Dhuluma inayofanyika Ndanda secondary haikubaliki

Status
Not open for further replies.
shule ya ndanda ilikua chini ya kanisa na sasa imechukuliwa na serikali hivyo dini zote zinapaswa kupewa eneo na uhuru wa kuabudu. Hakuna vipindi vinavyoingiliana na muda wa ibada. Ndugu yangu tunazungumza uhakika. Wacha serikali ipuuze itakuja kuamua baada ya madhara kutokea. Hizbullah ni jeshi la mungu.


kwa nini serikali ichukue shule za dini? kwa nini isijenge za kwake! kama mungekuwa mmejenga zenu tatizo lingetoka wapi?
nenda zanzibar university uone wakristo wanavyobaguliwa hata kusali madarasani hawaruhusiwi ingali ukiingia tu getini unakumbana na bonge la msikiti! je umewahi kusikia wakilalamika?

ndanda ni ya wakatoliki anaetaka kusoma asome sio kueneze chuki hataki akasome kwenye shule zao mbona zipo nyingi, kuna kinondoni muslim, na nyinginezo.

mungu anajeshi au mtume?

tatizo ni hiii serikali yenu ya ccm! ikajifanya kuchukua shule za kanisa imeshindwa kuziendesha ikazirudisha kwa kanisa na wakatoriki walivyosmart vichwani wakawambia no lazima kuwe na MoU ili kuendesha hizo shule. serikali imeziharibu na inazibwaga kwa kanisa tena no haikubliki

shule ni za wakristo jengeni zenu!!!!
 
shule ya ndanda ilikua chini ya kanisa na sasa imechukuliwa na serikali hivyo dini zote zinapaswa kupewa eneo na uhuru wa kuabudu. Hakuna vipindi vinavyoingiliana na muda wa ibada. Ndugu yangu tunazungumza uhakika. Wacha serikali ipuuze itakuja kuamua baada ya madhara kutokea. Hizbullah ni jeshi la mungu.

Serikali ipi inayo puuza? Rais ni mwislamu, Makamu wake ni mwislamu, waziri wa elimu mwislamu. sasa unataka nini?
 
Hawa vijana hawanyimwi ruhusa ya kusali, wanachodai wanataka serikali iwanjengee msikiti hapo shuleni kwasababu wakristo wana kanisa tena kubwa, wanasahua kuwa kanisa hilo lilijengwa kabla shule hiyo haijataifishwa na serikali

Wanapenda mashindano kweli.
Hilo kanisa lilijengwa na serikali? Kama wanataka si wajenge wao?
 
secondary ----------------------> IBADA
secondary-------------------------> MASOMO NA KUFAULU

Baadae ndio tunasikia kuwa kanisa linawafelisha .Kumbe hawajui kutofautishana kutengnisha majukumu ya DUNIANI na mbnguni.

So sad mtu anayejita "mwanafunzi" mgomo wake wa kwanza kuwa kidini au kikabila..........
 
Mkuu, nonaona uwezekano mkubwa wa kuwa umeandika haya kutokana na kusimiliwa tu yaliyotokea Ndanda Sekondari. Uliyoyaandika yana asilimia ndogo sana ya ukweli. Si kweli kuwa kuna mtu amezuiliwa kufanya ibada kwenye maeneo ya shule. Uliza kwa tunaolifahamu suala hili. Kwa taarifa yako, kila kundi la kidini lina chumba chake cha kuabudia shuleni. Wanachogombea waislamu ni kujengewa msikiti katika eneo la shule. Wanadai kwua kuna kanisa shuleni jambo ambalo si kweli kwa maana kanisa lipo nje ya mipaka ya shule (ingawa ni akribu na shule).
Nikushauri kuwa muangal;ie veme mnayoyafanya kwa sababu huo moyo wenu wa kupenda vurugu, hautawaathiri nyie tu, mnalitafutia matatizo makubwa taifa hili

tunazo taarifa za uhakika ambazo zinaonyesha mwalimu mkuu mpya aliyepelekwa ndanda kuwanyanyasa vijana wa kiislam na kufunga chumba wanachofanyia ibada na kujitapa kwamba serikali imetaifishha majengo lkn ardhi ni ya kanisa na hawana haki yoyote ya kiimani wakiwa ndani ya shule. Hii haikubaliki.
 
shule ya ndanda ilikua chini ya kanisa na sasa imechukuliwa na serikali hivyo dini zote zinapaswa kupewa eneo na uhuru wa kuabudu. Hakuna vipindi vinavyoingiliana na muda wa ibada. Ndugu yangu tunazungumza uhakika. Wacha serikali ipuuze itakuja kuamua baada ya madhara kutokea. Hizbullah ni jeshi la mungu.

