Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,047
- 3,775
Yule jamaa wa kwa Moromboo arusha anaitwa nani hivi.....
wakenya wazee wa swangilish...sword wanakuambia 'uswadi'..lol
wakenya wazee wa swangilish...sword wanakuambia 'uswadi'..lol


We kama mimi yani zinakata stimu unless ziwe zimetafsiliwa kama movie ya yesu au zile za kichina za tbc yan sauti iwe dubbed na waongee kinachozungumzwa sio kuweka maneno yasiyo hitajika..Mmh movie zilizotafsiriwa siziwezi kabisa
We kama mimi yani zinakata stimu unless ziwe zometafsiliwa kama movie ya yesu au zile za kichina za tbc yan sauti owe dubbed na waongee kinachozungumzwa sio kuweka maneno yasiyo hitajika..
Kiaje hadi kua kimavi kunukaUnajikutaga great thinker kumbe mavii kunukaa
Ahsante mkuu na dj mack picha yake unaweza kuwa nayoKudadadeki wanakuuuuja! hatari mwanaumeee! wazee wa kazi wazee wa ngwasumaa! (in DJ MACK's voice)
RIP lufufu
View attachment 474419
View attachment 474420 View attachment 474413
Yah ni mtu mmoja ila rufufu ni kampuniLufufu na Mkandara ni mtu m1?
Anko msafiri lesi akitafsiri movie ya kinigeria lazma chozi likutoke anatafsiri kwa hisiaRufufu ni level zingine miaka ya 2000 mwanzoni kwenye mabanda ya video pale Kabago Mwanza , kwa Chino mwaloni Kirumba , nyamanoro , kabuhoro kwa Dogo n.k
Ilikuwa burudani , yaani ukiangalia muvi zake lazima ucheke , alafu za kinigeria akaja Uncle msafiri Less ,
Pia ,maadili rufufu muvi yenye scene ya sex alikuwa anakiondoa , ila wa sasa wanatwanga tu
R.I.p Rufufu , Au Captain Derick Gasper Mukandala kutoka Kyaka - Kagera

acha dharauJamani na huyu dj mack anayeimba singeli na yule wa muvi ni mmoja au??msaada tutani![]()
unamsemea RAJA DJ au....Yule jamaa wa kwa Moromboo arusha anaitwa nani hivi.....
wakenya wazee wa swangilish...sword wanakuambia 'uswadi'..lol![]()
Wacha maneno..... Makaagari..vile jamaa anahepa..... Dj Afro ananivunja mbavu kwa jinsi anavofasiri.....Dj Afro a.k.a Kimondraaa!!, Huyu Jamaa namkubali mpaka kesho!
Tatizo waongo mno,muvi inamaanisha vingine yeye anatafsir vingineWe kama mimi yani zinakata stimu unless ziwe zimetafsiliwa kama movie ya yesu au zile za kichina za tbc yan sauti iwe dubbed na waongee kinachozungumzwa sio kuweka maneno yasiyo hitajika..
Mavi ya kukuMZEE WA MASOKORINDO
We unamjua dj afro wa kenya ni balaaa woote wabongo wanakaaa kwanza ni comedian hatari utacheka mwanzo wa movieLufufu hana mpinzani