Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Kipenzi ukweli hua ni mchungu sana na Huwa unakataliwa,

Ogopa mtu anaye kupa matumaini hewa❤️‍🩹❤️‍🩹
Bado mnapenda kupewa matumaini yasiyo kuwepo
Niliwahi kusema hapa msisubiri ndege stand sindio??


Narudia Tena Hawa watu wanadharau ya Hali ya juu sana, Tena ya juu sana juu yenu and they are ready for anything!!


Kupambana nao inabidi vichwa vitulizwe,

watu wanaplan mpaka 2050 nyie mnawaza 9dc

Its gang gang!! Kwa namna hii ya kuamua mambo kwa hisia na mihemko na ninacho kijua, hawatoki kirahisi kama mnavyo Dhani!! Muda utaongea

Any ways tukutane DEC!!!!!
Duu hii ya dharau kwer imeonekana wazi kabisa hawa jamaa kwer wanadharau ya hatar yaani hata aibu hamna speech ya semaji lao kuhusu tv ya nje .. akaja tena pm yaani kuongelea vifo kwao wanaona zimekufa panya sijui sisimizi mwamba maswali magumu anajibu majibu simple na kuongelea uharibifu nasio vifo kwer hawa jamaa yoga wanadharau hakuna mfano yaani kama ulivyosema it’s clear kabisa hata kama iq za wa tz ni zero lakini hizi dharau nizakiwango cha i.s.o kabisa .. hapa Kwer nature itaamua kwa hiz dharau 🙌
 
Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu.

Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030.

Ni global na continental agents wa illuminati hao hao ambao hawakumpenda the late ceo aliemaliza muda wake in March 2021.

Toka Lowassa ajiuzulu on the 7th of February 2008, kwa miaka 17 hakujawahi kuwa na kiongozi mprotestanti kwenye position ya rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, mpaka hivi karibuni alipoteuliwa huyu waziri mkuu wa sasa on the 13th of November 2025.

Ili kuwa na political inclusivity nzuri, ni vizuri kwenye kila mzunguko wa miaka 30, miaka 10 apewe mkatoliki, miaka 10 apewe mprotestanti, na miaka 10 apewe muislamu wa sunni.

Na kwenye top 3 positions za rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, haya makundi yawepo.

Halafu urais uwe unazunguka kanda kwa kanda sio kurudia kanda zile zile.

Watu wote wanaoshika hizo nafasi za juu, wanatakiwa kwanza kuwa na vigezo na sifa nzuri za uongozi, halafu ndio yanafuata mambo ya madhehebu na kanda.

Of course, hakuna umuhimu wa kufuata power formulae hizo hapo juu, kama kutakuwa na viongozi wazuri sana, wenye vigezo na sifa nzuri sana, ambao hawaendani na hizo formulae hapo juu.

30% - 40% ya watanzania ni wakatoliki.

30% - 40% ya watanzania ni waprotestanti.

20% - 30% ya watanzania ni waislamu.


Huyu ame post sana, lakini kuna assumptions anakosea:


View: https://x.com/SGahamanyi/status/1993565117825368315?s=20

Huyu wakati mwingine, kuna posts anadanganya kabisa, na pia kuna assumptions anakosea:


View: https://x.com/kwamekivaisi/status/1993585444093571131?s=20

May - June, 2026 AD, ni miaka 2,000 tangu Bwana Yahushua Mashiach abatizwe na Yohana Mbatizaji, in the day of Pentecost, in May - June, 26 AD.

May - June, 2030 AD, ni miaka 2,000 ya kuhubiriwa kwa injili ya Bwana Yahushua Mashiach, kwa mataifa yote ya dunia (since the day of Pentecost, in May - June, 30 AD), baada ya kuteswa, kusulubiwa, kufa na kufufuka kwake, in April, 30 AD.

Kwa hiyo dunia, waafrika, na watanzania tunapitia kwenye majira na nyakati muhimu.
 
Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu.

Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030.

Ni global na continental agents wa illuminati hao hao ambao hawakumpenda the late ceo aliemaliza muda wake in March 2021.

Toka Lowassa ajiuzulu on the 7th of February 2008, kwa miaka 17 hakujawahi kuwa na kiongozi mprotestanti kwenye position ya rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, mpaka hivi karibuni alipoteuliwa huyu waziri mkuu wa sasa on the 13th of November 2025.

Ili kuwa na political inclusivity nzuri, ni vizuri kwenye kila mzunguko wa miaka 30, miaka 10 apewe mkatoliki, miaka 10 apewe mprotestanti, na miaka 10 apewe muislamu wa sunni.

