Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.
Ni rahisi sana kulifungia mwanahalisi kwa kuwa linasema ukweli kuhusu madudu yanayofanywa na serikali ila radio imaan haiwezi kukemewa wala kufungiwa,si kweli kuwa inawasakama viongozi wakuu wa serikali,hilo ni changa la macho.Kwa nini watanzania tunakuwa wavivu wa kufikiri?Iweje tuna muda wa kujadili udini lakini hatuna muda wa kujiletea maendeleo?Kwa nini tushinde vijiweni na kuilaumu serikali wakati tuna uwezo wa kujiletea maendeleo,shule,zahanati,maji,umeme ni mambo yanayowezekana,hivi mihadhara ya kidini kama uamsho,ulokole inalipa sana au?Inachekesha sana,unakuta mtu anashinda msikitini au kanisani lakini jioni anaomba hela ya dagaa,watoto wanatembea ****** wazi na shule hawaendi.Amkeni ndugu zangu,udini haulipi.
 
Mfumo kristo ni ule ambao hospitali za kikristo kama peramiho, bugando, Kcmc, Ifakala, Itigi, Nkinga, Seriani n.k kuwatibia watu wote wakiwemo waislamu bila kuwabagua kwa misingi ya dini zao
Mfumo Kristo ni ule ambao vyuo vilivyoanzishwa na wakristo kama KCMC, BUGANDO, ST AUGUSTINO, ST JOHN, Nkinga, Kirimatinde, Kwa lena nk husomesha wakristo na waislamu bila kuwabagua tofauti na Morogoro Muslimu university ambayo wanafunzi wake wengi( na wahadhiri ) ni waislamu.
Mfumo Kristo ni ule ambao nyumba za ibada za wakristo zinachomwa moto na wao kukaa kimya wasipachimbe wakati kama ungechomwa msikiti mmoja yangechomwa labda makanisa 100.
Mfumo Kristo ni ule ambao taasis za Kikristo zinawaajiri waislamu na watu wa dini nyingine sawasawa bila kuwabagua kama zifanyavyo taasisi za kiislamu
Mfumo Kristo ni ule ambao wakristo wanaweza kulazimishwa kuishi maisha ya shida ( kama ilivyotokea kwenye mfungo wa ramadhani Zanzibar majuzi)ili tu kuwafanya waislamu wafanye ibada kwa mungu wao
Mfumo Kristo ni ule ambao Redio na Magazeti ya kiislamu ( mfano Redio Imani) wanakashifu wakristo na imani yao bila hata kukemewa au kufungiwa na mtu yeyote
Mfumo Kristo ni ule ambao wakristo wanakubali kushiriki ibada ya waislamu( mfano kulazimishwa kula nyama ya mnyama aliyechinjwa na mwislamu) ili tu kumfanya mwislamu atimize ibada yake...

Hahahahaha....ENDELEZA HAPO!!!

MYTAKE; Wanaochokonoa udini kwa kigezo cha kujifanya wanaonewa na mfumo uliopo wajue kuwa " mkataa pema pabaya panamngoja"

Mkuu nimeipenda sana, statements zako ulizozitoa kwa indirect meaning, sababu hawa wenzetu Waislam wamekuwa wakitoa shutuma nyingi kwa Wakristo, Eti serikali ni ya Kikristo, Tungetegemea kama ungekuwa mfumo wa kikristo usingeruhusu freedom yoyote ile ya Waislam, My TAKE, is mambo ya udini kwenye nchi yetu hayana msingi kabisa, kwa maana wakristo na waislam ni ndugu. Hivyo kuna haja ya kuzidiscourage hoja zote zinahusu udini, ikiwa kwa kuzikemea kwa nguvu zote, Mwisho tumeweza kuangamiza Mambo ya ukabila iweje leo udini utawale vichwa vyetu. WALAANIWE WOTE WANAOLETA UDINI, MUNGU AWANYOOSHEE KIDOLE HATA KUWAADHIBU.
 
