i pad3
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,518
- 378
Yakifanyika haya kwenu nyinyi ndiyo haki na amani. Uislamu na waislamu hawafanyi hivyo, wamefundishwa haki kwa kila mtu awe muislamu, mpagani hana dini. Waislamu wanasema, kwa mauaji ya Zanzibar yalikuwa dhulma na walioua wanastahili kuchukuliwa hatua na wanasema pia mauaji ya Mwangosi ni dhulma na walioua wanastahili kuchukuliwa hatua. Wala waislamu hawasemi kuwa kwa kuwa Mwangosi alikuwa mkristo basi alistahili kutandikwa na kuuawa. Kumbukeni ndugu zangu dhulma haiwezi kudumu milele, ingekuwa inawezekana basi ingedumu South Africa ya Makaburu.
Nimekuelewa sana ila sasa na yale makanisa yaliyochomwa kule visiwani na bagamoyo tuite ni nini? Ushawahi kuona msikiti umechomwa moto?