Wewe ndugu yangu unaonaje ukahamasisha ujenzi wa shule ya sekondari kila penye msikiti ili wakristo wakija kusoma hapo wakose mahali pa kuabudia badala ya kuhamasisha umwagaji wa damu??

Hivi kwa nini sisi waislamu hatuna mashule yetu kama madhehebu mengine? hindu wana shule zao, lutheran pia, wakatoliki pia, wasabato pia n.k .sisi kipaumbele chetu ni nini?? nashauri tubadilike twende na wakati tuache kuwa tegemezi wahenga walisema nguo ya kuazima haiwezi kusitiri uchi wa mvaaji - waislamu tutafakari na tuchukue hatua endelevu.
 
secondary ----------------------> IBADA
secondary-------------------------> MASOMO NA KUFAULU

Baadae ndio tunasikia kuwa kanisa linawafelisha .Kumbe hawajui kutofautishana kutengnisha majukumu ya DUNIANI na mbnguni.

So sad mtu anayejita "mwanafunzi" mgomo wake wa kwanza kuwa kidini au kikabila..........

wanachofanyiwa vijana hawa wa ndanda ni mpango maalum kwani kudidimiza elimu kwa waiskam kwani ktk mtihani wa mock form 6, aliyeshika nafasi ya kwanza mpaka ya nane ni waislam ambao ni miongoni ya waliosimamishwa. Why? Na form 6 necta inaanza february.
 
Tatizo wengi hawafahamu historia, wamekuta tu shule zipo na majengo yapo. Shule hii naifahamu ipo ndani ya eneo la Abatia ya Wamisionari Wabenediktini Ndanda (OSB - Order of St. Benedict). Shule hiyo ilijengwa na Watawa Wakatoliki Wabenedictini Kutoka Ujerumani na Uswis na kuendeshwa nao, na kanisa linalozungumziwa lipo ndani ya eneo la shule lilijenga sanjari na majengo ya shule. Ingawa shule hiyo ilitaifishwa na kuendeshwa na serikali, lakini bado ina mapokeo ya waazishaji.

Ni kitu cha kawaida shule kama hizi kukuza na kuenzi waanzilishi na moto ya shule iliyokuwa nayo tangu awali. Si jambo la kuanza kulalamikiwa na waislamu kwamba nao wajengewe msikiti katika eneo la shule vinginevyo shule zote Tanzania zitahitaji kujengewa misikiti na makanisa mashuleni. Kinachoangaliwa kuyaenzi yaliyoanzisho ambayo yanatunza historia ya shule, vinginevyo ni uelewa finyu wa baadhi yetu kufikiria kama walivyozoea kusema kudhulumiwa.

Mbunge Januari Makamba alipokuwa Marekani amesoma shule kama hizo za Wamisionari Watawa (wamonaki) Wabenediktini, napengine alishirika hata baadhi ya vipindi vya dini na wala hakuathirika na leo anaendelea na dini yake bila shida na anashukuru ilmu aliyopata huko na amewahi kueleza kwenye jukwa lake la face book kuhusu dhana hiyo, na kwamba mabarother waliomlea walimsaidia mengi sana wakati wa mwanzoni akiwa na dhiki ya kukamilisha usajiri na karo. Hali kadhalika viongozi wengi tu wamesoma shule za dini tofauti katika ujana wao na leo wengine ni wakulu wa nchi hii, wangefikiria kama wanadhulumiwa leo hii wasingekuwa kama walivyo, ila walijua kilichowapeleka pale ni ilmu si udini. Walimu wao pia walijitahidi kuwamegea ujuzi bila kinga ya dini ila tu jinsi kila mmoja alivyokuwa na ushindani wa kuipata aliifaidi na ndicho tunachotaka.
Asante sana kwa ushauri mzuri.Kwa upande mwingine ndugu zetu Waislam wanapaswa kutambua kuwa suala la mtoto kwenda Shule halimnyimi mzazi haki yake kuendeleza malezi kwa mwanaye.Ukiamua kumpeleka mtoto shule ujuwe anayeenda kuishi ndani ya taratibu ambazo baadhi huenda usizipende lakini unalazimika kukubaliana nazo.Kwa hili mimi napata shida kwani kama kila watu watakuja na matakwa yao ya nini wafanyiwe kwenye maeneo ya shule za Serikali itakuwa kazi kwelikweli.Mfano kama hii hali itaendelea wako wengine watakaokuja kudai kuvaa kanzu madarasani badala ya suruari au kaptula na mashati,wasinyoe ndevu kwani si utamaduni wa dini yao na wengine kudai kila mlo wa shule uwe na kiti moto kwani dini zao zinawaruhusu.Kwa hili inabidi tuwe na fikra pana kama kweli tunapenda watoto wetu wasome vingine mimi nashauri kama tunadhani Miskiti au Makanisa ni muhimu sana katika maeneo ya shule za Serikali basi Serikali ishaurike badala ya kuita shule ziitwe Misikiti na makanisa ya serikali kitu ambacho naamini kitakuwa Tanzania pekee.
 
