekee hapa. Huyo Mungu anayewakataza pombe mkiea na miili ya nyama huku ahera kawahaidi mito ya pombe atakuwa mungu mwehu.
 
Yani hata nchi / state iwe na waislam asilimia 55 tayari ina trigger non coexistance

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.


Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani hata uwe mkristo usiehusika na mfungo ukikutwa unakula utapigwa , Mbaya zaidi wanashindwa kufata hata sheria zao kwamba ni watu baadhi tu inabidi wafunge,

huyu kakutwa anakula hadharani anapigwa

View attachment 2909278

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko
Kwa maana yeye ni muongo, na baba wa huo "UONGO" mkuu, SHETANI hajawahi kuwa mwema, kama unabisha fanya dili yoyote na mwislamu lazima atakugeuka kama wewe ni mkristo.
 
Yani hata nchi / state iwe na waislam asilimia 55 tayari ina trigger non coexistance

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.


Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani hata uwe mkristo usiehusika na mfungo ukikutwa unakula utapigwa , Mbaya zaidi wanashindwa kufata hata sheria zao kwamba ni watu baadhi tu inabidi wafunge,

huyu kakutwa anakula hadharani anapigwa

View attachment 2909278

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko
Kwa maana yeye ni muongo, na baba wa huo "UONGO" mkuu, SHETANI hajawahi kuwa mwema, kama unabisha fanya dili yoyote na mwislamu lazima atakugeuka kama wewe ni mkristo.
 
Allah na Jehova ni ngumu sana kukaa pamoja,lakini Allah ndio huwa anaungua vibaya Jehova akiwepo.
Na sio against Christian ila ni against dini zote chini ya jua. Kuna vita kati ya Waislam na Wabudha, Muslim against Hindu, Islam against Jews na mwisho ni Muslim against Muslim( Shia against Answar Sunna, Ahamadiya vs Answar n.k) na nyingine ni ile Muslim against Muslim ya Sudan wanapambana Muislam Mgunya (Mwarabu koko against Black Muslim)
 
Na sio against Christian ila ni against dini zote chini ya jua. Kuna vita kati ya Waislam na Wabudha, Muslim against Hindu, Islam against Jews na mwisho ni Muslim against Muslim( Shia against Answar Sunna, Ahamadiya vs Answar n.k) na nyingine ni ile Muslim against Muslim ya Sudan wanapambana Muislam Mgunya (Mwarabu koko against Black Muslim)
hio yawezekana
 
Nchi inaweza kuwa na 99% wakristo lakini waislam wakapewa uhuru wa kiimani kuanzia kujenga misikiti bila figisu, kuweka spika za adhana, kuvaa hijab, kufunga barabara wakisali, n.k. wala hakuna shida.

Ila sasa nchi / state ikiwa na waislam hata asilimia 55 kuna uwezekano mkubwa imani nyingine zikaanza kuminywa.

Na hii sio tuhuma ama tetesi, ni uhalisia wenye shahidi kibao

inapotokea nchi ina waislam wengi basi hata sheria za nchi zinakuwa hazina nguvu mbele ya sheria za kiislam na wote inabidi mzifuate, nchi inahama kutoka secular kuwa religous

MIFANO.

Kwa Zanizbar mfungo wa Ramadhani hata uwe mkristo usiehusika na mfungo ukikutwa unakula utapigwa , Mbaya zaidi wanashindwa kufata hata sheria zao kwamba ni watu baadhi tu inabidi wafunge,

Pichani ni wakristo washitakiwa na kupigwa bakora kwa kula mchana huko pemba kipindi cha Ramadhan

View attachment 2909283

Biashara za pombe zinaminywa sana tena kwa maksudi kabisa, mfano Zanzibar wanaofungua Bar huwa wanafanyiwa figisu za kutosha, sheria ya nchi inakuruhusu lakini itapuuzwa

Huko Nigeria kuna maeneo yana mpaka askari wa kiislam, ukikutwa unauza bia ni tatizo, hapa wanazivunja vunja

View attachment 2909277

Eneo likijaa waislam watataka kuanzisha mahakama za sharia na kila mtu afate sharia hata kwa wakristo, katika nchi kama Indonesia ni kawaida kukuta mkristo anapewa adhabu ya sharia hasa viboko,

Huyu kakutwa amelewa huko Zanzibar

View attachment 2909278

Ukiwa mwislam ukitaka kuhama dini inabidi utoe maelezo ya kina kisha usubiriuamuzi wa baraza, mfano nchi kama Malaysia

Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri
ANGALIZO: Utaje Nchi na sio utaje visiwa vyenye watu 65,000 kama kitongoji umaanishe ni Nchi
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja)
Mkuu naomba tuhusike na maada ya mezani inayojikita kujua ni sababu gani zinapelekea kwamba nchi ikiwa na wakristo wengi kuzidi waislam bado waislam wanakuwa huru lakini ikiwa kinyume chake wakiristo wanaanza kuminywa,

Mfano tu kwa hapa Tanzania wakristo ni kama asilimia 65 laini tunaishi vizuri tu na waislam

hio ndio mada iliyopo mezani
 
Wanampiga jamaa kisa kalewa huku usiku wanaenda kufirwa. Mapuuzi kabisa. Kwanza quran haijakataza pombe.

Kama kuna kifungu quran imekataza pombe, mtuwekee hapa. Huyo Mungu anayewakataza pombe mkiea na miili ya nyama huku ahera kawahaidi mito ya pombe atakuwa mungu mwehu.
Quran inakuambia usile nguruwe ila ukiwa na njaa kula 😂
 
Pamoja na kuwa sikusudii kubadilisha mada yako
Naomba unitajie Nchi walau 5 zenye Wakristo kwa asilimia 90 (hata sio hiyo 99% uliyo iliyotaja) kwani nikisema 99% unaweza ukaambulia sifuri

Brazil, phillipines, Congo zina wakristo zaidi ya asilimia 90

Nakuongezea zingine

1 croatia
2 Romania
3 Papua New Guinea
4 Tonga
5 vatican city
6 Armenia
7 Namibia
8 Marshall Islands
9 Moldova
10 Solomon Islands
 
Back
Top Bottom