DCI Manumba akata kauli

DCI Manumba akata kauli

Tunaendelea kuomba,iweje ponda amnyime dhamana?kwani ponda aliua?na uchafu mwingi tu huyu memba wa icu ameyafanya yalio kaa kihuni kihuni tu.sisi tunasoma kunut na duaa zingine kwa aajiri ya mkuu wa kupambana na rushwa na msajili wa vyama kwani wanamuda mrefu na hawataki kustafu mwenyezi awastafishe.na wale wengine woote wanao vitumia vyeo vyao kama fimbo amiii
 
Pole sana Kamanda!...Mungu atakutendea Miujiza!
Its a moment whereby every citizen got to pray for him...
Do away with personals buddies, hakuna anayeomba kuugua!
Hata hivyo, Malaria HAIKUBALIKI!
Kwa mema yepi??
 
Eeh Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, mponye mtumishi wako Manumba kwa kuwa bado tunamhitaji ili akamilishe upelelezi wa kesi nyingi za mauaji ya kinyama yaliyofanyika chini ya utawala wa serikali hii dhaifu. Amina.
 
Hapa ndio mungu anapokia kuitwa mungu, walishiriki kuwapiga mabomu na hata kumtuma Ramadhani Ighondi kumuua Ulimboka wakifikir watakaokukfa kwa kukosa huduma muhimbili ni sisi wakina yakhe tu, wao watakimbizana India, kumbe mungu anaweza kuzuia hata hali yako isiwezekane kukimbizwa India? basi na tusihumumu maana bwana anasema kisasi ni cha kwake, mungu nisamehe
 
Kama kweli hospital kubwa ya taifa kama muhumbili eti hakuna huduma inabidi ahamishiwe private ni kwa nini hamkubali kuwa madaktari hawakuongopa? Kumpeleka Aghakan imehakikishia umma kuwa Muhimbili hakufai!!! Sasa mliwapuuza nini madaktari? Dr. Ulimboka mlimtesea nini? Tutalipwa hapa hapa duniani? Je na ndugu zetu ambao hawana uwezo wa kwenda Aghakan na wanaitegemea Muhimbili yenu mnataka wafanyeje? Acheni kudanganya umma!! Muhimbili hakuna huduma za dawa na vifaa!! Halafu mnasema eti madaktari wanadanganya na wanachochewa na siasa? Siasa za chama kipi? Labda ni SSM? Ziraili fanya kazi yako haraka!!
 
Hivi ni malaria tu au kuna lingine??? Kama ni malaria basi ni kiboko... au wenzake hawakumpa technics za kubadili blad???
Nyie watu imenibidi nicheke sasa. Aaa manumbaaaa!Mungu akufanyie unalostaili kufanyiwa!
 
Eeh Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema, mponye mtumishi wako Manumba kwa kuwa bado tunamhitaji ili akamilishe upelelezi wa kesi nyingi za mauaji ya kinyama yaliyofanyika chini ya utawala wa serikali hii dhaifu. Amina.

Mkuu sergio, serikali unayosema dhaifu ndiyo imemuweka madarakani!!! Kwa hiyo upelelezi wake ni lazima uegamie kwa maboss waliomuweka!!! Ile ya Dr, Ulimboka, Mwangosi, Mauaji ya Moro, Aurusha, Arumeru watuhumiwa wako wazi kabisa!! Upelelezi wake niaje?
 
Aisee pole sana Manumba...kama hazijafika hata kama kuna mkono wa mtu hakika utapona tu...
 
We unadhani ule mgomo wa madaktari,hasa hasa madai yao yalikuwa nini..." Mazingira bora ya kufanyia kazi" ilikuwa ina maana hiyo..
Wanasiasa wakaanza kupotosha eti helaa..helaa..
Kama wanavyopotosha ishu ya Mtwara na gas sasa hivi..

Lkn pia inaonyesha huyu mgonjwa alishiriki kuratibu kutekwa kwa Ulimboka, hivyo wakubwa wanaogopa kisasi toka kwa ma dakitari.....!
 
watujenge kisaikolojia akiwa kama nani hasa? Kwa uzito upi alionao?

Watu wamefiwa na wake/waume, watoto na ndugu zao wa damu na hawakujengwa kisaikolojia iwe huyo mtu baki...

Hapo sasa!!!!
 
Tunaendelea kuomba,iweje ponda amnyime dhamana?kwani ponda aliua?na uchafu mwingi tu huyu memba wa icu ameyafanya yalio kaa kihuni kihuni tu.sisi tunasoma kunut na duaa zingine kwa aajiri ya mkuu wa kupambana na rushwa na msajili wa vyama kwani wanamuda mrefu na hawataki kustafu mwenyezi awastafishe.na wale wengine woote wanao vitumia vyeo vyao kama fimbo amiii

Kunut ndiyo nini mkuu, au ndiyo dua ya kifo.
 
Hivi kumbe alianzia Muhimbili ndo akapewa rufaa kwenda Aga Khan?!! Kati ya hizi mbili sijui ipi ya rufaa zaidi, tena kwa malaria (naamini serikali bado inawaamini madaktari wetu, hata baada ya ule mgomo).
Ila nakumbuka Zitto alianzia Aga Khan, akafu akapewa transfer kwenda Muhimbili
:confused2::confused2::confused2:

Mkuu Tuko ukweli ni kwamba Muhumbili ni hospitali ya Taifa na ilitakiwa iwe na huduma na vifaa kuliko hospital nyingine!!! Na rufaa inatoka hospital nyingine to Muhimbili. Kwa hiyo wamedhihirishia umma kuwa madaktari hawakuwa waongo hata kidogo.
 
Kazi ya Mungu haina makosa, Jina la Bwana lihimidiwe.
Aisee!

Hivi kumbe alianzia Muhimbili ndo akapewa rufaa kwenda Aga Khan?!! Kati ya hizi mbili sijui ipi ya rufaa zaidi, tena kwa malaria (naamini serikali bado inawaamini madaktari wetu, hata baada ya ule mgomo).
Ila nakumbuka Zitto alianzia Aga Khan, akafu akapewa transfer kwenda Muhimbili
:confused2::confused2::confused2:
Kiongozi Tuko,
Swali hili ni la muhimu sana!
Kama kweli kabisa ni malaria inakuwaje Muhimbili washindwe na ugonjwa basic kama huo ambao hata nesi wa kijijini kwangu wa miaka ya 1980 aliyekuwa akiitwa Zyunga(rip) alikuwa akiutibu kwa umakini sana kutumia Cq tu?
 
Last edited by a moderator:
Lkn pia inaonyesha huyu mgonjwa alishiriki kuratibu kutekwa kwa Ulimboka, hivyo wakubwa wanaogopa kisasi toka kwa ma dakitari.....!

Hahahaa... Umenifanya nicheke.. Hapana,madaktari wanaongozwa na viapo vyao. Uhai wa mtu si wa kuchezea. Na huenda angebaki Muhimbili asingefikia hata hiyo coma.
 
Back
Top Bottom