kwa nini serikali ichukue shule za dini? kwa nini isijenge za kwake! kama mungekuwa mmejenga zenu tatizo lingetoka wapi?
nenda zanzibar university uone wakristo wanavyobaguliwa hata kusali madarasani hawaruhusiwi ingali ukiingia tu getini unakumbana na bonge la msikiti! je umewahi kusikia wakilalamika?

ndanda ni ya wakatoliki anaetaka kusoma asome sio kueneze chuki hataki akasome kwenye shule zao mbona zipo nyingi, kuna kinondoni muslim, na nyinginezo.

mungu anajeshi au mtume?

tatizo ni hiii serikali yenu ya ccm! ikajifanya kuchukua shule za kanisa imeshindwa kuziendesha ikazirudisha kwa kanisa na wakatoriki walivyosmart vichwani wakawambia no lazima kuwe na MoU ili kuendesha hizo shule. serikali imeziharibu na inazibwaga kwa kanisa tena no haikubliki

shule ni za wakristo jengeni zenu!!!!


Na wameziharibu kweli. Kune shule zingine hata Katoliki wamekataa kuzipokea, kwa mfana Weruweru.
 
wanachofanyiwa vijana hawa wa ndanda ni mpango maalum kwani kudidimiza elimu kwa waiskam kwani ktk mtihani wa mock form 6, aliyeshika nafasi ya kwanza mpaka ya nane ni waislam ambao ni miongoni ya waliosimamishwa. Why? Na form 6 necta inaanza february.

Kwahiyo wasipoabudu ndani ya msikiti basi wamekandamizwa kielimu? Kazi mnayo.
 
Wewe ndugu yangu unaonaje ukahamasisha ujenzi wa shule ya sekondari kila penye msikiti ili wakristo wakija kusoma hapo wakose mahali pa kuabudia badala ya kuhamasisha umwagaji wa damu??

Hivi kwa nini sisi waislamu hatuna mashule yetu kama madhehebu mengine? hindu wana shule zao, lutheran pia, wakatoliki pia, wasabato pia n.k .sisi kipaumbele chetu ni nini?? nashauri tubadilike twende na wakati tuache kuwa tegemezi wahenga walisema nguo ya kuazima haiwezi kusitiri uchi wa mvaaji - waislamu tutafakari na tuchukue hatua endelevu.

hujui ulisemalo wewe! Kwanza ndanda kwa sasa si shule ya kanisa hivyo serikali ilipaswa kuandaa mazingira rafiki kwa dini zote. Pili Nyerere aliweka mikakati madhubuti kuhakikisha waislam hawapati elimu. Jiulize kwanini uwepo ubalozi wa VATICAN NA WAKATAZE OIC? TAFAKARI.
 
ni takriban wiki nne sasa wanafunzi 63 wa kiislam wanaosoma shule ya secondary ya ndanda wamesimamishwa na wengine kupewa masharti magumu ili warudishwe ikiwa ni pamoja kutofanya ibada wakiwa eneo la shule, kutozungumzia jambo lolote linalohusu dini yao ilihali wenzao(wakiristo) wanafanya watakavyo ikiwa ni pamoja na kufanya mikesha ktk kanisa lililopo shuleni hapo. Rai yangu ni serikali kutoa fursa sawa ya kuabudu kwa dini zote pia kumchukulia hatua za ni dham mwalim mkuu wa ndanda secondary ambae anafanya ubaguzi na kejeli dhidi ya uislam. Boko haram Nigeria ilianza kama hivi. Tamsya(vijana wa kiislam Tanzania mashuleni na vyuoni) wametoa Tamko la mgomo na maandamano nchi nzima kulaani tukio la ndanda na kutaka wanafunzi waliosimamishwa kwa kuomba eneo la kufanyia ibada warejeshwe mara moja. Utakua mgogoro endelevu mpaka madi ya msingi yasikilizwe. Vibali vya mikusanyiko na maandamano vimeombwa nchi nzima kuanzia siku ya ijumaa iwapo madai yaliyoainishwa hayatatekelezwa mpaka siku ya alhamiisi. Waislam nchi nzima tuungane kwani Hizbullah ni lenye kushinda.

Kinacho kuzuia kuanzisha hiyo boko haram ninini?
Akili za matope hizo yaani unawaza kuua wenzako wasikukosea lolote wakiwa kanisani!!!!!!!!!! kusifia hili ni ushetani!!!
Jamani watu wanasema hajawahi kumsikia live shetani akiongea! Huyu ni replica halisi ya Lusifa.
 