Aisee, kweli nimeamini propaganda mbaya sana. Yaani mmelishwa uwongo huu kupitia mawaidha kwenye nyumba zenu za ibada nanyi mmeamini hivyo!!!!! Kwa kweli ukombozi wa kwanza mnaohitaji waislam ni wa fikra. Bila kupata ukombozi huo, mtaendelea kulalamika tu.
hakuna cha propaganda its a fact zipo wazi....taifa limehujumiwa kwa upendeleo huu..
mwaka jana pale Milenium school ya Pengo....ilikuwa shule ya kwanza sijui kwenye NECTA...hapa walimu waliweka vitabu chooni mwanafunzi anaenda chooni kuchakachua maswali anarudi ndani kwa masharti ya kuwapatia jawabu darasa zima...hatimae hii shule ilikuwa ya kwanza...na Ndalichako hakuwa na ubavu wa kufuta mitihani ya shule hii...si na ya katoliki bwana...
ushahidi upo mukitaka nendeni mukaangalie mitihani yao kama haijafanana,
na hapa shule alipelekwa mwanamama msimamizi ambaye alikua na mimba kubwa....akilala mwanzo wa mitihani mpaka mwisho....
so ngungu yangu hakuna cha propaganda ni ukweli kuna hujuma dhidi ya elimu Tanzania.
inawezekana wapo kabisa wanaofanya mitihani kwa akili zao lakini sio rahisi tena kujua yupi amependelewa na yupi ana akili szake.
hapa ndio tumefika....
ngoja nikuulize swali kwa nini hii mitihani isifanywe kwa wanafunzi kupewa namba za siri na matokeo yawe kwa kutumia namba za siri ? kwa nini watu wanakataa hili? why why ? duniani kote unafanya mitihani kwa namba za siri.
kama unaona hakuna hila huko NECTA basi fanyeni kampeni kubwa na ya nguvu zitumike namba za siri kufanyia mitihani na results zitolewe kwa namba pia ....
 
Wewe ni mgeni JF?

Hivi ni kwanini haya.madai waislamu
kuonewa na mfumo kristo
unaodaiwa .kwanini Rais mwinyi na
sasa Rais Kikwete wasitolee kauli
kuthibitisha au kukanusha ili kukata
mzizi wa fitina ? Kwa kukaa kwao kimya ni dhairi .ndio wahusika wa hizi
harakati zinazo endelea ,Na kama
sivyo ndivyo Basi Mwinyi na Kikweke
wanastahili .kuwa wasaliti wakubwa
wa uislamu na waislamu wa
Tanzania .na kafari ndio jina litakalo wastaili ,kwa ushauri waislamu
kwakuwa Mwinyi na
Kikwete .wanaingia msikitini pangeni
siku atakapo kuja mmoja
wapo .kusanyikeni msikitini mzuine
mpaka awaelezeni ukweli .jinsi ambavyo wamekuwa wanaendesha
nchi kwa kuwasaliti kwa kutumia
mfumo kristo kuwaonea waislamu ,au
njia ingene watengeni wasije kusali
nanyi mpaka watakapo waeleza
ukweli kama ni kweli au uongo .ili kupata suluhuu ya haya malalamiko
yenu.kwani hii njia kuzunguka huku
na kule .ni uoga ambao ni dhambi
mbele ya MUNGU .nakama mnavyo jua
dhambi uzaa mauti ..Kikwete huyo
hapo msikitini .huku kujizungusha kueneza chuki .kunatoka wapi ,jibu
mnalo mnalikalia .mmekalia dhahabu
mnaomba ,Hivi ni kwanini haya.madai waislamu
kuonewa na mfumo kristo
unaodaiwa .kwanini Rais mwinyi na
sasa Rais Kikwete wasitolee kauli
kuthibitisha au kukanusha ili kukata
mzizi wa fitina ? Kwa kukaa kwao kimya ni dhairi .ndio wahusika wa hizi
harakati zinazo endelea ,Na kama
sivyo ndivyo Basi Mwinyi na Kikweke
wanastahili .kuwa wasaliti wakubwa
wa uislamu na waislamu wa
Tanzania .na kafari ndio jina litakalo wastaili ,kwa ushauri waislamu
kwakuwa Mwinyi na
Kikwete .wanaingia msikitini pangeni
siku atakapo kuja mmoja
wapo .kusanyikeni msikitini mzuine
mpaka awaelezeni ukweli .jinsi ambavyo wamekuwa wanaendesha
nchi kwa kuwasaliti kwa kutumia
mfumo kristo kuwaonea waislamu ,au
njia ingine watengeni wasije kusali
nanyi mpaka watakapo waeleza
ukweli kama ni kweli au uongo .ili kupata suluhuu ya haya malalamiko
yenu.kwani hii njia kuzunguka huku
na kule .ni uoga ambao ni dhambi
mbele ya MUNGU .nakama mnavyo jua
dhambi uzaa mauti ..Kikwete huyo
hapo msikitini .huku kujizungusha kueneza chuki .kunatoka wapi ,jibu
mnalo mnalikalia .mmekalia dhahabu
mnaomba ,
 
udini utatuoeleka pambaya sana na hatima yake ni vita ya kimbali
 
Nimekuwa natafakari hilo dai la waislam hapo juu ninashindwa kupata jibu. Tukiwa kama ndugu (waislam + wakristu) inabidi tushikiriane kwa maendeleo ya nchi. Baada ya kuona waislam wanalalamika kunyanywaswa na wakristo imebidi nitafakari viongozi wa nchi yetu kwa kuangalia dini zao kitu ambacho nilikuwa sijawahi kukifanya nikashtuka jinsi waislamu walivyoshikilia nafasi nyeti na bado waislamu wanaona kama wanaonewa.

