Defining, Refining and Understanding Zitto Kabwe

Defining, Refining and Understanding Zitto Kabwe

Je tunaweza kumuangalia Zitto kama Zitto Mtanzania na si Zitto wa CHADEMA?

Je uhuru wake kama Mtanzania na kufanya kazi kama Mtanzania na kwa manufaa ya Tanzania tunayaweka wapi tunapoanza kusokomeza kuwa afanye mambo kwa ajili ya CHADEMA?

Je hamuoni kuwa huku ni kuingia ule ule mtego wa Ibara ya 15.1 ya CCM unaodai kuwa wajibu wa Mwanachama wa CCM ni kwa CCM kwanza?

Kama ni gharama ya kisasa, kufanya kazi kwa manufaa ya Tanzania ambako Zitto hufanya kama Mbunge kunajichanganya vipi na yeye kueneza sera za CHADEMA ambako ni kazi ya kisiasa?

Je alipotoa hotuba yake wakati wa Operesheni Sangara kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Busanda, tuliipimaje ile hotuba kisiasa? Je kuna alichokisema katika kampeni ile ambacho hakikuwa kwa manufaa ya Watanzania kupitia CHADEMA na kukiuza chama chake cha CHADEMA kwa wapiga kura?
 
Kwa nini tunataka Zitto alime, apalilie, avune, apike, ale na kutumezea chakula, kwa nini nasi tusijitume na kuungana naye katika uzalishaji mali na kwa kila hatua tunayotaka kuwe na mafanikio? Maana sielewi tunapoanza kudai afanye kila kitu, sisi tukae mkao wa kula tukifurahia nini?
 
INDIVIDUAL EFFECT !!!!!!, kwa nini mnamuangalia zitto as an individual na sio zitto-look alikes ? wenye potential kama yy, ina maana zitto akifulia kisiasa mtakosa cha kuandika ?

saa nyingine mnanifanya niamini mnalipwa na zitto kuandika mnayoandika kuhusu yeye humu.
 
Zitto as a young politician is a smart rising star, a charismatic leader, who can only be compared with the people of the caliber of Obama. Like Obama, Zitto is a politician, who inspires hope in the stale politics. He has been phenomenal in Tanzanian politics, just one example: Zitto's motion on Buzwagi Mining and what followed thereafter ushered a long awaited new politic of patriotism in wananchis regarding their natural resources and the fight against ufisadi; something that eventually turned around the thinking and discussions in the Bunge; and perhaps lead to the falling of Ed Lowasa. But one thing that Zitto lacks is a clear trend of his politics. Zitto is a seasonal, a lukewarm politician. He does not go it all (centrist) but he goes it alone. He is neither a shrewd strategist in dirty politics like IPTL aand Doawns nor does he build political machinery around his political ambitions; and that is where he falls behind the caliber of Obama's politics. When the US Democratics primaries got tough, people thought Obama would have just given up to Hillary Clinton! But because Obama was a sharp strategist and had a very smart campaigning team, he prevailed! Zitto did not prevail in Chadema nomination! Why? Because Zitto just came from nowhere and in a very naïve way announced his candidature. He had not done serious preparations and hence it was a big flop! In fact it was a big damage to his person as a fighter and political carrier! I, as an analyst of the Chadema's politics was totally puzzled by Zitto withdrawal of his candidature. It was sad that Zitto lacked the party elders' support, something that left a lot to be desired in Chadema's politics. But all in all, Zitto lacks a party that rears him up to the future leadership! The party that exposes him to the public, the part that molds his political ideas, the party that build wananchis' trust in Zitto, the party that create an image of a matured leader, the party that nurtures his charismatic talents! And that is where the politics of Chadema goes wrong! Leaders are not only born charismatic but they are brought-up! CCM in its crude nepotism brings-up sons of Nnaue Makamba Mongela as future political leader! Chadema should nurture young leaders but not nepotism! The worse thing that could befall Zitto is to defect to CCM! CCM as it is now, is a very wrong party for Zitto! May be during Nyerere's time CCM could have been a good party! Zitto is a man of his own political ideas! I cannot imagine Zitto turning into CCM's sycophant! He is a wonderful political raw material! When Chadema preferred Freeman Mbowe to Zitto, they slipped a chance to create a national leader out of Zitto! Chadema you still have a chance… take it now!
 
Why do we question personality or even age instead of issues?? Zitto is my age group but I am not "Mbichi" we need to stop naming people and focus on the issues.
 
Zitto as a young politician is a smart rising star, a charismatic leader, who can only be compared with the people of the caliber of Obama. Like Obama, Zitto is a politician, who inspires hope in the stale politics. He has been phenomenal in Tanzanian politics, just one example: Zitto’s motion on Buzwagi Mining and what followed thereafter ushered a long awaited new politic of patriotism in wananchis regarding their natural resources and the fight against ufisadi; something that eventually turned around the thinking and discussions in the Bunge; and perhaps lead to the falling of Ed Lowasa. But one thing that Zitto lacks is a clear trend of his politics. Zitto is a seasonal, a lukewarm politician. He does not go it all (centrist) but he goes it alone. He is neither a shrewd strategist in dirty politics like IPTL aand Doawns nor does he build political machinery around his political ambitions; and that is where he falls behind the caliber of Obama’s politics. When the US Democratics primaries got tough, people thought Obama would have just given up to Hillary Clinton! But because Obama was a sharp strategist and had a very smart campaigning team, he prevailed! Zitto did not prevail in Chadema nomination! Why? Because Zitto just came from nowhere and in a very naïve way announced his candidature. He had not done serious preparations and hence it was a big flop! In fact it was a big damage to his person as a fighter and political carrier! I, as an analyst of the Chadema’s politics was totally puzzled by Zitto withdrawal of his candidature. It was sad that Zitto lacked the party elders’ support, something that left a lot to be desired in Chadema’s politics. But all in all, Zitto lacks a party that rears him up to the future leadership! The party that exposes him to the public, the part that molds his political ideas, the party that build wananchis’ trust in Zitto, the party that create an image of a matured leader, the party that nurtures his charismatic talents! And that is where the politics of Chadema goes wrong! Leaders are not only born charismatic but they are brought-up! CCM in its crude nepotism brings-up sons of Nnaue Makamba Mongela as future political leader! Chadema should nurture young leaders but not nepotism! The worse thing that could befall Zitto is to defect to CCM! CCM as it is now, is a very wrong party for Zitto! May be during Nyerere’s time CCM could have been a good party! Zitto is a man of his own political ideas! I cannot imagine Zitto turning into CCM’s sycophant! He is a wonderful political raw material! When Chadema preferred Freeman Mbowe to Zitto, they slipped a chance to create a national leader out of Zitto! Chadema you still have a chance… take it now!

Maelezo yako ni mazuri. Hapa naamini tunamjadili Zitto kama Kiongozi na pia kujipima wenyewe kwamba tungekuwa kwenye nafasi yake tungefanya nini. Kama kuna mtu ana lengo la kumwangusha kisiasa basi huyo atakuwa nje ya hii mada.

Umejaribu kumlinganisha Zitto na Obama, kitu ambacho ni kizuri. Lakini kitu kilicho wazi ni kuwa Zitto hajafanya maandalizi yake vizuri (kabla na baada ya kuingia kwenye siasa). Ningemshauri asome vitabu vya Obama, "The dreams from my father" na "Audacity of Hope". Labda vitamsaidia ili aweze kupanga upya mikakati yake (to re-strategize).

Jambo kubwa ambalo nalikosa siyo kwa Zitto tu bali kwa viongozi wengi hapa Tanzania ni kukosa "unyenyekevu na usikivu" kwa watu wanaowazunguka. Hata kama ni wadogo kicheo, umri, uwezo wa kifedha au wanadhani wana uelewa mdogo. Kiburi na kujisikia ni vitu hatari sana. Viongozi wetu wengi wanaumwa huo ugonjwa.
 
zitto apunguze kukurupuka na awe team player
kukurupuka - statement zake zingine zinakiweka chama pabaya na kufanya chama kishindwe kujielezea na wanasiasa wenzake washindwe kuongea chochote kwa ajili itaonyesha wanapingana

siku za usoni umekuwa unatoa statement peke yako, ni vizuri sana hizo statement ungetoa kwa pamoja wewe, freeman na dr slaaa, na hii ingeonyesha unity kwa wananchi na chadema kingeonekana na msimamo, pia kingeipa chadema media coverage. statement zako zimekupa sana coverage wewe at the expenses of chadema.
 
ZK anaweza kujifunza haya kutoka kwa BO:

1. Kuwa na washauri wazuri wa kisiasa na kikampeni - kama David Alexrod wa OB
2. Kuwa na mtandao wa washauri wa kitaaluma/kisomi - kama Harvard Team ya OB
3. Kuwa na utayari wa kuwatosa hata vinara wako - kama Pr. Jeremiah Wright wa OB
 
Maelezo yako ni mazuri. Hapa naamini tunamjadili Zitto kama Kiongozi na pia kujipima wenyewe kwamba tungekuwa kwenye nafasi yake tungefanya nini. Kama kuna mtu ana lengo la kumwangusha kisiasa basi huyo atakuwa nje ya hii mada.

