sajo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,021
- 5,253
Kuna mtaa unaitwa Hondogo kwa Shija kata ya Kibamba Wilaya ya Ubungo una makazi mengi sana na yanaendelea kuongezeka lakini bomba lipo mbali zaidi ya mita 200 tunaomba mpitishe bomba ili kuwezesha uunganishaji wa maji kuwa rahisi na kwa gharama nafuu.