Rais - Mwislam
Makamu wa Rais - Mwislam
Jaji Mkuu - Mwislam
Jaji kiongozi - Mwislam
Katibu Mkuu Kiongozi - Mwislam
Mkuu wa usalama wa Taifa - Mwislam
Mkuu wa Polisi - Mwislam
Paymaster General - Mwislam
Accountant General - Mwislam
Waziri wa Ulinzi - Mwislam

The list can go on and on...

Sasa ndio kusema hawa viongozi hapo juu ni wapole sana kiasi kwamba wakristu ndio wanatawala nchi? Mnaweza kuomba kutatuliwa matatizo yenu bila kuona wakristu ndio kikwazo? Waislamu, wakristu sio adui zenu, hebu tutafakari!
ww ndio kabisa unatizama mambo kijuujuu hao sio watendaji wakuu, watendaji muhimu wapo chini yao. Hao watatekeleza yale ambao hao wachini wameyaona yanafaa na wameyafanyia kazi
 
dhana ya mfumo kristo sio kwamba kuchafuka kwa nchi imesbbishwa na wakristo, dhana hyo imekuja baada ya waislamu kuwa wanakandamizwa mfano mzuri juzi kati hapo necta kuhujumu matokeo ya waislamu na serikali kukiri hilo, ni wazi hujuma zipo.
Mfumo wa kiuchumi au kisiasa hapo hapana sio wakristo hapo wameshiriki wanancho wote na hasa CCM. Dhana hyo inaweza kufutika iwapo serikali itaacha ukandamizaji huo.
Hospitali na vyuo vya kanisa ni matokeo ya mipango yao mizuri na uwekezaji wao katika elim na afya, pia tangu ukolon wamishionary walijenga shule na hospitali, mwarabu yeye alibeba watumwa tu na kusepa zake. So serikali iache watu wote wawe sawa na huru na mambo ya iman yao ilimradi sheria za nchi zisivunjwe. Hapo dhana hyo haitakuwepo.
 
Mkuu Waislam wote sio CCM wala Waislam hawafungamani na upande wowote kama unavyotaka kulazimisha wewe Waislam ni CCM, wanaofaidika na CCM ni Wakiristo.
Sasa mbona mnasema CDM haiwezi shinda bila kura za Waislamu
 
hakuna cha propaganda its a fact zipo wazi....taifa limehujumiwa kwa upendeleo huu..
mwaka jana pale Milenium school ya Pengo....ilikuwa shule ya kwanza sijui kwenye NECTA...hapa walimu waliweka vitabu chooni mwanafunzi anaenda chooni kuchakachua maswali anarudi ndani kwa masharti ya kuwapatia jawabu darasa zima...hatimae hii shule ilikuwa ya kwanza...na Ndalichako hakuwa na ubavu wa kufuta mitihani ya shule hii...si na ya katoliki bwana...
ushahidi upo mukitaka nendeni mukaangalie mitihani yao kama haijafanana,
na hapa shule alipelekwa mwanamama msimamizi ambaye alikua na mimba kubwa....akilala mwanzo wa mitihani mpaka mwisho....
so ngungu yangu hakuna cha propaganda ni ukweli kuna hujuma dhidi ya elimu Tanzania.
inawezekana wapo kabisa wanaofanya mitihani kwa akili zao lakini sio rahisi tena kujua yupi amependelewa na yupi ana akili szake.
hapa ndio tumefika....
ngoja nikuulize swali kwa nini hii mitihani isifanywe kwa wanafunzi kupewa namba za siri na matokeo yawe kwa kutumia namba za siri ? kwa nini watu wanakataa hili? why why ? duniani kote unafanya mitihani kwa namba za siri.
kama unaona hakuna hila huko NECTA basi fanyeni kampeni kubwa na ya nguvu zitumike namba za siri kufanyia mitihani na results zitolewe kwa namba pia ....

Pole ndugu, umelishwa sumu ya kutosha, jaribu kufanya utafiti ktk shule ulizodai zina pendelewa
uone mazingira ya shule ikiwemo miundombinu na upatikanaji wa nyenzo za kujifunzia, idadi ya wanafunzi, namna walimu wanavyo fundisha, mchujo unaofanyika
mpaka mwanafunzi kufika siku ya kufanya mtihani wa mwisho (kuna kiwango cha ufaulu hapo).
Kisha linganisha na hizo una zolalamika wamefelishwa utapata jibu.
 
Chadema ni taasisi wewe unatumia mawazo ya mtu binafsi kuihukumu.