Na kwenye top 3 positions za rais, makamu wa rais, na waziri mkuu, haya makundi yawepo.

Halafu urais uwe unazunguka kanda kwa kanda sio kurudia kanda zile zile.

Watu wote wanaoshika hizo nafasi za juu, wanatakiwa kwanza kuwa na vigezo na sifa nzuri za uongozi, halafu ndio yanafuata mambo ya madhehebu na kanda.

Of course, hakuna umuhimu wa kufuata power formulae hizo hapo juu, kama kutakuwa na viongozi wazuri sana, wenye vigezo na sifa nzuri sana, ambao hawaendani na hizo formulae hapo juu.

30% - 40% ya watanzania ni wakatoliki.

30% - 40% ya watanzania ni waprotestanti.

20% - 30% ya watanzania ni waislamu.


Huyu ame post sana, lakini kuna assumptions anakosea:


View: https://x.com/SGahamanyi/status/1993565117825368315?s=20

Huyu wakati mwingine, kuna posts anadanganya kabisa, na pia kuna assumptions anakosea:


View: https://x.com/kwamekivaisi/status/1993585444093571131?s=20

May - June, 2026 AD, ni miaka 2,000 tangu Bwana Yahushua Mashiach abatizwe na Yohana Mbatizaji, in the day of Pentecost, in May - June, 26 AD.

May - June, 2030 AD, ni miaka 2,000 ya kuhubiriwa kwa injili ya Bwana Yahushua Mashiach, kwa mataifa yote ya dunia (since the day of Pentecost, in May - June, 30 AD), baada ya kuteswa, kusulubiwa, kufa na kufufuka kwake, in April, 30 AD.

Kwa hiyo dunia, waafrika, na watanzania tunapitia kwenye majira na nyakati muhimu.

Conclusion pls
 
Inaelekea baadhi ya global na continental agents wa illuminati walitaka akae mpaka Oct 2025, halafu astaafu.

Kuna baadhi ya agents wa illuminati wanataka akae hadi Oct 2030.
Acha uongo
 
Wachambuzi hii ikoje ? Kuna tetesi kuwa Foreign powers nao wanacheza kwenye haya yanayoendelea na nyingine zinasema Paka naye yumo ndani anashiriki na kufuatilia game kwa utulivu mkubwa
Dunia ni kijiji
 
Na Dkt. Geus Mbadika Nyaisanga
Dar es Salaam, Tanzania

Uchaguzi Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025 uliandika ukurasa mwingine muhimu katika safari ya kidemokrasia ya nchi tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.

Mamilioni ya Watanzania walijitokeza kwa amani kutekeleza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura, licha ya kuwepo kwa taarifa za machafuko katika baadhi ya miji mikubwa kama Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Mbeya na Songwe.

Kuanzia siku ya uchaguzi na siku chache baada ya hapo, matukio ya vurugu yalizuka. Vituo vya mafuta vilichomwa moto, mabasi ya mwendokasi na vituo vyake viliharibiwa, vituo vya polisi na ofisi za serikali ziliteketezwa, na mali binafsi zilivunjwa na kuporwa.

Jeshi la Polisi likisaidiwa na vyombo vingine vya usalama lililazimika kuchukua hatua kudhibiti hali hiyo. Baadhi ya maeneo yaliwekwa chini ya uangalizi maalumu wa kiusalama, mengine yakafungwa kwa muda, huku mawasiliano ya kidijitali yakipunguzwa ili kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi.

Dar es Salaam – kitovu cha uchumi – ndiyo iliyoathirika zaidi.
Tathmini za awali zinaonyesha uharibifu mkubwa katika sekta za mafuta, usafiri wa umma, na biashara. Vituo vingi vya mafuta viliteketezwa, miundombinu ya mwendokasi kuharibiwa, na magari pamoja na maduka binafsi kuvunjwa.

Uchochezi Kupitia Mitandao ya Kijamii
Uchunguzi wa awali umebaini kuwa vurugu hizo hazikuwa za bahati mbaya bali zilipangwa kwa makusudi kupitia mitandao ya kijamii kama X (zamani Twitter), TikTok, Facebook, na WhatsApp, ambako video, picha, na sauti za uchochezi zilisambazwa kwa kasi. Akaunti nyingi zilizoongoza harakati hizo zilikuwa zinasimamiwa kutoka nje ya Tanzania — hasa kutoka Kenya.

