Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Tatizo waongo mno,muvi inamaanisha vingine yeye anatafsir vingine
Mimi huwa si mpenzi wa muvi zilozotafsiliwa coz uwongo mwingi na quality ya picha huwa si nzuri, lakin DJ mack huwa angalau anajitahidi sio mwongo. ata ukifuatilia subtitle utagundua huwa adanganyi kama wengine.
 
Kudadadeki wanakuuuuja! hatari mwanaumeee! wazee wa kazi wazee wa ngwasumaa! (in DJ MACK's voice)

RIP lufufu

View attachment 474419


View attachment 474420 View attachment 474413

R.I.P mukandara lufufu lukoma abambeija....jamaa namkubali sana alianza tafisr kipindi ata lakwanza sjatinga...kipind hicho katoka jeshini na anatoa tafisr tunamuona live mbele ya kideo kakaa kwenye sturi....kuna movie flan hivi ya makomandoo alitafsr......then nikaja muona kwenye magari ya jamaa wa bk kama msimamiz wa mizigo.....Lala salama huko uliko mkuu babaa wa mamoviez
 
Mimi huwa si mpenzi wa muvi zilozotafsiliwa coz uwongo mwingi na quality ya picha huwa si nzuri, lakin DJ mack huwa angalau anajitahidi sio mwongo. ata ukifuatilia subtitle utagundua huwa adanganyi kama wengine.
ni kweli ata dj murphy iko hgh quality
 
Wewe bdo mtoto sana.. dj mark .. hata miaka 5 hana.. afu ww unasema ulikuwa unatoroka shule.. tena ysikute hapo ylikuwa shule... ebu nenda kasome huko... kajifunze kuandika essay
Dj mark ana miaka 7 kwenye game acha uongo
 
Huwezi kutafsir movies bila kuweka vionjo ..Rufufu alikuwa anatafsiri lugha kwa vionjo ..mara kisukuma ,kihaya kichina na maneno meengi ya utani ..ili kumvutia mtazamaji ..sio kwamba Rufufu alikuwa muongo ..jamaa alikuwa linguistic..never seen before'(tinkakibonaga)..
 
Prison break ndio series ya kwaanza kwangu ninayo ipenda ikifuatiwa na 3 days. Dj Mack nimemjua kwenye movie ya Bear
Same to me, kuna movie mbili tu ambazo nazipenda mpaka sasa, Prison brake & Gulong Ng Palad( yakifilipino)
 
Same to me, kuna movie mbili tu ambazo nazipenda mpaka sasa, Prison brake & Gulong Ng Palad( yakifilipino)
Duuh hiyo siipati kabisa, Ila movie ndio kilevi changu cha kwanza.. Napenda movie kuliko hata mwanamke
 
Dj Afroo ni noma mzee wa makagari yang ama Bolo yang ukipenda


Anakuambia He is a superintended special forces retired arm commando

Manzi anasema kuvunjwa ulolo ndio kitu anataka!

basi nabila shaka picha letu Nikatika roooooooot za maiiiiintrooooductiooooon katika holoo senema!

Dj afro unaeza tazama bila kuchoka ila kucheka tu!


Ng'ang'aduma !
 
Manzi anasema kuvunjwa ulolo ndio kitu anataka!

basi nabila shaka picha letu Nikatika roooooooot za maiiiiintrooooductiooooon katika holoo senema!

Dj afro unaeza tazama bila kuchoka ila kucheka tu!


Ng'ang'aduma !
Manzi yuko na extraordinary gizinyakuu anataka kugunzwa ulolo
Na nyakati ni za usiku usiku....makosaaaaaa!
Dj Afro ni habari nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom