DCI Manumba akata kauli

DCI Manumba akata kauli

Sidhan kama kuweka chembe ya siasa kwenye habar kma hii ni sawa....ifikie pahala tuthamini uhai wa mtu, huna haja ya kutokumnunulia viatu mwanao eti kwa 7bu we baba ake hukuvaa wkati unasoma....MUNGU amuafu MANUMBA

Are you serious? Wao wanathamini uhai wetu eti???
 
Hahahaa... Umenifanya nicheke.. Hapana,madaktari wanaongozwa na viapo vyao. Uhai wa mtu si wa kuchezea. Na huenda angebaki Muhimbili asingefikia hata hiyo coma.

Tabu ya mtu muovu ni kijishtukia mkuu!!
Inawezekana kweli ma dakitari hawana kinyongo....lkn waovu..wanajishtukia!!
 
Aise, kumbe ikishindikana Muhimbili unahamia Aga Khan, au mi sijaelewa?
Hata mimi nashangaa sana. Viongozi wetu wanajua wazi kwamba Muhimbili iko hoi sana kihuduma lakini wanaleta siasa. Madaktari walipogoma kushinikiza kupewa vifaatiba bora wakaitwa wasaliti na wachochezi.
 
Pole Kamanda Mungu atakusaidia upone ili utakaporudi uone thamani ya maisha na uanzishe uchunguzi wa issue ya Dr.Slaa na Mwakyembe
 
jamani kama siku zake za kuishi hapa duniani zimekwisha tumwache mungu afanye kazi yake.kama ni wa kupona atapona na kama ni wa kufa atakufa.mwache aende akajibu tuhuma za makosa aliyotufanyia watanzania,tuache unafiki tuwe wakweli,hata kama manumba akifa ataacha makovu mengi mioyoni mwa wananchi wa tanzania....mimi nasema TO HELL MANUMBA!
 
Sasa sijui Polisi watakamata mbu kuhusiana na tukio hilo, au watakamata Madaktari kwa kushindwa kumtibu?
Anyways, huwa nina huruma pale ninapoamua kuwa nayo....
 
Anhaaa! Huyu ndie alifanya kazi ya ziada ya kukamata walio muua mgoni Balo? RIP kamanda tunajua umetangulia hi' kwa Balo.
 
My hearfelt prayers go to him and his family, Mwenyezi Mungu amtendee muujiza.
 
mkuu umenena, his character will identify him ever and ever, sasa hapo ina depend kama ni nzuri au mbaya kutegemeana na jinsi ulivyoishi na watu na kuwatendea haki.
 
Muombee adai yako maisha marefu ili ashuhudie unavyofanikiwa....

Bwana tuyang'oe magugu ili ibaki ngano peke yake!

Hapana viache vikue pamoja msije mkang'oe na ngano na wakati wa mavuno nitatenganisha ngano na magugu.
 
kufa au kupona kwake hakutegeme
i sisi tunatakaje.km imepangwa kufa atakufa km wengine wanavyokufa,kama mwenyenzi mungu atamtendea muujiza km ulimboka basi atapona na ataendelea na kazi.
 
Kwanin tuuze vipande vipande??
Mara Ikulu, mara Kambi ya gongo la mboto, sijui makongo na mbagala.
Ushauri wangu ni kua nchi NZIMA ni potential kwa uwekezaji kwa jinsi ilivyojaliwa. Tuiuze tu jumla, tutapata bei nzuri ya kutosha kulipia madeni tunayodaiwa nje na kiasi kilichobaki kuweza kugawana.
Hii mambo ya kuuza vipande vipande watatulalia hawa wawekezaji...by shark!!
 
Back
Top Bottom