Tunaendelea kuomba,iweje ponda amnyime dhamana?kwani ponda aliua?na uchafu mwingi tu huyu memba wa icu ameyafanya yalio kaa kihuni kihuni tu.sisi tunasoma kunut na duaa zingine kwa aajiri ya mkuu wa kupambana na rushwa na msajili wa vyama kwani wanamuda mrefu na hawataki kustafu mwenyezi awastafishe.na wale wengine woote wanao vitumia vyeo vyao kama fimbo amiii