Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

Dhambi 8 za wanaume waliooa!!

hivi jamani hii tunayotumiaga ni dawa ya mswaki au dawa ya meno? :A S 39:
 
Charminggal umeozaje? Kama ndo mume wako yuko hivyo una jasara kubwa. Pole kwa kwili.
 
Kuna hii ya soksi kupotea ndani kila siku, hivi zinaenda wapi?
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??



Pasipo kufanyikia haya, huo uanaume utatoka wapi....?

Lazima tutofautiane, na ndo mahusiano yanapodumu hivo.....
 
Namba 1 mpaka 4 huuu...ni kero kubwa kwangu
 
1-Kutumia nguo nzuri au taulo la mwilini kufutia gari.

2-Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa

3-Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.

4-Kuacha magazeti yanazagaa chini baada ya kuyasoma.

5-Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.

6-Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.

7-Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.


8-Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.

Kuna ambaye hajafanya dhambi moja kati ya hizi??
hiyo namba 3 ilishanikuta mke akasepa nami nikamwambia una lako jambo mpaka leo 7yrs
 
9. Kubinya dawa ya mswaki katikati....

10. Kuvaa boxer / singlend chafu

11. Kutongoza haus gel

12. Kuwa wavivu kuoga/kupigaswaki ...........

Nitarudi!!!!
charminglady tangazo la ndoa yako sijalisikia...haya mambo ya ndani kabisa umeyajuaje mpendwa au kwenye semina?
 
Last edited by a moderator:
Hiyo namba5 kama ungekuwa ndo Mke wangu nina uhakika ungechukia sana...chakula kitu gani bwana...!!
 
Back
Top Bottom