Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....

10. Kuvaa boxer / singlend chafu

11. Kutongoza haus gel

12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........

Nitarudi!!!!
kha wewe ndo umekuja kuua kabisa.Ni uamuzi wangu mwenyewe..... naomba lolote litakalotokea Charmin...aulizwe
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??

Tupo ambao hatufanyi hizo dhambi, na huenda tuko smart zaidi ya nyie wake zetu
 
naona mnafunguka ili tupate kuwajua wanaume wenu walivyo wachafu,lakini msisahau munekano wa mwanaume ni matunda ya mwanamke na mwonekano wa mwanamke ni matunda ya mwanaume
 
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

duh kama tunaishi wote? umepiga kwenyewe kabisaa
 
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....

10. Kuvaa boxer / singlend chafu

11. Kutongoza haus gel

12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........

Nitarudi!!!!

wallah usirudi, hapa tu ushaua bendi ukirudi itakuwaje?? acha bana...japo si yote ya kweli lakini mmhh!!
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??

mi sina la kunena ila naahidi "BIG RESULT NOW" na ntaanzia chini kupanda juuu
 
Namba moja, tano hadi nane mi simo.
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
 
hii analysis umeichukua wapi!!
Obviously itakuwa nyumbani kwako!!
 
Aliyesema wanaume ni kama watoto hakukosea......mana kuna vitu vinafanywa na wanaume ukifikilia haumpatii majibu.....
 
...hahahahah halafu kuna kale katabia kao kengine utakuta amekaa kwenye kochi, just mbele yake tu ambapo hata akinyoosha mkono anafikia kuchukua kitu km simu, utakuta anasema 'naomba nipatie simu yangu io hapo'...
 
ndiyo yupo naye ni Excellent au
nakosea bestito kuwa wewe hujawafanya hivyo vilivyolistiwa hapo juu?

1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom