DCI Manumba akata kauli

DCI Manumba akata kauli

Miaka hii wengi wanachagua siku ya kutangaza kufa kwao hasa walaji wa nchi, huyu jamaa kesha ondoka wanasubiri tarehe waliyopanga tuu. Nini maana ya "Kukata Kauli"?
 
Usitukumbushe wauwaji wale. Kama sio helaa ni nini, maweee???

Nani katika serikali ya JK ana uwezo wa kueleza sababu za DCl kuhamishwa Hospitali ya Rufaa,kwenda hospitali binafsi?!
Au watadai familia yake iliomba hivyo.. Eti mkuu NGUVUMOJA
 
Last edited by a moderator:
kwa kweli namuombea apone aje atupe taarifa za vifo vya mwandishi wa habari na muuza magazeti. Hivi mara ya mwisho Tanzania aliisaidia nini?
 
afya ya mkurugenzi wa makosa ya jinai wa jeshi la polisi nchini (dci), robert manumba inazidi kuwa mbaya baada ya kuwapo taarifa kwamba amekata kauli na mawasiliano kwa siku tatu mfululizo, huku akiendelea kupumua kwa msaada wa mashine.
hali hiyo tete ya afya yake imesababisha kuwapo kwa usiri mkubwa kutoka kwa maofisa wa jeshi la polisi, madaktari wanaomtibu na ndugu zake.
akizungumza na waandishi wa habari kwa kifupi sana, daktari mkuu wa hospitali ya aga khan alikolazwa, jaffer dharsee alisema kuwa atakuwa tayari kueleza maendeleo ya matibabu ya manumba jumatatu ijayo.
“dci manumba bado yupo katika chumba maalumu akiendelea na matibabu chini ya uangalizi maalum wa madaktari na wauguzi,” alisema dk. Dharsee.
hata hivyo, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika viwanja vya hospitali hiyo jijini dar es salaam, umebaini kuwa hali ya dci huyo inakatisha tamaa.
hali hiyo ndiyo imeifanya serikali kushindwa kumsafirisha nje ya nchi kwa matibabu zaidi.
hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kumwona isipokuwa kwa baadhi ya viongozi na ndugu wachache muhimu.
manumba aliugua ghafla na kulazwa hospitali ya taifa muhimbili, akipatiwa matibabu kwa kile kilichoelezwa kuwa na wadudu wengi wa ugonjwa wa malaria.
hata hivyo, januari 14, alihamishiwa katika hospitali ya aga khan kwa matibabu zaidi na kuwekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.
manumba aliteuliwa na rais kikwete kushika wadhifa huo mwaka 2006, akichukua nafasi ya adadi rajabu.

Mtanzania
sheikh ponda tu atoke ndani, mambo yote yataka sawa
 
Kabla sijatia neno,naombeni mnikumbushe mchango wake kwenye jamìi

Amepunguza vitendo vya ujambazi wa mchana kweupe uliokuwepo enzi zile, Aliongoza timu ya wapelelezi kwenye
tukio la ugaidi dhidi ya ubalozi wa marekani hapa nchini kwa mafanikio makubwa na walipatia tuzo, anazo tuzo kadhaa
za ndani na nje ya nchi kuhusiana na umahiri wake katika upelelezi, ni msomi mwenye shahada ya uzamili ya sheria, ni baba wa familia, nk...
 
AFYA ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi nchini (DCI), Robert Manumba inazidi kuwa mbaya baada ya kuwapo taarifa kwamba amekata kauli na mawasiliano kwa siku tatu mfululizo, huku akiendelea kupumua kwa msaada wa mashine.
Hali hiyo tete ya afya yake imesababisha kuwapo kwa usiri mkubwa kutoka kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, madaktari wanaomtibu na ndugu zake.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa kifupi sana, Daktari Mkuu wa Hospitali ya Aga Khan alikolazwa, Jaffer Dharsee alisema kuwa atakuwa tayari kueleza maendeleo ya matibabu ya Manumba Jumatatu ijayo.
“DCI Manumba bado yupo katika chumba maalumu akiendelea na matibabu chini ya uangalizi maalum wa madaktari na wauguzi,” alisema Dk. Dharsee.
Hata hivyo, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika viwanja vya hospitali hiyo jijini Dar es Salaam, umebaini kuwa hali ya DCI huyo inakatisha tamaa.
Hali hiyo ndiyo imeifanya serikali kushindwa kumsafirisha nje ya nchi kwa matibabu zaidi.
Hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kumwona isipokuwa kwa baadhi ya viongozi na ndugu wachache muhimu.
Manumba aliugua ghafla na kulazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, akipatiwa matibabu kwa kile kilichoelezwa kuwa na wadudu wengi wa ugonjwa wa malaria.
Hata hivyo, Januari 14, alihamishiwa katika Hospitali ya Aga Khan kwa matibabu zaidi na kuwekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.
Manumba aliteuliwa na Rais Kikwete kushika wadhifa huo mwaka 2006, akichukua nafasi ya Adadi Rajabu.

