DC Jerry Muro: Watendaji wa vijiji wanamsubiri DC atoke ofisini akachome bangi wakati Rais Magufuli sisi alishatukataza

Anajaribu kuhamisha magoli...
Lile jiti lililong'oa vigogo inaonesha naye linamhusu...
 
Rais alisema shika wanakijiji ndiyo wabebe na kuchoma bangi kwahivi huyu muroo anamaana raid alitaka bangi iachwe??
Alipaswa kuomba radhi kwakutolishughulikia swala hilo nasio kusingizia raid alisema wasiishike.
Huyu hatokawia kutimuliwa uDC huyu bora aombe ruhusa akagombee ubunge hai
 
Shida ni kuwa Jerry Muro alienda huko arumeru kupambana na cdm, sasa wamewanyima cdm kufanya siasa, amejikuta hana jingine lolote analoweza. Hapo ndio ujue madaraka ya siasa za kishenzi hayalipi.
 
Hebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k

Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.

Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hayo maeneo yote uliyotaja yanalima bangi miaka nenda rudi, na imekuwa ikikamatwa mara kibao, sasa tujiulize ni kweli kuwa wameshindwa kukomesha?
 
Yeye ndiye mwenye kiti wa Kamati ya ulinzi na usalama Wilayani kwake hawezi kukwepa kikombe hicho.
 
Kwanini watu wanaendelea kùlima bangi wakati sheria/serikali imekataza? Je, inawezekana ina faida kubwa kuliko mazao mengine?
 
Hebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k

Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.

Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Inna acheni kulima bangi
 
Ganja Ni Nzuri sanaaa.. wanatakiwa waruhusu haraka! Wanakosea Sana kuitengenezea Vita kubwa hivi! Dunia inatuachaa! Wenzetu weupe waliotudanganya kua Bangi mbaya ili wafanikishe matamanio yao ya kibepari...leo wanaruhusu dawa(Ganja) na wananufaika pakubwa mno na uzalishaji wa Ganja, kwa matumizi ya tiba, meditation, mafuta ya kupaka na nywele, nguo hasa jeans ngumu kbs zitokanazo na zile nyuzi ngumu, vikapu imara nk...Tuwe huru Sasa na historia zetu tusitengenezeweee!!
 
Hebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k

Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.

Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

Magogoni pale ndio wanaongoza, trillion za bangi zinalimwa pale, halafu wanatabia moja watu wakitoa taarifa juu ya ulimaji bangi, wanapotezwa, wanaokotwa huko coco beach, wengine wanaonekana eti wamejinyonga kwenye mti wa vijiji vya jirani wakati nyumbani kwake kuna miti mingi, ebu tusaidie huyu mkulima wa bangj atatumaliza kuna kipindi alimruhusu hadharani msaidizi wake awe Anavuta hata akivutia chooni sio mbaya, ili aweze kufanya maamuzi magumu, kada mwenzangu wa lumumba aka buku seven, tungeanza na huyu mkulima wa bangj pale magogoni, ingekuwa safi sana maana haiwezekani aruhusu wateja wake tena hadharani eti we vuta, ili aongoze mzuka.
 
Back
Top Bottom