Deutch Welle yaanza uchochezi

Deutch Welle yaanza uchochezi

Tatzo wale wa kidumu hatupendi ambiwa ukwel sijaona uchochezi ila kachambuliwa kama vile ambavo kina trump,purtin nk wanachambuliwa tumia akil jiongeze unavo post kitu
 
Madiliko ndo mdudu gani huyo? Nenda shule kasome rafiki siku hizi elimu ni bure na madawati yapo huwezi kukaa chini.
Kajamaa huenda kameota kuwa kakiamua kukomaa na DW labda katabulia ukatibu Tawala huko wilayani ndiyo maana kaongea mambo ya kwenye kampeni.
 
Kajamaa huenda kameota kuwa kakiamua kukomaa na DW labda katabulia ukatibu Tawala huko wilayani ndiyo maana kaongea mambo ya kwenye kampeni.
We ushuz umecoment ushuz gan we ni ushuz kweli kweli
 
Habari ipi ya uchochezi? Eleza kitu kinachoeleweka basi. Unatoka mapovu tuuu
 
Ungeelezea habari yenyewe ya uchochezi tungeweza kufahamu unazungumzia nini
 
Mkuu umeishia la ngapi..

1.Dw kipo nchi ni? ?
2.Uchochezi wake ni upi?
huyu jamaa hayuko silias, anafanya utani, ila nimemuelewa:
dw walikuwa wanmhoji mwandishi mmoja wa habari "wa Tanzania" walimuuliza maswali mengi yanayoihusu serikali na mipango yake, ikiwa pamoja na kumtaja asiyejaribiwa,
naona ndipo huyu jamaa alipostic
 
Back
Top Bottom