Mtanzania

Bila shaka wanaogopa kutuambia amesha.... Mtu hakai chumba hicho siku zote hivo.
 
Habari nilizozipata hivi punde, mchana huu zinasema, nanukuu
''He was in Terminal illness with Palliative care but now he is in Brain Vegetation State''
Naamini kuna wataalam hapa JF watatuelewesha vizuri.

Tunamwomba Mungu amsaidie.
 
Hatumwombei mauti lakini ikitokea, Mh Dr Jakaya M Kikwete, Amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama atakatiza ziara yake ya kiserikali huko Ufaransa aje kuwahi msiba.
 
Miaka hii wengi wanachagua siku ya kutangaza kufa kwao hasa walaji wa nchi, huyu jamaa kesha ondoka wanasubiri tarehe waliyopanga tuu. Nini maana ya "Kukata Kauli"?
Kukata kauli=Stuporous

Yaani hawezi kufanya kitu chochote wala hawezi kuwasiliana kabisa, kitu pekee anachoweza kufanya ni kufunga na kufungua macho tu.
Katika ugonjwa huwa ni miongoni mwa hatua za mwisho mwisho kabla ya .....
 
AFYA ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi nchini (DCI), Robert Manumba inazidi kuwa mbaya baada ya kuwapo taarifa kwamba amekata kauli na mawasiliano kwa siku tatu mfululizo, huku akiendelea kupumua kwa msaada wa mashine.
Hali hiyo tete ya afya yake imesababisha kuwapo kwa usiri mkubwa kutoka kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, madaktari wanaomtibu na ndugu zake.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa kifupi sana, Daktari Mkuu wa Hospitali ya Aga Khan alikolazwa, Jaffer Dharsee alisema kuwa atakuwa tayari kueleza maendeleo ya matibabu ya Manumba Jumatatu ijayo.
“DCI Manumba bado yupo katika chumba maalumu akiendelea na matibabu chini ya uangalizi maalum wa madaktari na wauguzi,” alisema Dk. Dharsee.
Hata hivyo, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika viwanja vya hospitali hiyo jijini Dar es Salaam, umebaini kuwa hali ya DCI huyo inakatisha tamaa.
Hali hiyo ndiyo imeifanya serikali kushindwa kumsafirisha nje ya nchi kwa matibabu zaidi.
Hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kumwona isipokuwa kwa baadhi ya viongozi na ndugu wachache muhimu.
Manumba aliugua ghafla na kulazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, akipatiwa matibabu kwa kile kilichoelezwa kuwa na wadudu wengi wa ugonjwa wa malaria.
Hata hivyo, Januari 14, alihamishiwa katika Hospitali ya Aga Khan kwa matibabu zaidi na kuwekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.
Manumba aliteuliwa na Rais Kikwete kushika wadhifa huo mwaka 2006, akichukua nafasi ya Adadi Rajabu.

Mtanzania

namuomba Ponda na wezie walionyimwa dhamana kwa kesi ya kuvamia kiwanja ..kwa amri ya 'kamanda' wamsamehe tunajua munashikiliwa kwa amri yake lakini msameheni..apone
 
Hatumwombei mauti lakini ikitokea, Mh Dr Jakaya M Kikwete, Amri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama atakatiza ziara yake ya kiserikali huko Ufaransa aje kuwahi msiba.

No no unaleta utani sasa, hata katiza ila msiba inabidi wau postpone mpaka atakapomaliza ziara period.
 
Amepunguza vitendo vya ujambazi wa mchana kweupe uliokuwepo enzi zile, Aliongoza timu ya wapelelezi kwenye
tukio la ugaidi dhidi ya ubalozi wa marekani hapa nchini kwa mafanikio makubwa na walipatia tuzo, anazo tuzo kadhaa
za ndani na nje ya nchi kuhusiana na umahiri wake katika upelelezi, ni msomi mwenye shahada ya uzamili ya sheria, ni baba wa familia, nk...
Kumbe anatambulika kwa USA ndio maana wanataka taarifa ziwe na mashiko si za kubabaisha, poleni saana wandugu!!!!

 
si apelekwe India tuuuuuuuuuuu!!!!!!!!! aaaaaaaaaaaaaaaaaaaagggggghhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Nani katika serikali ya JK ana uwezo wa kueleza sababu za DCl kuhamishwa Hospitali ya Rufaa,kwenda hospitali binafsi?!
Au watadai familia yake iliomba hivyo.. Eti mkuu NGUVUMOJA

Serikali wenyewe wanajua kuwa Muhimbili hakuna huduma nzuri na ndio maana hata wao wanakimbilia India au AKH.

