KWANI UKO MKOA GANI?naweza pata wapi movie za lufufu
Alikuwa anafanya shughuli gani? naona bila shaka sikuwa ktk ulimwengu wake!Simjui na ndo namsikia leo!
R.I.P.
dar es salaamKWANI UKO MKOA GANI?
Hiyo Movie inaitwa The Hard Way The Only Way.hiyo movie ya mniga analiwa na mamba nilipoisoma mpaka mwili umenisisimka mdau Mzimu wa Kolelo umenikumbusha wakat nasoma primary school enzi hizo kulikua na programu ya sinema za bure ikiendeshwa na shirika la bima la taifa (NIC) KWENYE OPEN GROUNDS,kwanza mnawekewa sinema za faida ya shirika la bima,kisha mwisho mnawekewa hiyo ngoma ya 'MAKOMANDOO SITA'.
Daaaah zamani sana kwakweli
We utakuwa mtoto wa kishua.Alikuwa anafanya shughuli gani? naona bila shaka sikuwa ktk ulimwengu wake!Simjui na ndo namsikia leo!
R.I.P.



...Mkuu kwani hujui sifa ya fasihi simulizi? Lazima uongeze chumvi ila unajuaje kama mm ni mdogo kama nilianza nikiwa na miaka 12wewe mtoto dj mack kaanza juzi tu hapa kutafsiri wewe ndo unatoroka shule...
Rufufu kafa ana miaka hata mi3-4
Soma mdogo angu Elimu ni ufunguo wa maisha... hizo cheche aah cheche hazina maana yoyote.
Najua alishakufa ila nataka picha zaohuyo lufufu tayar ni marehemu ila alikuwa anapenda kuvaa kofia flani kama la chuck norris