Mwakamele 16
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,493
- 1,114
Mheshimiwa aunganishe kituo hicho pamoja na yale magazeti mawili ambayo siku zao zinahesabika
wanatumia Baiskel ya Haina Gani?Wamechocheaje dadavua
Ukiona mtu anaijadili ID ya JF ujue upeo umefikia kikomo kabsa,Akili zako ni Finyu sana ungekuwa unajua maana ya nanyupu kwa kibantu ungehamia kwenye tundu la choo ukajifiche,Njaa ya Ukuu wa wilaya umekufanya ujitoe Fahamu na kudhani DW ni kama radio Magic baba yako ataifungia kama ww unavyofungiwa ndani na mmeo. Peleka ujinga wako kwa wijanga wenzako.We ushuz umecoment ushuz gan we ni ushuz kweli kweli
WameCHOCHEA NINI? Lini? Nani alichocheka?Wamesemaje
Wewe lazima utakuwa ni kilaza namba one unatumia mbinu za 1923 kujipendekeza kwa mkulu, umeona utoke na DW angalau upoze njaa zako,nenda kaolewe na lipumba hana mke upate kumaliza njaa zako huko,Ukuu wa wilaya hupati huna Akili ya kuongoza watu ww.Ukipenda lia kabisa kiongoz wangu
Nanyupu ni kijiji ambacho kiko huko inchi ya mbaliUkiona mtu anaijadili ID ya JF ujue upeo umefikia kikomo kabsa,Akili zako ni Finyu sana ungekuwa unajua maana ya nanyupu kwa kibantu ungehamia kwenye tundu la choo ukajifiche,Njaa ya Ukuu wa wilaya umekufanya ujitoe Fahamu na kudhani DW ni kama radio Magic baba yako ataifungia kama ww unavyofungiwa ndani na mmeo. Peleka ujinga wako kwa wijanga wenzako.
MBONA AMEELEWEKA!Wewe ndo hamunamo kabisa
Dw kipo nchi ni ndo kusema hapo unamanisha nini
nasubiria umalize kuandika nicommentKituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.
Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.
LINGEKUWA GAZETI LA MACHEO LINGEFUNGIWA HADI MATOLEO YA MWAKA ULE SASA KWA DW KINA CHA MAJI NI KIREFUnanyupu-a.k.a kilaza wa 2017 Kajinga sana kanadhani watanzania ni wajinga kama kenyewe,kemesahau kuwa wananchi wa sasa wapo makini wanajua kutafakari kila jambo na Ukweli wanaujua na propaganda za kujipendekeza wanazijua hata mbinu za kusaka vyeo toka kwa mkulu wanazijua, nanyupu jiongeze buni mbinu mpya kwani mbinu zako za sasa ni Analogia sana peleka kwa wajinga wenzako watu wanaipenda DW na kwa Akili yako ndogo usidhani itafungiwa.
Kwani ulivyoandika hujaona? Emu rudia thread yako kuisoma vizuri utagundua kuwa umeandikajeWewe ndo hamunamo kabisa
Dw kipumeandikajdo kusema hapo unamanisha nini
Kisha akampe mkewe usaha huo ale na nduguzemkulu amesema kisipojirekebisha kipo njiani kutumbuliwa kwa sababu serikali yake ya utumbuaji haitavumilia
Wacha tupigane tufe!Naomba uelewe kaa mbali na hicho kituo maana mda si mrefu kinaweza haribu aman ya nchi yetu
Inawezekana kabisa mkuu hujui hata DW ni kitu ganiKituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.
Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.
Ngoje kije kufungiwa na mtukufu wetu wanadhani hata kama ni cha nje tutaogopa?Kituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.
Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.