Umejaribu kumlinganisha Zitto na Obama, kitu ambacho ni kizuri. Lakini kitu kilicho wazi ni kuwa Zitto hajafanya maandalizi yake vizuri (kabla na baada ya kuingia kwenye siasa). Ningemshauri asome vitabu vya Obama, "The dreams from my father" na "Audacity of Hope". Labda vitamsaidia ili aweze kupanga upya mikakati yake (to re-strategize).

Jambo kubwa ambalo nalikosa siyo kwa Zitto tu bali kwa viongozi wengi hapa Tanzania ni kukosa "unyenyekevu na usikivu" kwa watu wanaowazunguka. Hata kama ni wadogo kicheo, umri, uwezo wa kifedha au wanadhani wana uelewa mdogo. Kiburi na kujisikia ni vitu hatari sana. Viongozi wetu wengi wanaumwa huo ugonjwa.

Mkuu nawe maelezo yako ni mazuri ila yanahitaji questions ili tusiyameze

1. Kwanza ni dalili gani anazokuwa nazo mtu ambaye amejitayarisha kisiasa kama Obama? maana Obama si kuwa hapingwi anapingwa sana, na kile unachoona Obama ni mzuri, mimi naweza kuona ni kibaya

2. Unafikiri ni matayarisho gani mtu anatakiwa awe nayo kabla ya kuingia kwenye siasa? Hapa Tanzania

3.Kuhusu usikivu,utajuaje huyu kiongozi ni msikivu au sio msikivu kwa watu wake wanaomzunguka? na je ni lazima kukubaliana na watu wanaokuzunguka hata kama wako wrong?

Na hili la kupingana na wanaokuzunguka unamshauri Zitto awe ana deal nalo vipi? maana watu wanavyosikia si halisia ya kinachotendeka au kilichotokea.
 
Kama kuna kitu nitamvulia kofia Zitto, ni utashi wake wa kuunda muswaada (bill) ya kuhakikisha kuwa Wabunge hawawi wajumbe wa bodi za mashirika.

Ukiangalia hili, utaona pia kuwa mgongano ulioko ndani ya CCM wa posho ni kigezo bora kuwa muswaada wa Zitto mpaka leo haujafanikiwa.
 
May be I should twist the wind this way. Why are we seeking for Zitto to conform to our desires and needs rather than us conforming to his leadership syle and personality?
 
JokaKuu;639836]

..Zitto hakueleza faida, kama zipo, za kununua mitambo chakavu ya Dowans, badala ya mitambo mipya ambayo wabunge wenzake walikuwa wanapendekeza.

Kama upo Tanzania ama unaweza kwenda katika mitandao mingine zaidi ya jamiiforums basi nenda katika THE CITIZEN la jumapili upate jibu lako. Kama serikali ingekuwa na nia/uthubutu ya kununua mitambo ya DOWANS amabyo ukweli si CHAKAVU kama vijembe vya kisiasa visemavyo nina uhakika ingeweza kununuliwa hata kwa nusu ya thamani yake. Ukiangalia hali ya kisiasa na uwezekano na gharama pamoja na deni la mabilioni DOWANS wanayodaiwa na serikali ni wazi kukipataikana negotiators wenye mapenzi na uzalendo uliotukuka na nchi hii, mitambo hiyo inaweza kununuliwa hata kwa nusu ya thamani yake ambayo THE CITIZEN wanadai ni bilioni 60. Na hapo bado faida ya kuepuka ngarama za kuibadili kutumia gesi kwani tayari inaweza kutumika hivyo(kadiri nijuavyo mimi).

.
.halafu ukiangalia ile statement ya Zitto ni kwamba alikuwa anajaribu kuwabebesha lawama za mgao wa umeme Mzee Shelukindo, na wenzake, ambao walimpinga Zitto na Dr.Rashid kuhusu ununuzi wa mitambo ya Dowans.
Huku ndiko kunaitwa kujistukia. Ni lini Zitto amewahi kusema ama hata kuwataja hao kina Mwakyembe? Yaani waboronge kwa faida na nafasi zao kisiasa halafu waanze kutafuta mchawi wa makosa yao?

