kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,332
- 8,338
Lipa bili wewe..! Kipi bora , washindwe kutoa huduma kwa umma kwa sababu mmoja au wawili hawajalipa na hivyo kushindwa gharama za kusukuma maji au wakate kwa yule asiyelipa ?
Mimi nikilipia wewe na ugumu wako wa kiuchumi ukashindwa kulipa hivyo ukawa hunawi mikono Mimi tunayekutana mtaani nitaponea wapi?Lipia bill zako mkuu usisingizie korona.
Usitishaji huo ni wa muda huu mfupi wenye lengo LA kutokomeza gonjwa hili. Jambo hill haliwezi kuwa kipindi cha zaidi ya mwezi mmojaLipa bili wewe..! Kipi bora , washindwe kutoa huduma kwa umma kwa sababu mmoja au wawili hawajalipa na hivyo kushindwa gharama za kusukuma maji au wakate kwa yule asiyelipa ?
Hamna kitu. Huduma ovyo sana. Najiuliza hawa jamaa wanaokuja kwenye issues mtaani tukiripoti wana posho ya ziada au? Maana tatizo dogo tu plumbing mpk wamalize siku 3 au 4. Hapa tuna siku 8. Wanakuja wanaangalia na kuondoka. Nimepiga simu hadi nimechoka.Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866
Tufahamishe zaidi juu ya tatizo lakoHamna kitu. Huduma ovyo sana. Najiuliza hawa jamaa wanaokuja kwenye issues mtaani tukiripoti wana posho ya ziada au? Maana tatizo dogo tu plumbing mpk wamalize siku 3 au 4. Hapa tuna siku 8. Wanakuja wanaangalia na kuondoka. Nimepiga simu hadi nimechoka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani DAWASA nauliza hapa kwetu maji yanapita jirani kabisaa, kama mita 30 ndo kuna bomba na lina maji, nifanyeje ili niweze kuunganishiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Fika ofisi ya dawasa iliyo karibu ukiwa na. Koi ya kitambulisho chako cha ama kura, Nida. Passport size mbili, barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa na barua ya kuomba hudumaJamani DAWASA nauliza hapa kwetu maji yanapita jirani kabisaa, kama mita 30 ndo kuna bomba na lina maji, nifanyeje ili niweze kuunganishiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu.... nitakuja hapoFika ofisi ya dawasa iliyo karibu ukiwa na. Koi ya kitambulisho chako cha ama kura, Nida. Passport size mbili, barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa na barua ya kuomba huduma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi.
Ndugu wana jukwaa, DAWASCO inajipambanua kwa kusimamia maadili ,kutoa huduma iliyotukuka pamoja na kuhakikisha huduma ya Maji inapatikana kwa kila mwananchi.
Kama kutatokea kuharibika kwa bomba, wizi wa Maji, umepata huduma isiyo ridhisha au ufanyaji kazi usiofuata maadili, uaminifu na uadilifu, tafadhali toa taarifa kupitia njia zifuatazo:
1. Kupitia tovuti: DAWASCO - Welcome to new site
2. Kupitia mitandao yetu ya kijamii ikiwa ni pamoja na Twitter|DawascoOfficial..Facebook|DawascoOfficial ...Instagram|DawascoOfficial
3. Kwa mwananchiposta ; Unaweza kutuma barua kwa Afisa Mtendaji kama ifuatavyo:
Afisa Mtendaji Mkuu
DAWASCO
P. O. Box 5340
Sokoine Drive
Dar es Salaam, Tanzania.
4. Au kwa kupiga simu huduma kwa wateja dawasco
0800110064 /022 2164800 ( Kupiga namba hizi ni Bure)
DAWASCO HUDUMA KWA WATEJA 0800110064
DAWASCO ILALA 0743 451879
DAWASCO KAWE 0743 451861
DAWASCO KIBAHA 0743 451875
DAWASCO KIMARA 0743 451865
DAWASCO KINONDONI 0743 451863
DAWASCO BAGAMOYO 0743 451877
DAWASCO MAGOMENI 0743 451862
DAWASCO TEGETA 0743 451881
DAWASCO TABATA 0743 451867
DAWASCO TEMEKE 0743 451866