Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.
Naogopa ugomvi wa kidini sana kwani hata mke wangu anaweza kuniua kwani tumeoa waislaam jamani TUACHE HII HABARI
 
Mfumo kristo ni ule ambao hospitali za kikristo kama peramiho, bugando, Kcmc, Ifakala, Itigi, Nkinga, Seriani n.k kuwatibia watu wote wakiwemo waislamu bila kuwabagua kwa misingi ya dini zao
Mfumo Kristo ni ule ambao vyuo vilivyoanzishwa na wakristo kama KCMC, BUGANDO, ST AUGUSTINO, ST JOHN, Nkinga, Kirimatinde, Kwa lena nk husomesha wakristo na waislamu bila kuwabagua tofauti na Morogoro Muslimu university ambayo wanafunzi wake wengi( na wahadhiri ) ni waislamu.
Mfumo Kristo ni ule ambao nyumba za ibada za wakristo zinachomwa moto na wao kukaa kimya wasipachimbe wakati kama ungechomwa msikiti mmoja yangechomwa labda makanisa 100.
Mfumo Kristo ni ule ambao taasis za Kikristo zinawaajiri waislamu na watu wa dini nyingine sawasawa bila kuwabagua kama zifanyavyo taasisi za kiislamu
Mfumo Kristo ni ule ambao wakristo wanaweza kulazimishwa kuishi maisha ya shida ( kama ilivyotokea kwenye mfungo wa ramadhani Zanzibar majuzi)ili tu kuwafanya waislamu wafanye ibada kwa mungu wao
Mfumo Kristo ni ule ambao Redio na Magazeti ya kiislamu ( mfano Redio Imani) wanakashifu wakristo na imani yao bila hata kukemewa au kufungiwa na mtu yeyote
Mfumo Kristo ni ule ambao wakristo wanakubali kushiriki ibada ya waislamu( mfano kulazimishwa kula nyama ya mnyama aliyechinjwa na mwislamu) ili tu kumfanya mwislamu atimize ibada yake...

Hahahahaha....ENDELEZA HAPO!!!

MYTAKE; Wanaochokonoa udini kwa kigezo cha kujifanya wanaonewa na mfumo uliopo wajue kuwa " mkataa pema pabaya panamngoja"
 
Nimekuwa natafakari hilo dai la waislam hapo juu ninashindwa kupata jibu. Tukiwa kama ndugu (waislam + wakristu) inabidi tushikiriane kwa maendeleo ya nchi. Baada ya kuona waislam wanalalamika kunyanywaswa na wakristo imebidi nitafakari viongozi wa nchi yetu kwa kuangalia dini zao kitu ambacho nilikuwa sijawahi kukifanya nikashtuka jinsi waislamu walivyoshikilia nafasi nyeti na bado waislamu wanaona kama wanaonewa.

Rais - Mwislam
Makamu wa Rais - Mwislam
Jaji Mkuu - Mwislam
Jaji kiongozi - Mwislam
Katibu Mkuu Kiongozi - Mwislam
Mkuu wa usalama wa Taifa - Mwislam
Mkuu wa Polisi - Mwislam
Paymaster General - Mwislam
Accountant General - Mwislam
Waziri wa Ulinzi - Mwislam

The list can go on and on...

Sasa ndio kusema hawa viongozi hapo juu ni wapole sana kiasi kwamba wakristu ndio wanatawala nchi? Mnaweza kuomba kutatuliwa matatizo yenu bila kuona wakristu ndio kikwazo? Waislamu, wakristu sio adui zenu, hebu tutafakari!
 
Leo 9/9/2012, radio imaan, kama ilivyo kawaida yake, inaendesha mjadala ambao kwa ujumla wake unaeleza kuwa serikali ya Tanzania kila kitu kinaendeshwa kikristo kwamba waislam wanateswa, tengwa na kunyanyaswa.

Pia, wachangia mada,ambao ni mashekh, wanawahamasisha waislam wapigane kudai haki zako. Wanaenda mbali kusema kuwa waislam wasiogope serikali kwani wana historia ya kufanikiwa kila wanalolipigania. Mfano, maandamano dhidi ya sensa nk.

Hivi hii serikali wanasubiri nini kuchukua hatua? Ukimya wa serikali unaibua hofu kuwa labda haya madai lazima yapo.
 
serikali ndio inayowatuma wewe unategemea nini? Sasa unashindwa nini kuelewa serikali inangozwa na viongozi wote wa kiislamu halafu bado wanalalamika je wanataka wakristo tuhame? Ukweli ni kuwa hawa mashehe wanatumwa na kina bilal na mrisho ili kuukandamiza ukristo.
 
Mkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?

Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?

Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !
 
serikali ndio inayowatuma wewe unategemea nini? Sasa unashindwa nini kuelewa serikali inangozwa na viongozi wote wa kiislamu halafu bado wanalalamika je wanataka wakristo tuhame? Ukweli ni kuwa hawa mashehe wanatumwa na kina bilal na mrisho ili kuukandamiza ukristo.

Naweza kukubaliana na wewe ndugu! Katika hali ya kawaida, uchochezi huu hauvumiliki.
 
Mkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?

Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?

Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !
Mkuu si umwage kila kitu ili tuweze kufahamu!
 
Mkuu, Kwani wewe ambacho hapo hukifahamu ni nini ? Vatican sio nchi lakini wana Balozi wao hapa nchini weee unadhani anasimamia yapi hasa ?

Alafu usiwe mtu tu wa kulalamika mitandaoni fanya ka utafiti kidogo. Nikuulize kitu pale Kurasini baada ya kupita mivinjeni kama unakwenda kariakoo kabla ya kuikuta ile round about inapoanzia mandela road hapa nyuma kuna geti limeandikwa maandishi flani hivi alafu kuna nembo ya Taifa ( Bibi na Bwana ) kama ile iliyopo getini pale Ikulu. Umeshawahi kujiuliza kuwa ni nini kile ?

Basi acha kutoka mapovu huku mtandaoni na utafanye tafiti ! Mimi nakushauri kuwa hawa jamaa wako sahihi kabisaa !

Kwa uchunguzi huu ulioufanya mtaendelea kuvuta tela mpaka mwisho wa safari ....
 
Radio Iman ni wachochezi,na bila shaka kuna mkono wa serikali nyuma yake,la sivyo ingekuwa imefungiwa tayari.
 
Radio Iman ni wachochezi,na bila shaka kuna mkono wa serikali nyuma yake,la sivyo ingekuwa imefungiwa tayari.

Ya ni kweli . mrisho na bilal wapo nyuma yao na nasikia kuwa magogoni anapenda sana kuisikiliza hii redio hizi ni taarifa tokea jikoni huko
 
Kasome kitabu kinachoitwa kanisa katoliki na siasa za Tanzania,kilichoandikwa na padri Syvalon ndio utajua kwanini radio imaan wanazungumza wanayozungumza.
 
Ingekuwa gazeti fulani au chama fulani, hivi ninavyoandika kingekuwa korokoroni tayari!!!
 
Acha uongo wewe, hiyo redio unasikiliza peke yako sasa hivi?

Kinachozungumziwa ingeneral ni ile double standard inayofanywa na serikali, mfano wakatolea mauaji ya mwembechai iliombwa tume iundwe serikali ikakataa mwaka huohuo akauliwa mbwa wa police sumbawanga tume ikaundwa haraka, wanahoji mifano kama hiyo, lingine Dr. Slaa sms aliyomuandikia IGP ya kitisho je ingekuwa wengine ingekuwaje?

Kingine kinazungumzua media zilvyokuwa na bad perception na waislamu hada kny suala la sensa. Huwa mnakaa humu na kusema ooh waislamu wanapendelewa sababu wenzao ndio viongozi kama Rais,Igp etc etc lakin haohao ndo sasa hivi wanashutumiwa pia. Huwa najiuliza humu JF watu kama wewe huwa mnawaza before kuleta humu au ili mradi nawe upost hata kama uongo?

Kajipange tena na propaganda zako za kichekechea.
 
Yaani kuwambia Waislam wapiganie haki yao ni huu uchochozi...hakuna kosa hapo uwoga wako tu.
 
Labda ndiyo njia rahisi serikali imebuni kuwasaidia watz_ kwa kuwasahaulisha vipaumbele na kuzingatia mazonge. Kumbuka lengo la serkali dhalimu ni kuendelea kutawala kwa mbinu yoyote ile.
 
serikali ndio inayowatuma wewe unategemea nini? Sasa unashindwa nini kuelewa serikali inangozwa na viongozi wote wa kiislamu halafu bado wanalalamika je wanataka wakristo tuhame? Ukweli ni kuwa hawa mashehe wanatumwa na kina bilal na mrisho ili kuukandamiza ukristo.

Mkuu hivi ndani ya Chadema hakuna Waislam?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom