Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

Status
Not open for further replies.
Kwani we ndio unajua.Imani yake ipoje katika dini yake. Angalia na watu wa.kuwasemea alafu pia angalia na umri wake then compare na umri wa wengine walioenda
 
Kabla sijatoa hoja yangu, ninaomba ku declare interest. Mimi ni Mkatoliki pure. Then here i come

MTAZAMO WA WASABATO KUHUSU KANISA KATOLIKI:

Wasabato wanaamini Kanisa Katoliki ni kanisa la Shetani. Kwa wasabato unapokuwa unamzungumzia MPINGA KRISTO, unamaanisha 'KANISA KATOLIKI " ( Holy Sea/Vatican ) .


MTAZAMO WA WASABATO KUHUSU UISLAMU :

Wasabato wanaamini kwamba dini ya kiislamu imeanzishwa na Kanisa Katoliki ( VATICAN/ HOLYSEA ).

Hivyo basi kwa hoja hii, wasabato wanasema waislamu hawana hoja ya msingi kuhusu kile wanacho kiita eti " Mfumo Kristo !" ambao kwa mujibu wa waislamu, ni mfumo uliosimikwa na kanisa katoliki kwa manufaa ya kanisa katoliki. Kwa wasabato kuzungumzia kitu kinachoitwa mfumo Kristo kwa mtazamo wa akina She.Ponda ni kichekesho kwa sababu, hata siku moja kanisa katoliki haliwezi kuungamiza mfumo unao lisaidia kulinda maslahi yake ya kimwili na kiroho. ( UFALME HAUWEZI KUUANGAMIZA UFALME MWENZAKE ).... Kusummarize hoja yangu, Wasabato wanaamini UKATOLIKI ni Dini ya MPINGA KRISTO, na ndio ulioanzisha UISLAMU ( ambao ni MPINGA KRISTO PIA ) kwa madhumuni ya kupambana na Kanisa la kweli la Kristo, so waislamu wanao ongea kuhusu MFUMO -KRISTO they are just blind followers who do not know any thing.

SOURCE : The Islam & Catholic Connection 1/11 **Important** - YouTube

Nenda google, kisha type : ISLAM CATHOLIC CONNECTION
 
wasabato si wakristu, wanakosa elementi zote za ukristu- Askofu Kilaini.



wanaamini tu kwenye kitabu cha ufunuo na Daniel
 
wasabato si wakristu, wanakosa elementi zote za ukristu- Askofu Kilaini.



wanaamini tu kwenye kitabu cha ufunuo na Daniel

Hata Father wa kanisani kwetu amekwisha lisema sana hilo kwamba jamaa sio wakristu, but what kuhusu suala la hoja yao kwamba kanisa katoliki ndio limeasisi uislamu?umetazama hiyo presentation?
 
Hata Father wa kanisani kwetu amekwisha lisema sana hilo kwamba jamaa sio wakristu, but what kuhusu suala la hoja yao kwamba kanisa katoliki ndio limeasisi uislamu?umetazama hiyo presentation?


Hilo mpaka niende kwenye maktaba ya Vatican, ki ukweli sina cha kusema
 
Uislam ni dini ya kiuchokoziiiii..yana hawa mabwana ni hopeless kabisa..bora wamenyimwa akili
 
Wakuu,
Asalam aleykum,Tumsifu Yesu Kristo,Mwana kondoo ameshinda,Bwana Yesu asifiwe na wale wengine, Mambo vipi......
Rejeeni kichwa cha habari hapo juu wadau sio siri jambo hili limekuwa likinipa shida kulielewa ktk siasa za Tanzania linawezekanaje. Nimekuwa nikisikia malalamiko mengi sana kuhusiana na jambo hilo kwa namna moja ama nyingine nimekuwa silielewi. Mathalani, unakuta mtu analalamika uwepo wa mfumo kristu kwasababu ya kwamba,shule zinafunguliwa siku ya ijumaa (siku ya ibada kwa Waislam) na hufungwa siku ya Jumapili (siku ya ibada kwa Wakristu). Wengine wanadai kuna MOU iliyowekwa kati ya madhehebu ya dini ya kikristo na Serikali kwaajili ya kuendesha Shule na Mahospitali za madhehebu hayo.

Na ktk thread ya ndugu MZIMU kwenye jukwaa la Katiba hivi majuzi, alijaribu kuelekeza shutuma zake kwa Kanisa na mfumo kristu kwamba ndivyo vilivyosababisha kutokuwepo kwa Mahakama ya Kadhi ktk Rasimu pendekezi ya Tume ya mabadiriko ya Katiba. Na si huyo tu, Wengi wamekuwa wakihusisha mafanikio ya madhehebu ya dini ya kikristu ktk huduma mbalimbali hapa Tanzania na uwepo wa mfumo Kristu. Ikumbukwe hata Marehemu shehe Ilunga aliwahi kwa nyakati tofauti kulipigia kelele jambo hili kwamba ndilo limekuwa kikwazo kwa madhehebu ya dini ya Kiislam kushindwa kusonga mbele kimaendeleo.

Katika hali ya kawaida ni rahisi sana kuyapuuza madai haya kutokana na ukweli kwamba ni ngumu kwa Tanzania kuwa na kitu kama hicho ukizingatia ukweli kwamba, Tanzania duniani kote inajinasibu kwamba haina dini bali wananchi wake ndio wenye dini. Na pia kukubaliana na jambo hilo ni ngumu vilevile kutokana na ukweli nilioubainisha hapo juu kwamba Tanzania haina dini. Sasa uwepo wa madai haya na uwingi wake huwezi kusema tu kwamba mtu anadanganya ama kupotosha. Na pia huwezi kusema kwamba anasema ukweli kutokana na ugumu wake wa kuyatekeleza ndani ya siasa za Tanzania.

Ningeomba kwa wale wenye taarifa za kweli na zenye uthibitisho usio na shaka waje hapa watujuze jambo hili liliingiaje nchini Tanzania na linafanyaje kazi na ktk misingi ipi? Kwamba hiyo MOU Iliyofungwa na serikali na hayo madhehebu ya dini ilifungwa lini? Na Je mkataba wake ni wa wazi au kificho? Kama ni wa wazi je wanaweza kutuletea hapa copy ya mkataba huo? Kama ni siri je waliwezaje kujua kama kunakitu kama hicho ilhali jambo hilo limefichwa? Wakitutatulia jambo hili watakuwa wametusaidia sana sisi kizazi cha juzi kati hapa kwani tutaweza kujua ni nini mababu zetu walikikosea ktk siasa za hapa nchini petu, na sisi tufanye nini ili tuweze kuondokana na malalamiko haya ya upande mmoja wa dini kuulalamikia upande mwingine kwamba unapendelewa.

Katika mjadala/Mnakasha huu niwaombe wafuatao ili wawe nguzo na mwongozo wa majadiriano haya mohamedi Saidi FaizaFoxy mkandala Mzee Mwanakijiji Pasco Eiyer Ishmael Nguruvi3 Mag3
Pia wake wazee wa "makavu live" kama MZIMU Ritz THE BIG SHOW Boko haram Matola Ngongo Kigogo Remote na wengineo,Kama mkiweza kutupisha au mkachangia kwa staha kile mnachokijua kuhusiana na mada hii itakuwa vyema sana.


BACK TANGANYIKA
 
Mfumo Kristo Ndio Mfumo Unao Endesha Dunia. UPO, UTAKUWEPO ,NA UTAENDELEA KUWEPO.
NI VIGUMU SANA KUONDOA HUU MFUMO TANZANIA HATA RAIS AWE PONDA ATASHINDWA TU.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom