Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Manzi anasema kuvunjwa ulolo ndio kitu anataka!

basi nabila shaka picha letu Nikatika roooooooot za maiiiiintrooooductiooooon katika holoo senema!

Dj afro unaeza tazama bila kuchoka ila kucheka tu!


Ng'ang'aduma !
Umeniudhi ila nimechekaaa sana duuu ww kiboko
 
Rufufu ni level zingine miaka ya 2000 mwanzoni kwenye mabanda ya video pale Kabago Mwanza , kwa Chino mwaloni Kirumba , nyamanoro , kabuhoro kwa Dogo n.k

Ilikuwa burudani , yaani ukiangalia muvi zake lazima ucheke , alafu za kinigeria akaja Uncle msafiri Less ,

Pia ,maadili rufufu muvi yenye scene ya sex alikuwa anakiondoa , ila wa sasa wanatwanga tu

R.I.p Rufufu , Au Captain Derick Gasper Mukandala kutoka Kyaka - Kagera
Dah...umenikumbusha mbaaaaali saaaaaana...! Ingawa inaonekana we juzi tu...Sababu mie nimeanza kucheki muvi za jamaa mwaka 95 pale Mwaloni Riziki Video Show...enzi baadhi ya wanasiasa kama kina Magaigwa na Jamaa Nova (aliyekuwa diwani kirumba-RIP) Tulikuwa tunazama nao ndani ya banda...unacheki muvi ukisukumia kikombe cha uji na karanga wa jamaa mmoja maarufu hapo Mwaloni kirumba(simkumbuki jina lake-RIP)
 
Kama una movie yeyote aliyotafsiri Dj Mack basi iangalie, mwanzo kabisa huwa anataja namba zake na mahali alipo,
Kwani humu hakuna vijana wanaoishi mtoni mtongani nyuma ya msikiti mkabala na eco bank?
 
Habar wakuu.
Nimekua nikifuatilia sana muvi alizotafsiri dj mack na rufufu kwa muda mrefu. Ni watu ninao wakubali sana hasa dj mack maana ni mtu aliyenifanya niwe natoroka shule naenda vibandani kucheki muvi zake. Nimejaribu kumtafuta dj Mack fb na Instagram lakini sijampata,

kwahiyo mtu yoyote mwenye picha ya dj mack au rufufu aiweke hapa niwaone hao watu au kama kuna mtu anaweza jua account zao za insta or fb anuelekeze niwasakue mwenyewe. Pia hata namba zao za simu kama zinapatikana mnipe
mimi nilikuwa namkubali sana lufufu sio kwa sababu ni bingwa wa kutafseri hapana

bali jamaa anavionjo ambavyo hakuwai kutokea na hatatokea kama yeye
 
mimi nilikuwa namkubali sana lufufu sio kwa sababu ni bingwa wa kutafseri hapana

bali jamaa anavionjo ambavyo hakuwai kutokea na hatatokea kama yeye
Yeah alikua anafurahisha ndio maana akasema yy ni mchombezaji anaongea hadi yasiyo kuwepo. Dj mack namkubali sana nataman siku moja nionane nae
 
Yeah alikua anafurahisha ndio maana akasema yy ni mchombezaji anaongea hadi yasiyo kuwepo. Dj mack namkubali sana nataman siku moja nionane nae
na huyu jamaa hata msimjui maana mara ya mwisho naangalia kipindi hicho ni za lufufu...maana alikuwa ananifurahisha hasa akianza kutafser movies za kivita...

mpaka raha hahaha
 
na huyu jamaa hata msimjui maana mara ya mwisho naangalia kipindi hicho ni za lufufu...maana alikuwa ananifurahisha hasa akianza kutafser movies za kivita...

mpaka raha hahaha
Mkuu ww umepitwa kweli kama hujaangalia za dj mack. Ila rufufu alijaliwa kuongeza chumvi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom