ChamiNdonda
Senior Member
- Mar 12, 2016
- 135
- 184
Dj Afro is the best
Bolo yang ama makagari yang ukipenda
Bolo yang ama makagari yang ukipenda
Dj Afroo ni noma mzee wa makagari yang ama Bolo yang ukipenda.....Dj Afro a.k.a Kimondraaa!!, Huyu Jamaa namkubali mpaka kesho!
Wewe bdo mtoto sana.. dj mark .. hata miaka 5 hana.. afu ww unasema ulikuwa unatoroka shule.. tena ysikute hapo ylikuwa shule... ebu nenda kasome huko... kajifunze kuandika essayHabar wakuu.
Nimekua nikifuatilia sana muvi alizotafsiri dj mack na rufufu kwa muda mrefu. Ni watu ninao wakubali sana hasa dj mack maana ni mtu aliyenifanya niwe natoroka shule naenda vibandani kucheki muvi zake. Nimejaribu kumtafuta dj Mack fb na Instagram lakini sijampata,
kwahiyo mtu yoyote mwenye picha ya dj mack au rufufu aiweke hapa niwaone hao watu au kama kuna mtu anaweza jua account zao za insta or fb anuelekeze niwasakue mwenyewe. Pia hata namba zao za simu kama zinapatikana mnipe
bado mdogo.... tulia usomeMkuu kwani hujui sifa ya fasihi simulizi? Lazima uongeze chumvi ila unajuaje kama mm ni mdogo kama nilianza nikiwa na miaka 12
Jamaa wa kenya wanatafsiri kiingereza to kiingereza utasikia "ile manzi ame-mshoot ganster alafu master akasikia gun-shots" alafu kwenye kasha imeandikwa "Swahili Version" kuibiana tu.
Mkuu unajua umri wangu lakini au unapiga ramlibado mdogo.... tulia usome
kuna kitu hujapitia ktk ukuaji wako itakucost uzeeniMmh movie zilizotafsiriwa siziwezi kabisa
Yani uwa wanadanganya concept nzima ya movie wanapotosha.Tatizo waongo mno,muvi inamaanisha vingine yeye anatafsir vingine
Sio lukoma ni mukama wa bambeija.Wa kizazi cha sasa ndo watawapenda hao wanaojiita ma dj lkn sisi enzi zetu Lufufuuu Lukoma abambeija ndo habari ya mjini.
Mkuu umenifurahaiasha sana hadi nimecheka kama mwehu.Mm nimeomba picha sijatafuta nani mkali zaid ya mwenzake, acheni ukiazi basi. Wekeni picha
Huyo jamaa hatare sanaa na kundi lake lile abdu djsyupo mkali wao dj murpy mzee wa seas0n anay0 page fb
Huyo jamaa hatare sanaa na kundi lake lile abdu djsyupo mkali wao dj murpy mzee wa seas0n anay0 page fb
kuna kitu hujapitia ktk ukuaji wako itakucost uzeeni
Kipi hicho?

Yaaaah watu wengine viazi mbata, picha hawaweki kama nilivyotaka kazi tu kuleta ligi zisizo kuwepoMkuu umenifurahaiasha sana hadi nimecheka kama mwehu.
kweli kabisa we umeomba picha sisi tumeanza jadili mambo mengine...