Murukulazo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 574
- 221
hivi jamani hii tunayotumiaga ni dawa ya mswaki au dawa ya meno? :A S 39:
duh kama tunaishi wote? umepiga kwenyewe kabisaa
hivi jamani hii tunayotumiaga ni dawa ya mswaki au dawa ya meno? :A S 39:
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
Kwa usafi tu naongoza ila kuna vibweka vingine.... ambavyo siwezi kuvikataa....kumbe wewe uko hivyo mhm! washangaza sana kuwa msafi besti uchafu ni aibu kwako na mkeo
hiyo namba 3 ilishanikuta mke akasepa nami nikamwambia una lako jambo mpaka leo 7yrs1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.
2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.
5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
charminglady tangazo la ndoa yako sijalisikia...haya mambo ya ndani kabisa umeyajuaje mpendwa au kwenye semina?9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....
10. Kuvaa boxer / singlend chafu
11. Kutongoza haus gel
12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........
Nitarudi!!!!
Haahaa Wanaume nao ni watoto atiiiiiii!
Hahahah! Hii inanihusu4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.