Kwa usafi tu naongoza ila kuna vibweka vingine.... ambavyo siwezi kuvikataa....
hiyo ya 11,ni kama inanihusu sana.....
Kuna hii ya soksi kupotea ndani kila siku, hivi zinaenda wapi?
Hiyo namba5 kama ungekuwa ndo Mke wangu nina uhakika ungechukia sana...chakula kitu gani bwana...!!
Hahahaha.......usipokuwa makini nae anavaa soksi ambazo hazifanani.......
5 na 6 ni malalamishi yanayoashiria roho mbaya, uchoyo na wivu usiokuwa wa msingi, vyote kwa pamoja. Vingine vyote uko sawa kabisa, iwapo tu huwa kweli vinafanyika hivyo
:caked:SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI😕
Kujifunga taulo na kukaa kifua wazi na kutembea hivyo hivyo nje ya nyumba.
Lucky me, I'm single, Celibate and not searching!!!!!
joto sana mkuu sometimes mwili unahitaji kupumua
So what? What a fallacious argument!!!!!!!!Celibate? Even sisters who always have god's name in their mouths sometimes fail to maintain celibacy!
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
Si unajua hawa viumbe walivyo wabinafsi?