Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Dhambi wazifanyazo wanawake walioolewa
1: Kumuacha mume avae boxer au singlend chafu!
2: Kumuacha housegirl afanye kazi zote ikiwa ni pamoja na kutandika kitanda chenu,kumwandalia mume wako nguo na kumpelekea maji ya kuoga bafuni.
3: Kununa kisa mume amekuja na mgeni nyumbani
4:
5:
6:
7:
8:

Nilikimbia....ila nimerudi kuona hukumu ya wanawake walioolewa....
 
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi

Da mzee umenigusa... mle mle... ha ha ha....
 
13. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
14. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
15. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi


16. Kuvaa chupi za wife
 
Mimi sio mchafu ILA usafi WA mke wangu unanikera sasa, live example ni Leo, nimeenda ibadani tena asubuhi kurudi tu nikabadilisha nivae nguo nyepesi ninywe chai, mara nashtuka nguo ziko kwenye dishi.

Kuna mahali tumetoka mchana tukarudi saa 11 jioni, nikavua tisheti yangu nipate upepo, natoka sasa hivi natafuta fulana nivae eti kaifua. Nimenuna kwakweli

Sasa Mkuu hivyo ndivyo inatakiwa iwe. Shukuru umepata mke mwema huyo!!
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
mimi namba nane inanihusu na nimejitahidi kubadilika nimeshindwa, mara nyingi nasifia kabla cjapata
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??

kama ni dhambi nishafanya karibu zoote hapo!
 
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Hapa hakuna shida mdada, pendeza kisawasawa halafu jitaidi sana muongozane! Fanya hivi mara nyingi mwenyewe tu atakaa sawa!!
 
Mimi sio mchafu ILA usafi WA mke wangu unanikera sasa, live example ni Leo, nimeenda ibadani tena asubuhi kurudi tu nikabadilisha nivae nguo nyepesi ninywe chai, mara nashtuka nguo ziko kwenye dishi.

Kuna mahali tumetoka mchana tukarudi saa 11 jioni, nikavua tisheti yangu nipate upepo, natoka sasa hivi natafuta fulana nivae eti kaifua. Nimenuna kwakweli

Hata nami hufanya hivyo. Yawezekana unavua nguo na kuzirusha juu ya kiti au kitanda bila ku hang mahali husika. So nguo ikiwekwa pasipostahili ni chafu ya kufua hiyo.
 
Back
Top Bottom