Wewe ndo hamunamo kabisa
Dw kipo nchi ni ndo kusema hapo unamanisha nini
Hahahahaa! " Hamunamo kabisa" wewe kama sio wa Taaarime basi ni Kigoma
Wewe ndo hamunamo kabisa
Dw kipo nchi ni ndo kusema hapo unamanisha nini
Ulikua na haja gani kuanzisha thread wakati huwezi kutoa taarifa kamili?Kwani hujui mkuu
Nadhani we bado mpya sana kwenye DW, kile Kituo si cha kipuuzi kiasi hicho, always they are straight forward, huwa hawana longolongo kama vituo mlivyo zoea, si maanishi kuwa they are perfect for 100% ila asilimia kubwa wanachambua uhalisia bila kujali ni nani Wanamchambu, unaposema ni wachochezi hebu weka wazi ni wapi wamechochea?Kituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.
Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.
Hii nadhani wanafanya makusudi kwa sababu psychologically unarudia rudia neno/maneno frequently huku ukiwa unabadilisha maana ili kukidhi matakwa yako hii Ina affect in subconscious level so by the time watu wanazoea maana bila kujali maana halisi.Uchochezi ni nini? Hilo neno uchochezi linatumika vibaya sasa,inapaswa Neno uchochezi lilaniwe maana sasa Neno Uchochezi linatumika kuharalisha uzushi,Uonevu na hata Uongo kila mjinga akiona CCM inakosolewa anakimbilia kukariri Neno uchochezi, tambua kuwa Watanzania wa sasa wapo makini kwani hawachochewi kirahisi pasipo kutafakari hivyo Neno uchochezi hawalitaki maana halina maana yeyote kwenye kipindi hiki cha njaa na uonevu wa kuzuia mikutano ya siasa.
Unapaniki bure they are just being sarcasticKifungwe nini? Kwani DW ni mali ya Tanzania?
Kwani DW ni mali ya Tanzania?
umaarufu gani sasa???Acha kutafuta umarufu kupitia mgongo wangu we dume suruali

Tangu lini mzungu akawa kimbilio kwa mwafrika? WAULIZE WALIBYA AMBAO WAMEISHIA KUWA WAKIMBIZI. ...Kuna kawimbo tulikuwa tunaimba shule Enzi za Nyerere wakati wa halaiki: .....HUU NI MWITO KWA WATANZANIA. .WANANCHI MSIFADHAIKE. .NA MTU ASIYEJUA KUFA. .MWAMBIE AONE KABURI. ..WAKOLONI WASIJE KURUDI. .WANANCHI TULINDE TAIFA. .TANZANIA. ...ulikuwa ni uwimbo mzuri. ..na zilikuwa ni nyingi sana...DW huenda ndio ikawa kimbilio letu la mwisho kupata habari baada ya vituo vyote nchini kufungwa.
Tatizo ushamba anafikiri kituo kipo TanzaniaMkuu umeishia la ngapi..
1.Dw kipo nchi ni? ?
2.Uchochezi wake ni upi?
Duh! Ushamba mwingineKifungiwe tu. Maana sasa hamna namna.
Huyo anajua mzungu ndo kimbilio kwa sababu alimuletea din na lugha ya malikiaTangu lini mzungu akawa kimbilio kwa mwafrika? WAULIZE WALIBYA AMBAO WAMEISHIA KUWA WAKIMBIZI. ...Kuna kawimbo tulikuwa tunaimba shule Enzi za Nyerere wakati wa halaiki: .....HUU NI MWITO KWA WATANZANIA. .WANANCHI MSIFADHAIKE. .NA MTU ASIYEJUA KUFA. .MWAMBIE AONE KABURI. ..WAKOLONI WASIJE KURUDI. .WANANCHI TULINDE TAIFA. .TANZANIA. ...ulikuwa ni uwimbo mzuri. ..na zilikuwa ni nyingi sana...
Nina hasira sana tena shingo imevimba wemesemaje tena ngoja tukifungie maana wanavuka mipakaKituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.
Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.
Na wewe acha unafiki hakuna mtukufu au Mtakatifu chini ya mbinguKituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.
Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.