eros
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 536
- 594
Mkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?
Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?
Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !
Vatican City State (Stato della Città del Vaticano) ni nchi, kama ilivyo Iran na nchi nyingine za kiislam,
sioni tatizo kuwa na ubalozi na nchi hii.