Unaniletea porojo wewe humu JF tunajuana kwa michango yetu ndio maana niliyomjibu kakaa kimya wewe umekurupuka kujibu tu, taasisi ya wapi Kaskazini.
 
Pole ndugu, umelishwa sumu ya kutosha, jaribu kufanya utafiti ktk shule ulizodai zina pendelewa
uone mazingira ya shule ikiwemo miundombinu na upatikanaji wa nyenzo za kujifunzia, idadi ya wanafunzi, namna walimu wanavyo fundisha, mchujo unaofanyika
mpaka mwanafunzi kufika siku ya kufanya mtihani wa mwisho (kuna kiwango cha ufaulu hapo).
Kisha linganisha na hizo una zolalamika wamefelishwa utapata jibu.
Jibu atapata kabla hata ya kwenda field kukusanya data.
 
Leo 9/9/2012, radio imaan, kama ilivyo kawaida yake, inaendesha mjadala ambao kwa ujumla wake unaeleza kuwa serikali ya Tanzania kila kitu kinaendeshwa kikristo kwamba waislam wanateswa, tengwa na kunyanyaswa.

Pia, wachangia mada,ambao ni mashekh, wanawahamasisha waislam wapigane kudai haki zako. Wanaenda mbali kusema kuwa waislam wasiogope serikali kwani wana historia ya kufanikiwa kila wanalolipigania. Mfano, maandamano dhidi ya sensa nk.

Hivi hii serikali wanasubiri nini kuchukua hatua? Ukimya wa serikali unaibua hofu kuwa labda haya madai lazima yapo.

Mi Napatwa na Hasira sana
Kumsikia Mtu anasema "Dini
yangu Tunaonewa" hivi Ni
Mtanzania Gani Anafuraha na
Maisha ya LEO??? Kila
Mtanzania Anaonewa na Kunyanyaswa....

Watanzania wanauawa
hovyo ila Akiuawa wa Dini
yako Eti unaona anaonewa
huu si Ubaguzi Jamani.. Yaani
mtu unakuwa na huruma
kwa Mtu unayemjua Pekee wengine waache Wafe....
Daah
 
Wewe jamaa punguani sana wewe kipindi cha nyuma si ulikuwa kazi yako humu JF kutukana Waislam, kejeli nyingi unawaita mashekh ubwabwa, akili za madrasa leo unajifanya mtu makini unadhani tumesahau wewe na jamaa yako Maxsimba, Rev Masanilo, mie nipo JF siku nyingi wanafiki wote nawafahamu.

Kamanda punguza munkari! Hizo mamba ulizozitaja zimewasaidia sana waislam
 
Umejidhalilisha mwenyewe kwa hoja zako, sisi hatuangalii waziri ni Muislam au Mkristo, tunachoangalia haki itendeke, eti tukae kimya kisa waziri muislam?? Non sense! Halaf nani kakuambia sisi tunaridhika na majina/vyeo vya viongozi?? Hilo somo unavyolidharau kwetu ndio muhimu sasa, na pia Islamic knowldge ni kama mfano wa dhuluma/ushahidi wa kuwakamtia how about masomo mengine?? Nani yupo na uhakika kama mnafelisha watoto zetu halaf mnatoa majibu mepesi na kuomba radhi daily. Enough is enough...
Waislam inaidhalilisha Dini yenu Ndugu zetu nyie mmezidi kulalamika!!Yaani kila kitu lawama Maraisi wote kikwete,Shein. Bilal wote Islamic viongozi wakubwa wakristo ni watatu tu Pinda.Mwamunange na Spika lkn nyie mnalalamika sana mara baraza linawafelisha wakati waziri Muislam! Somo gani mmefelishwa eti islamic knowledge!! Somo ambalo halikusaidii lolote kwenye dunia ya sasa!! eleweni Kulalamika bila sababu ya msingi ni kujidhalilisha!!
 
Tangu harakati za kupigania uhuru mpaka sasa waislam kukaa kimyaa kweli hawana uvumilivu!! Sasa unataka wakristo walete fujo wakati MoU inawanufaisha nyie, kga wee vp?? Juzi tu mmepewa Billion 60 na serikali na kuahidi kumalizia Billion 40, hivi mlishamaliziwa eehh???
Frankly speaking, uislam una mafundisho mengi mazuri lakini si yote. Pamoja na hayo kinachokosekana miongoni mwa waislam ni (uvumilivu)torelance na kujiamini. Alwayz wanajifeel inferior. Na kwa hakika kuishi nao lazima uwe mvumilivu
my take
Siku wakiristo wakikosa uvumivu hapo ndipo shughuli itakapoanza. Naomba Mungu aendelee kuwapa uvumivu wakiristo wenzangu ili tusifike huko waislam wanapotaka tufike.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom