Acha uongo wewe, hiyo redio unasikiliza peke yako sasa hivi?
Kinachozungumziwa ingeneral ni ile double standard inayofanywa na serikali, mfano wakatolea mauaji ya mwembechai iliombwa tume iundwe serikali ikakataa mwaka huohuo akauliwa mbwa wa police sumbawanga tume ikaundwa haraka, wanahoji mifano kama hiyo, lingine Dr. Slaa sms aliyomuandikia IGP ya kitisho je ingekuwa wengine ingekuwaje?
Kingine kinazungumzua media zilvyokuwa na bad perception na waislamu hada kny suala la sensa. Huwa mnakaa humu na kusema ooh waislamu wanapendelewa sababu wenzao ndio viongozi kama Rais,Igp etc etc lakin haohao ndo sasa hivi wanashutumiwa pia. Huwa najiuliza humu JF watu kama wewe huwa mnawaza before kuleta humu au ili mradi nawe upost hata kama uongo?
Kajipange tena na propaganda zako za kichekechea.
Kuna kitu sielewi hapa. Waislam hawa hawa wanaolalamika ndo wanaoipigia kura CCM