BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 328
- 414
DC MURO NA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO- IKUNGI.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe. Jerry Muro pamoja na Kamati ya Usalama ya Wilaya wataanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Wilayani Ikungi kuanzia tarehe 01 hadi 04 Novemba, 2022. Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilayani Ikungi unaendelea kwa kasi na viwango.
#KaziIendelee.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida Mhe. Jerry Muro pamoja na Kamati ya Usalama ya Wilaya wataanza ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Wilayani Ikungi kuanzia tarehe 01 hadi 04 Novemba, 2022. Ufuatiliaji na Utekelezaji wa Ilani ya CCM Wilayani Ikungi unaendelea kwa kasi na viwango.
#KaziIendelee.