Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,561
Kama unako kapicha mkuu au ka namba nitumie au naww unataka kua kama haoNaona watu wanaporoja tu, Picha haziwekwi watu wanakazi ya kupiga domo tu...
Kama unako kapicha mkuu au ka namba nitumie au naww unataka kua kama haoNaona watu wanaporoja tu, Picha haziwekwi watu wanakazi ya kupiga domo tu...
We unamjua dj afro wa kenya ni balaaa woote wabongo wanakaaa kwanza ni comedian hatari utacheka mwanzo wa movie
Kama unako kapicha mkuu au ka namba nitumie au naww unataka kua kama hao
Naona watu wanaporoja tu, Picha haziwekwi watu wanakazi ya kupiga domo tu...
Mimi siko interest sana na hao jamaa though namkubali sana Dj mack but namba zao sinaKama unako kapicha mkuu au ka namba nitumie au naww unataka kua kama hao
Hakika mkuuAnko msafiri lesi akitafsiri movie ya kinigeria lazma chozi likutoke anatafsiri kwa hisia
Ok hata mm namkubali dj mack 100. 5% but sijawahi kumuona nataman hata nimpigie simu tu nitafurahiMimi siko interest sana na hao jamaa though namkubali sana Dj mack but namba zao sina
Kwann unacheka mkuuHahahaaa jumapili muruaa
Kwann unacheka mkuu
Kama una movie yeyote aliyotafsiri Dj Mack basi iangalie, mwanzo kabisa huwa anataja namba zake na mahali alipo,Ok hata mm namkubali dj mack 100. 5% but sijawahi kumuona nataman hata nimpigie simu tu nitafurahi
Ok thanks mkuu ngoja nimtafuteKama una movie yeyote aliyotafsiri Dj Mack basi iangalie, mwanzo kabisa huwa anataja namba zake na mahali alipo,
Ntakuchapa..Si unavyokua mkali wakati picha hatuna na story nazo tusipige jaman
yah na m0vie zake ninazo > Goodluck TZHuyo jamaa hatare sanaa na kundi lake lile abdu djs
ukiwa unatazama cd zao bla ku next huwa wanazitajaMimi siko interest sana na hao jamaa though namkubali sana Dj mack but namba zao sina
Huwez kuwa na namba zaoukiwa unatazama cd zao bla ku next huwa wanazitaja
Kwani umeuliza achacm umbunyukitu juma khan
Hahahaaaaa uyu Jamaa hatar sanaDj Afroo ni noma mzee wa makagari yang ama Bolo yang ukipenda
Anakuambia He is a superintended special forces retired arm commando
Ahsante sanaPicha sina ila kuna jamaa humu waongo hawamjui Rufufu vizuri
Rufufu (R.I.P) jina lake kabisa ni Gasper Derick Mkandara
Rufufu ni jina la kupewa na ukoo wao wa abakoma abambeija..na maana ya Rufufu ni aina ya kamba ambayo watu wa kabila la wahaya hupenda kufungia nguo au utumika kama mkanda
Ndio maana ya rufufu lukoma abambeija
Marehemu Rufufu alikuwa Na cheo cha captain katika jeshi la wananchi wa tanzania na alikuwa mkalimani wa jeshi na alikuwa anajua kuongea na kuandika lugha kumi na mbili za kimataifa..baada ya kustaafu jeshi ndo akaanza kutafsiri movie ambazo zimerecodiwa kwenye cassette
R.I.P captain.Gasper Derck Mukandara Rufufu Lukoma abambeija nakoma byalagara, nasika byagutuka nanyurura byalelemba