Wewe ndugu yangu unaonaje ukahamasisha ujenzi wa shule ya sekondari kila penye msikiti ili wakristo wakija kusoma hapo wakose mahali pa kuabudia badala ya kuhamasisha umwagaji wa damu??

Hivi kwa nini sisi waislamu hatuna mashule yetu kama madhehebu mengine? hindu wana shule zao, lutheran pia, wakatoliki pia, wasabato pia n.k .sisi kipaumbele chetu ni nini?? nashauri tubadilike twende na wakati tuache kuwa tegemezi wahenga walisema nguo ya kuazima haiwezi kusitiri uchi wa mvaaji - waislamu tutafakari na tuchukue hatua endelevu.

Ujenzi wa shule ni kazi ya serikali ndio maana tunalipa kodi. Kama unataka tufanye kazi za serikali msije kulalamika tukiamua kuanzisha jeshi letu pia.
 
hawa watoto hawana akili kabisa badala ya kwenda kukazania kusoma wanakazania kupigania dini..wazazi wao wako swanajibana ilimradi wasome wenyewe hata habari hawana..subiri life ndiyo itawafundisha..
 
  • aliyekwambia waislam hawana shule nani.Acha kuropoka
    Wewe ndugu yangu unaonaje ukahamasisha ujenzi wa shule ya sekondari kila penye msikiti ili wakristo wakija kusoma hapo wakose mahali pa kuabudia badala ya kuhamasisha umwagaji wa damu??
Hivi kwa nini sisi waislamu hatuna mashule yetu kama madhehebu mengine? hindu wana shule zao, lutheran pia, wakatoliki pia, wasabato pia n.k .sisi kipaumbele chetu ni nini?? nashauri tubadilike twende na wakati tuache kuwa tegemezi wahenga walisema nguo ya kuazima haiwezi kusitiri uchi wa mvaaji - waislamu tutafakari na tuchukue hatua endelevu.
 
hujui ulisemalo wewe! Kwanza ndanda kwa sasa si shule ya kanisa hivyo serikali ilipaswa kuandaa mazingira rafiki kwa dini zote. Pili Nyerere aliweka mikakati madhubuti kuhakikisha waislam hawapati elimu. Jiulize kwanini uwepo ubalozi wa VATICAN NA WAKATAZE OIC? TAFAKARI.
Masikini waafrika hasa Watanzania.Biashara ya utumwa ilifanyika karne nyingi na kwa vizazi vya muda mrefu lakini ona hawa Wajukuu wa kitumwa ambavyo bado wanasumbuliwa na mawazo yale yale ya kitumwa katika karne hii.
 
wewe ndo huna akili mungu kwanza mengine yatafatia.ukienda mbinguni utatumia kanuni za fizikia au...
hawa watoto hawana akili kabisa badala ya kwenda kukazania kusoma wanakazania kupigania dini..wazazi wao wako swanajibana ilimradi wasome wenyewe hata habari hawana..subiri life ndiyo itawafundisha..
 
Wewe ndugu yangu unaonaje ukahamasisha ujenzi wa shule ya sekondari kila penye msikiti ili wakristo wakija kusoma hapo wakose mahali pa kuabudia badala ya kuhamasisha umwagaji wa damu??

Hivi kwa nini sisi waislamu hatuna mashule yetu kama madhehebu mengine? hindu wana shule zao, lutheran pia, wakatoliki pia, wasabato pia n.k .sisi kipaumbele chetu ni nini?? nashauri tubadilike twende na wakati tuache kuwa tegemezi wahenga walisema nguo ya kuazima haiwezi kusitiri uchi wa mvaaji - waislamu tutafakari na tuchukue hatua endelevu.

Cha kushangaza zaidi ni kwamba Waislamu walianza kuja Tanzania kabla ya Wazungu walioleta hi Ilmu Duniya.

Waarabu walianza biashara ya utumwa Afrika mashariki miaka ya 1760. Leo tembelea zanzibar, Pwani, Morogoro, Tabora na Kigoma - hesabu idadi ya shule za Kiislamu walizoanzisha halafu uje uniambie ziko mia ngapi.

Wajerumani waliingi 1880. Nenda Kilimanjaro, Peramiho, Ndanda, Morogoro - hesabu idadi ya shule za kikristu walizoanzisha halafu uje uniambie kama umeona hata moja.


Nyerere alifanya kosa kutaifisha shule za dini akitegemea ndiyo namna ya kuleta maendeleo. Alishindwa kujiongeza na kuona kuwa kuendesha shule siyo kitu ambacho serikali inaweza tu ikaamua kufanya - ya kwamba shule ni kama biashara ingine tu ambayo vile vile tunajua kuwa serikali kamwe haiwezagi kfanya biashara. Amini usiamini, hata leo, shule nyingi za Ujerumani ni za kanisa kuliko serikali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom