Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Derick Gaspar Mkandala Lufufu afariki dunia

Kudadadeki wanakuuuuja! hatari mwanaumeee! wazee wa kazi wazee wa ngwasumaa! (in DJ MACK's voice)

RIP lufufu

captain-mukandala.jpg


Derek-Lufufu-Mukandala-th-008.jpg
28weeks.jpg
 
Habar wakuu.
Nimekua nikifuatilia sana muvi alizotafsiri dj mack na rufufu kwa muda mrefu. Ni watu ninao wakubali sana hasa dj mack maana ni mtu aliyenifanya niwe natoroka shule naenda vibandani kucheki muvi zake. Nimejaribu kumtafuta dj Mack fb na Instagram lakini sijampata,

kwahiyo mtu yoyote mwenye picha ya dj mack au rufufu aiweke hapa niwaone hao watu au kama kuna mtu anaweza jua account zao za insta or fb anuelekeze niwasakue mwenyewe. Pia hata namba zao za simu kama zinapatikana mnipe
Unajikutaga great thinker kumbe mavii kunukaa
 
Rufufu ni level zingine miaka ya 2000 mwanzoni kwenye mabanda ya video pale Kabago Mwanza , kwa Chino mwaloni Kirumba , nyamanoro , kabuhoro kwa Dogo n.k

Ilikuwa burudani , yaani ukiangalia muvi zake lazima ucheke , alafu za kinigeria akaja Uncle msafiri Less ,

Pia ,maadili rufufu muvi yenye scene ya sex alikuwa anakiondoa , ila wa sasa wanatwanga tu

R.I.p Rufufu , Au Captain Derick Gasper Mukandala kutoka Kyaka - Kagera
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom