DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

Lipa bili wewe..! Kipi bora , washindwe kutoa huduma kwa umma kwa sababu mmoja au wawili hawajalipa na hivyo kushindwa gharama za kusukuma maji au wakate kwa yule asiyelipa ?
 
Lipia bill zako mkuu usisingizie korona.
Mimi nikilipia wewe na ugumu wako wa kiuchumi ukashindwa kulipa hivyo ukawa hunawi mikono Mimi tunayekutana mtaani nitaponea wapi?
Wanao wachezao jirani na wangu ninayeweza kulipa tutawatengaje?
 
Lipa bili wewe..! Kipi bora , washindwe kutoa huduma kwa umma kwa sababu mmoja au wawili hawajalipa na hivyo kushindwa gharama za kusukuma maji au wakate kwa yule asiyelipa ?
Usitishaji huo ni wa muda huu mfupi wenye lengo LA kutokomeza gonjwa hili. Jambo hill haliwezi kuwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmoja
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.

Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.

Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)

DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866

Hamna kitu. Huduma ovyo sana. Najiuliza hawa jamaa wanaokuja kwenye issues mtaani tukiripoti wana posho ya ziada au? Maana tatizo dogo tu plumbing mpk wamalize siku 3 au 4. Hapa tuna siku 8. Wanakuja wanaangalia na kuondoka. Nimepiga simu hadi nimechoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani DAWASA nauliza hapa kwetu maji yanapita jirani kabisaa, kama mita 30 ndo kuna bomba na lina maji, nifanyeje ili niweze kuunganishiwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Fika ofisi ya dawasa iliyo karibu ukiwa na. Koi ya kitambulisho chako cha ama kura, Nida. Passport size mbili, barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa na barua ya kuomba huduma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mawasiliano rasmi ya simu katika Mikoa ya kihuduma Dawasa . Wasiliana nasi kupitia mfumo rasmi wa mawasiliano huu ili uweze kuhudumiwa kwa uhakika zaidi.
IMG-20200116-WA0184.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna maeneo kadhaa Dsm hayana mfumo wa majitaka lakini hutozwa gharama za majitaka. Huu ni wizi wa wazi kabisa.
 
HIVI KWELI PAMOJA NA JANGA HILI LA CORONA MNAPITA MNAKATA MAJI MAJUMBANI???MNATEGEMEA NINI???
nchi zingine umeme maji bure kipindi hiki cha maradhi ya corona.
Hili litaiondoa ccm madarakani
 
Ndugu wana JamiiForums,

Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.

Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.

Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:

1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:

Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.

4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)

DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866


DAWASA TUNAOMBA KUFAHAMISHWA KIMARA BONYOKWA TUMERUDI KWENYE MGAO WA MAJI ?MAANA MLIJIGAMBA HAKUNA TENA SHIDA YA MAJI KIMARA TUMEKUWA NA KUKATIKA KATIKA KWA MAJI WIKI YA TATU SASA NA HIVI NINAVYOANDIKA TANGU JUMAMOSI HATUNA MAJI SASA SIJUI KUNA SHIDA GANI NA HATUTANGAZIWI, MUWE MNATOA TAARIFA BASI TUJUE KAMA NI MGAO AU KUNA HITILAFU MAHALI TUJUE.
 
Back
Top Bottom