..kama Zitto angekuwa mwanasiasa makini, na mwenye kutetea maslahi ya wananchi, basi angekuwa wakwanza kuwahoji Tanesco na serikali kuhusu hatua wanazochukua/walizochukua kutuepusha na mgao ukizingatia kwamba mitambo ya Dowans were off the table.
Yaani ninyi kama kitu hakijaandikwa magazeti basi ni lazima hakikufanyika? Uliwahi kuhudhuria vikao vya kamati yake na Tanesco ama Wizara ya nishati ama hata BOT na ukaona kuwa Zitto hajawahi kuhoji hayo maswali? Hivi pia unadhani matatizo tunayokumbana nayo sasa yataisha kwa kununua mitambo ya kuzalisha umeme halafu basi. Unajua mchakato wa ENERGY BILL ulivyokwenda na nini kinaendelea kuhusu NATIONAL ENERGY MASTER PLAN pamoja na masuala mengie ya KISERA? Je umejaribu kufuatilia nini mchango wa Zitto katika hayo yote?

..kitu cha kushangaza ni kwamba Zitto amesubiri mgao uanze halafu anatokezea na kudai " I told you so."
Again, acha uzandiki na kujistukia....Lini alisema hayo? Yaani mtu kueleza hatari zinazokumba taifa na kutoa mawazo yake jinsi ya kulishughulikia suala hilo kama alivyofanya Zitto wewe ulichoweza kusikia ni maneno yasiyokuwepo.

..binafsi nadhani badala ya ZITTO kutumia nafasi yake kutafuta suluhisho la matatizo yanayoikabili Tanesco ameishia kuwa a DISTRACTION kutokana na kauli zake zisizo na kipimo.
Hivi kati ya Zitto na hao MASIHA FEKI wenu ni nani ameishia kuwa distraction? Yaani anayekuja na maoni ya jinsi ya kushughulikia tatizo na anayekuja na msemo wa tukae na giza ili mradi adui wao ndani ya chama chao asiweze kufurukuta kama wanavyodai wao, yaani nchi isimame hadi hapo watakapomalizana wao, ni nani anaplay politics of distraction?

Zitto has always been proactive on issues however controversial or risky they entail, kitu ambacho wengi wetu tumejengewa mentality ya kukiogopa ama kutokiamini......


..kuna uwezekano Zitto amezungukwa na wapambe[yes men and women] ambao hawamsaidii ktk kupima uzito wa matamshi anayoyatoa.
Acha mitizamo ya kuna uwezekano, unashindwa kufanya utafiti wa kujua anayoyafanya, basi hata hili la kujua marafiki ama washauri wake unashindwa kulifanya? Do ur work ndugu, hapo ndipo tutakuwa na mamia ya kina Zitto ....

..vilevile huku mitaani apunguze kutoa matamshi kama yeye Zitto, badala yake azungumzie msimamo wa chama chake.

Sasa kama chama chake kimekosa uthubutu ama kimegubikwa na ugoigoi wa kimikakati ama wameamua kuchukua hoja nyepesinyepesi kama ufisadi tu ambayo tayari wameshanyang'anywa, bado tu unataka kumlazimisha asubiri misimamo yao.

Lakini pia una uhakika kuwa matamshi yake hayana mahusiano na chama chake ama mradi umesikia wenzake wachache wenye kuweka mbele tofauti zao binafsi na kuzifanya za kichama wanapodai kuwa huo sio msimamo wa chama basi ndio hivyo. Wakati alipoitisha mkutano wa waandishi wa habari hakuwa na watu wa chama chake? Hivi Tumbo sio mkurugenzi wao wa habari? ama mpaka akiwa na kina Mrema, Wilbord, Mbowe, Ndesamburo ndio utakuwa mtazamo wa CHAMA?
 
May be I should twist the wind this way. Why are we seeking for Zitto to conform to our desires and needs rather than us conforming to his leadership syle and personality?

Swali muhimu sana kaka.....watanzania bado tunashindwa kujenga utamaduni wa kidemokrasia wa kuheshimu mawazo na mitizamo tofauti na maslahi na matamanio yetu. Halafu tunaishia kutafuta uchawi ndani ya CCM wakati hata hao wapiga kelele za demokrasia nao bado wamegubikwa na fikra za kidikteta..

Tuna safari ndefu kaka.......
 
Tungepata nafasi ya kuwajadili VIONGOZI wetu kwa kiwango hiki; Nchi hii isingekuwa na viongozi hawa tulio nao na tusingekuwa humu tulimo. Nani atuanzishie mfumo huu?
Viongozi tulionao hata kuhojiwa tu ni balaa!
 