Na huyu Man---umba na jeshi la Polisi walichangia katika kuwatiisha viongozi wa Madr katika migomo mwaka jana. Na pia lazima kuna mkono wake katika kupanga njama za Usalama wa Taifa kumteka, kupiga na kumtupa kule Msitu wa Pande Dr. ULIMBOKA.

Pia kwa namna moja au nyingine akiwa kama DCI alipindisha ukweli katika upelelezi wa kesi ya Ulimboka.

Pia kwa namna moja au nyingine akiwa kama DCI alipindisha ukweli katika upelelezi wa kesi ya Mwangosi.

Pia kwa namna moja au nyingine akiwa kama DCI alipindisha ukweli katika upelelezi wa kesi ya mauaji ya Songea na Arusha.


Kuhusu suala la Kesi za EPA na Mabilioni yaliyopo USWIS sitaki kuligusa kabisa kwani naweza kuzimia ghafla, jinsi alivyoshiriki kama DCI kupindisha ukweli.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Last edited by a moderator:
Nimejaribu kupitia humu JF kweli tuache unafiki. Huyu si ndie anayekumbatia mafaili ya MAFISADI? Jamani maombi ya watanzania yanajibiwa sasa. Yeye alimuona CHENGE,LOWASA,SHIMBO,KARAMAGI,MRAMBA,YONA wote hao na wengine tu wezi wa rasilimali zetu hawana hatua ila sisi tunaolalamika ndo tumpelekee ushahidi wakati yy analipwa kwa kazi hiyo. Sasa mimi nasema NAMUOMBEA KWA MWANGOSI AMUANDALIE SHAMBA HUKO. hapa duniani tunampa buriani MANUMBA. Haukuwa na msaada kwa watanzania bali kichefuchefu.
 
AFYA ya Mkurugenzi wa Makosa ya Jinai wa Jeshi la Polisi nchini (DCI), Robert Manumba inazidi kuwa mbaya baada ya kuwapo taarifa kwamba amekata kauli na mawasiliano kwa siku tatu mfululizo, huku akiendelea kupumua kwa msaada wa mashine.
Hali hiyo tete ya afya yake imesababisha kuwapo kwa usiri mkubwa kutoka kwa maofisa wa Jeshi la Polisi, madaktari wanaomtibu na ndugu zake.
Akizungumza na waandishi wa habari kwa kifupi sana, Daktari Mkuu wa Hospitali ya Aga Khan alikolazwa, Jaffer Dharsee alisema kuwa atakuwa tayari kueleza maendeleo ya matibabu ya Manumba Jumatatu ijayo.
“DCI Manumba bado yupo katika chumba maalumu akiendelea na matibabu chini ya uangalizi maalum wa madaktari na wauguzi,” alisema Dk. Dharsee.
Hata hivyo, uchunguzi uliofanywa na gazeti hili katika viwanja vya hospitali hiyo jijini Dar es Salaam, umebaini kuwa hali ya DCI huyo inakatisha tamaa.
Hali hiyo ndiyo imeifanya serikali kushindwa kumsafirisha nje ya nchi kwa matibabu zaidi.
Hakuna mtu anayeruhusiwa kuingia kumwona isipokuwa kwa baadhi ya viongozi na ndugu wachache muhimu.
Manumba aliugua ghafla na kulazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, akipatiwa matibabu kwa kile kilichoelezwa kuwa na wadudu wengi wa ugonjwa wa malaria.
Hata hivyo, Januari 14, alihamishiwa katika Hospitali ya Aga Khan kwa matibabu zaidi na kuwekwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi.
Manumba aliteuliwa na Rais Kikwete kushika wadhifa huo mwaka 2006, akichukua nafasi ya Adadi Rajabu.

Mtanzania

Dr Mwakyembe alilalamika bitterly jinsi huyu mheshimiwa alivyosema hajapewa sumu no wonder MUNGU anamuonesha gharama ya kutetea ufisadi. Na huyo bi mkubwa aliekuwa kwenye wizara anatafuta nini huko hospitalini? Au ni shemeji anamtetea kwenye masuala ya uchunguzi?
 
Back
Top Bottom