Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
OIC na washirika wake wanazo fedha, lkn si kwa kusaidia maendeleo kama wengine tulivyozoea, bali ni kwa kulipia FATWA. Huko Iran zimetolewa $3.3m kwa atakayemuua Sulman Rushdie lkn jiulize ni ngapi wanatoa Scholarship au misaada ya kijamii?
Waarabu wenzao wa Syria wanaangamia, watoto wametapakaa hovyp mitaani hawana msaada, lkn wao hilo hawalioni ni kazi ya American Red Cross Society na EU wao za kwao ni za kufanyia mauaji.
Mfano wa Mozambique ni mzuri kwa mwenye akili, lakini kwa kuwa mtu mbishi hana muda na facts zaidi ya kuandaa ubishi, hautafaa kitu. Ngoja vijana wa Ponda waje kujaza matusi
Waarabu wenzao wa Syria wanaangamia, watoto wametapakaa hovyp mitaani hawana msaada, lkn wao hilo hawalioni ni kazi ya American Red Cross Society na EU wao za kwao ni za kufanyia mauaji.
Mfano wa Mozambique ni mzuri kwa mwenye akili, lakini kwa kuwa mtu mbishi hana muda na facts zaidi ya kuandaa ubishi, hautafaa kitu. Ngoja vijana wa Ponda waje kujaza matusi