Muda si mrefu atakifungiaa
Kwani hiki nacho ni kimojawapo kati ya yale mawili ya "kichochezi"?
Muda si mrefu atakifungiaa
Haya mkuu,usinywe glass nyingi,inawezekana jamaa yuko ndani anahesabu idadi ya glass za juisi unazoletewa,huu msimu wa kubana matumiziHapana mkuu mara moja moja leo si weekend kiongoz wangu
Mawio wapo Tanzania na DW wapo GermanVip kuhusu mawio nayo ni mali selikali mbona ilifungiwa
Kumradhi kwa kukutusiMi sio dogo mimi ni kaka yako ki umuri na kifedha pia
Sawa nanyupuNjoo na hoja acha matusi
Wajiandae naskia anataka mahesabu ya siku ambazo hakuwepo kujua pesa ilitumikajeHaya mkuu,usinywe glass nyingi,inawezekana jamaa yuko ndani anahesabu idadi ya glass za juisi unazoletewa,huu msimu wa kubana matumizi
Kaka hasara tupu hujui chochote hata Pesa hauna. Kaka gani unashindwa kujua maana ya uchochezi!Mi sio dogo mimi ni kaka yako ki umuri na kifedha pia
Angejua angekuuliza?Kwani hujui mkuu
NonsenseKituo cha habari cha dw kimeanza tena uchochez wake hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habar nchin kuingilia mambo ya ndan ya selikali mara nyingi sana kimekua kikimufukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumula nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habar zake za uchochez kalibun nakunywa Juice niko hapa magogon huku nikipungwa upepo mdogo mdogo
WamesemajeKituo cha habari cha dw kimeanza tena uchochez wake hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habar nchin kuingilia mambo ya ndan ya selikali mara nyingi sana kimekua kikimufukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumula nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habar zake za uchochez kalibun nakunywa Juice niko hapa magogon huku nikipungwa upepo mdogo mdogo