Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??


Yaani hiyo No 2 ngoja ni nyamaze tu maana
 
13.kutongoza tongoza nje
14.kumnyima mke kuvaa nguo fulani wakat huko nje hukodoa macho kodo na kuwasifia wengine
15.kutoka bila kuaga wanaenda wapi
16.kwenda outing bila wake zao
namalizia kula kwanza nakuja
 
13.kutongoza tongoza nje
14.kumnyima mke kuvaa nguo fulani wakat huko nje hukodoa macho kodo na kuwasifia wengine
15.kutoka bila kuaga wanaenda wapi
16.kwenda outing bila wake zao
namalizia kula kwanza nakuja

Shiba kwanza swahiba...
 
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....

10. Kuvaa boxer / singlend chafu

11. Kutongoza haus gel

12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........

Nitarudi!!!!

Mmmh! Hiyo nyumba itakuwa jela, mpaka dawa ya meno nayo protokali kuzingatiwa?
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari...
Hii kwangu ni mpya! Au ni mwanaume punguani?

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa..
Hii nayo inashangaza!

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
Hii ina kweli sana. Lakini mara nyingi wake zetu pia wanapenda kuhamisha vitu na kuweka wanapotaka bila kutoa taarifa kuwa wamehamisha. Either way, ni dhambi amabyo wengi tunaifanya.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
Hii labda ni kwa wachache

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa..
The african way!Ukarimu wa mke ndio "unapimwa" vizuri!

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
Hizi pia ni kwa wachache sana.

8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Niseme nini wakati hapo unakuta kesha ni boa kwa kumsubiri zaidi ya nusu saa!?
 
18. Kumkataza wife kuvaa chachandu a.k.a.......... zile za wamasai zenye rangi nzuri nzuri.

Hiyo umenigusa na za wanawake wa Bar unazitolea macho!!

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Hii kwangu ni mpya! Au ni mwanaume punguani?

Hii nayo inashangaza!

Hii ina kweli sana. Lakini mara nyingi wake zetu pia wanapenda kuhamisha vitu na kuweka wanapotaka bila kutoa taarifa kuwa wamehamisha. Either way, ni dhambi amabyo wengi tunaifanya.

Hii labda ni kwa wachache

The african way!Ukarimu wa mke ndio "unapimwa" vizuri!

Hizi pia ni kwa wachache sana.

Niseme nini wakati hapo unakuta kesha ni boa kwa kumsubiri zaidi ya nusu saa!?

Hapo pia hawa wananichelewesha sana mpaka mnaanza safari nyote mmenuna.

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom