USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Sibiria mbowe akiwa raisBangi ihalalishwe tu inafaida kubwa sana
Sibiria mbowe akiwa raisBangi ihalalishwe tu inafaida kubwa sana
Hivi Kishimber na Msukuma ni wanaCDM?Sibiria mbowe akiwa rais
inaharibu akili na maamuziKwan bange inakukera nini mkuu?
Hayo maeneo yote uliyotaja yanalima bangi miaka nenda rudi, na imekuwa ikikamatwa mara kibao, sasa tujiulize ni kweli kuwa wameshindwa kukomesha?Hebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k
Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.
Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kumbe wewe ni Mpenzi mkubwa wa Amber Rutty sio. Leo buku7 mwenzako katoa siri, na sidhani hii tabia yako Mzee Mgaya kama anaifahamu.Hahahaaaa........ Umeshapanic kama bavicha!
Na kina james deliciousYuko sahihi kabisa walikatazwa sema wewe upo busy na habari za akina amber ruty
Inna acheni kulima bangiHebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k
Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.
Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Yeah Man,Yeah ManLegalize it bro
Hebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k
Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.
Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Sio kweli, jitihada hizo zingewekwa kwenye pombe na unga kwani ndio vinaharibu afya, akili, maamuzi hadi uchumi wa family. Bange mnaisingizia tuinaharibu akili na maamuzi