Ni kweli Zitto ni mwana siasa kijana na aliyependwa sana na watu kwa hoja zake makini, lakini siku za hivi karibuni amekuwa akituchanganya sana Watanzania hasa kwa kutokuwa na msimamo.Kwa mfano ni yeye aliye sema tununue dowans,wakati huo huo akijua kabisa kuwa kunununa dowans ni mtambo chakavu na sheria ya manunuzi inapinga Serikali kununua mitambo chakavu.Hapohapo CAG alipokuwa akitoa report Dodoma,Zitto alikiizana na kauli yake ya mwanzo! sijui alisahau ni yeye alishauri Serikali kuinunua mitambo ya Dowans ikiwa ni chakavu? Juzi kaja na hili la Kuitaifisha mitambo ya Dowans eti kwa sababu Richmond ili ingia illegal contract na Serikali,haikuwa imesajiliwa ki sheria kwa maana hiyo basi haikuwa na uwezo wa kuingia mkataba na Serikali?! Huu uchambuzi alipaswa kuutoa wakati ule kabla hajasema Serikali iinunue Dowans na si sasa,kwa maana hiyo basi huwezi kunizuia mimi ku doubt kuhusu huyu Zitto.Kosa la kwanza ni yeye kukubali kwenye ile kamati ya madini,hii inaa maana alikubali kuingia mtegoni kwasababu alikwisha onyesha dira chanya kwa viongozi wanao taka kutuaminisha dira hasi. Tunasikia kuwa eti kapewa 3bln katika kamati ya madini,pia katika kushawishi dowans kanunuliwa apartment masaki,na kwasababu hakufanikisha hilo ilimlazimu aitafutie Serikali kesi kwa kuishawishi itaifishe mitambo ya dowans ili Rostam apate pesa kwa nguvu ya mahakama coz ni rahisi yeye ku lobby na kufanikisha hilo.
Zitto kuwa makini watu tunakwenda na move.
 
Hakuna shaka kwamba Zitto ni "eloquent speaker" na ana kipaji cha kupanga hoja hata kama tunaweza tusikubaliane naye mara zote. Nimemsikiliza mara kadhaa akitoa hotuba zake lakini kuna kitu bado kinakosekana. Hotuba zake (kwa kiingereza) ni "hard nosed". Yaani hamna kicheko wala tabasamu! Mwalimu Nyerere katika hotuba zake hata kama zilikuwa zinahusu jambo nyeti sana zilikuwa zina uchangamfu fulani. Mnafika wakati mnacheka alafu anaendelea na hotuba yake. Zina mvuto fulani. Tony Blair yuko hivyo na hata David Cameron (kiongozi wa Upinzani UK) ana mvuto. Too a large extent Barack Obama alisaidiwa na hilo katika kampeni zake.

Lakini tumpe muda Mhe. Zitto maana bado ni kijana na pengine kidogo kidogo atabadilika. Baadhi ya watu wanasema ana ka-arrogance fulani lakini mimi naona hilo nalo tulipe muda litakwisha kadiri Zitto anavyoendelea kupata experience. In my view the sky is the limit for the young maverick politician.
 
mr. kishoka,

nnafikiri maoni yako hayana maana kwa sababu mtu/kiongozi hawatabiriki!!!
 
.
Sasa kama chama chake kimekosa uthubutu ama kimegubikwa na ugoigoi wa kimikakati ama wameamua kuchukua hoja nyepesinyepesi kama ufisadi tu ambayo tayari wameshanyang'anywa, bado tu unataka kumlazimisha asubiri misimamo yao.

QUOTE]

Chadema bado hamjavunja kambi zenu za uchaguzi, vunja kambi zenu mjenge chama.

Zitto akitaka kufanikiwa lazima afanye kazi kama team moja na chama chake.
 
K4jolly;640668]
.
Sasa kama chama chake kimekosa uthubutu ama kimegubikwa na ugoigoi wa kimikakati ama wameamua kuchukua hoja nyepesinyepesi kama ufisadi tu ambayo tayari wameshanyang'anywa, bado tu unataka kumlazimisha asubiri misimamo yao.



Chadema bado hamjavunja kambi zenu za uchaguzi, vunja kambi zenu mjenge chama.

Ulinichukulia kadi ya CHADEMA ama kunipa kambi humo?

Yaani mapungufu yakisemwa basi ishakuwa masuala ya makambi. Acheni kulazimisha siasa za fikra na mawazo mgando.....

Ili kuendelea ni wajibu kuwepo na mitizamo na fikra tofauti na mapungufu na hata mafanikiwa kusemwa wazi bila ya uzandiki, ukada na hata unafiki...

Tanzanianjema itajengwa na Utanzania na sio ukada.....na ushabiki wa kimakundi uliojaa unafiki

omarilyas
 
Back
Top Bottom