Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Yule jamaa wa kwa Moromboo arusha anaitwa nani hivi.....

wakenya wazee wa swangilish...sword wanakuambia 'uswadi'..lol
 
Rufufu ni level zingine miaka ya 2000 mwanzoni kwenye mabanda ya video pale Kabago Mwanza , kwa Chino mwaloni Kirumba , nyamanoro , kabuhoro kwa Dogo n.k

Ilikuwa burudani , yaani ukiangalia muvi zake lazima ucheke , alafu za kinigeria akaja Uncle msafiri Less ,

Pia ,maadili rufufu muvi yenye scene ya sex alikuwa anakiondoa , ila wa sasa wanatwanga tu

R.I.p Rufufu , Au Captain Derick Gasper Mukandala kutoka Kyaka - Kagera
Anko msafiri lesi akitafsiri movie ya kinigeria lazma chozi likutoke anatafsiri kwa hisia
 
Jamani na huyu dj mack anayeimba singeli na yule wa muvi ni mmoja au??msaada tutani
 
Namkumbuka sana huyu mzee rip enzi hizo bukoba duh
 
kuna jamaa mmoja anajiita JUMA KHAN a.k.a CHIKONGWE jamaa ni muongo sijapata kuona yeye anakutajia mwaka wa actor aliozaliwa alisoma wapi anawatoto wangapi kwenye mitihani alikuwa anakuwa wa ngapi ili mradi kunogoshe movie awali nilkuwa napenda sauti yake tu.
 
We kama mimi yani zinakata stimu unless ziwe zimetafsiliwa kama movie ya yesu au zile za kichina za tbc yan sauti iwe dubbed na waongee kinachozungumzwa sio kuweka maneno yasiyo hitajika..
Tatizo waongo mno,muvi inamaanisha vingine yeye anatafsir vingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom