- Maoni yangu ni kwamba on Zitto, mazingara ya siasa Tanzania hayaruhusu wanasiasa wa aina yake kushamiri, yuko mbele sana na wakati miaka 50 ijayo ndio anaweza kuwa kiongozi anayefaa kwa taifa letu lakini sio sasa, he is way too far ahead of the times.
- Zitto, hana tofauti kubwa sana na Mkapa, (wanatofautiana kwenye ufisadi tu) lakini otherwise, nawaona wakifanana sana, maana Mkapa alipoingia kwenye power alikuwa na nia ya kufanya kweli sio siri, lakini mazingara ya siasa yetu kitaifa ndiyo yaliyomkatisha tamaa, mwisho akakubali kufuata ya viongozi wenziwe wengi yaani ya ufisadi, ingawa simtetei na ufisadi wake ni fisadi anyways!
- Kwa kifupi, Zitto yuko mbele sana ya wakati na akijaribu tu ku-adjust ili a fit-in na mzingara ya siasa Tanzania, basi ndio mwisho wake politically sasa hivi anahitaji kufanya a very careful navigation, infact anaweza kujisaidia zaidi, iwapo atakaa pembeni na siasa kwa muda na kurudi siku za mbeleni, otherwsie he has the right attitude kiuongozi, tatizo ni time bado kufikia.
Respect.
FMEs!