Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,854
- 16,750
Mkuu wa wilaya ya Arumeru mh Jerry Muro amesema watendaji wa vijiji wamekuwa na tabia ya kuwataka wakuu wa wilaya watoke ofisini kwenda kuchoma moto mashamba ya bangi ilhali wao madc walishakatazwa na Rais Magufuli.
Muro amesema hayo wakati wa mkutano kati ya mkuu wa mkoa wa Arusha na viongozi wa wilaya ya Arumeru kuhusiana na mashamba ya bangi yaliyogunduliwa wilayani humo.
Source ITV habari
My take; Sikumbuki madc kukatazwa na Rais Magufuli kuchoma mashamba ya bangi
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1500603
Muro anacheza naona hajui vema his duties & responsibilities kama DC. Inaonyesha hajui DC kazi zake ni zipi hivyo atatimuliwa asipokuwa makini