Deutch Welle yaanza uchochezi

Deutch Welle yaanza uchochezi

Hapana mkuu mara moja moja leo si weekend kiongoz wangu
Haya mkuu,usinywe glass nyingi,inawezekana jamaa yuko ndani anahesabu idadi ya glass za juisi unazoletewa,huu msimu wa kubana matumizi
 
duh UCHOCHEZI !!!!!!!!!!! !!!!! !!!!!!! !!!
bila kusema walichochea,hakuna atakae kuelewa.
mwisho nawe utakuwa MCHOCHEZI.
uchochezi heeeeeeeee
AISEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
 
Haya mkuu,usinywe glass nyingi,inawezekana jamaa yuko ndani anahesabu idadi ya glass za juisi unazoletewa,huu msimu wa kubana matumizi
Jamaa bado hajafika ndo maana najitanua
 
duh UCHOCHEZI !!!!!!!!!!! !!!!! !!!!!!! !!!
bila kusema walichochea,hakuna atakae kuelewa.
mwisho nawe utakuwa MCHOCHEZI.
uchochezi heeeeeeeee
AISEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
Kitu gan ujakielewa hapo au hujui maana ya uchochez
 
Watu bhana eti mkulu anatoa kauli za kichochezi kwahiyo watu wengi nao wanamuiga kutoa kauli za kichochezi.....
 
Haya mkuu,usinywe glass nyingi,inawezekana jamaa yuko ndani anahesabu idadi ya glass za juisi unazoletewa,huu msimu wa kubana matumizi
Wajiandae naskia anataka mahesabu ya siku ambazo hakuwepo kujua pesa ilitumikaje
 
Kituo cha habari cha dw kimeanza tena uchochez wake hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habar nchin kuingilia mambo ya ndan ya selikali mara nyingi sana kimekua kikimufukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumula nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habar zake za uchochez kalibun nakunywa Juice niko hapa magogon huku nikipungwa upepo mdogo mdogo
Nonsense
 
Kituo cha habari cha dw kimeanza tena uchochez wake hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habar nchin kuingilia mambo ya ndan ya selikali mara nyingi sana kimekua kikimufukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumula nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habar zake za uchochez kalibun nakunywa Juice niko hapa magogon huku nikipungwa upepo mdogo mdogo
Wamesemaje
 
Back
Top Bottom