Watumiaji wengi wa mitandao kutoka Kenya walionekana wakifurahia machafuko hayo, wakitengeneza na kusambaza maudhui yaliyolenga kuchochea chuki dhidi ya vyombo vya usalama vya Tanzania na kueneza madai ya uongo kuhusu matokeo ya uchaguzi. Kwa mtazamo wa haraka, huenda hali hii ikaonekana kama maoni ya kawaida ya kikanda — lakini kwa uchambuzi wa kina, inaonyesha ajenda pana ya kiuchumi na kijiografia.

Kwa Nini Kenya Inachochea Machafuko Nchini Tanzania?
Miongoni mwa mataifa zaidi ya 50 barani Afrika, kwa nini Kenya inaonekana kuwa na hamu kubwa ya kuibua au kusherehekea machafuko nchini Tanzania? Je, ni upendo wa kidugu au hamasa ya kidemokrasia?

Si hivyo. Kenya pia inapakana na Uganda na Rwanda, lakini haijaonyesha juhudi kama hizo huko. Vilevile, haiwezi kudai kupigania demokrasia wakati nayo inakabiliwa na changamoto za kidemokrasia kama majirani zake.

Lengo halisi liko kwenye ujasusi wa kiuchumi na ushindani wa kimkakati kati ya Kenya na Tanzania kuhusu udhibiti wa njia za biashara na bandari za Afrika Mashariki.

Kwa miaka mingi, Bandari ya Mombasa imekuwa lango kuu la biashara ya kikanda. Lakini katika miaka ya karibuni, Tanzania imeibuka kama mpinzani mkubwa, kufuatia mageuzi makubwa na uwekezaji mkubwa katika Bandari ya Dar es Salaam na miundombinu ya reli na barabara inayoihusisha.

Kupitia ushirikiano wa kimkakati na Dubai Ports World (DP World), Bandari ya Dar es Salaam imepiga hatua kubwa. Muda wa kushusha mizigo umepungua kutoka siku tano hadi moja pekee, huku ada nyingi zikifutwa — jambo lililoongeza ufanisi na mvuto kwa wafanyabiashara.

Mradi wa mfano, Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP) wenye thamani ya dola milioni 420, unapanua uwezo wa bandari, kuongeza kina cha gati, kuboresha maghala, na kuiunganisha na Kituo cha Kwala ICD pamoja na Reli ya SGR inayoenda Isaka na Kigoma.

Ripoti ya The East African Business Review (2024) inaonyesha kuwa wafanyabiashara kutoka Uganda, Rwanda, Burundi, Malawi, na DRC wameanza kuhamishia mizigo yao Dar es Salaam badala ya Mombasa kutokana na gharama na ucheleweshaji nchini Kenya.

Mwaka 2023, upokeaji wa mizigo Bandari ya Mombasa ulipungua kwa asilimia 1.9, hali inayohusishwa moja kwa moja na ushindani wa Dar es Salaam.

Hofu ya Kenya Kwa Kukuwa kwa Uchumi wa Tanzania
Kwa muda mrefu, Kenya imekuwa ikijulikana kama kitovu cha biashara Afrika Mashariki. Hata hivyo, ukuaji wa uchumi wa Tanzania unaoendelea kwa wastani wa asilimia 6.1 katika miaka mitatu mfululizo ukilinganishwa na asilimia 4.5 ya Kenya (Benki ya Dunia 2024–2025) umeanza kutishia nafasi hiyo.

Sekta kama madini, nishati, bandari, na ujenzi zimeifanya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zenye mvuto mkubwa wa uwekezaji barani Afrika. Kwa hiyo, machafuko ya ndani yangekuwa njia ya haraka zaidi ya kudhoofisha imani ya wawekezaji — jambo linaloinufaisha Kenya kama mpinzani mkuu wa kibiashara wa Tanzania.

Maendeleo yanayoendelea katika Bandari ya Bagamoyo, inayotarajiwa kuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki, pamoja na maboresho katika Bandari ya Tanga na bandari za maziwa kama Mbambabay (Ziwa Nyasa) na Tumbi (Ziwa Tanganyika), yanaashiria dhamira ya Tanzania kupanua ushawishi wake kutoka Bahari ya Hindi hadi Ukanda wa Maziwa Makuu.

Kwa Kenya, hii ni onjo la hatari. Kukamilika kwa miradi hii kutahamisha mizigo mingi kutoka DRC, Zambia, Malawi, na Rwanda kwenda njia za Tanzania — jambo ambalo Kenya haitakubali kirahisi. Kwa hiyo, kuchochea machafuko kunakuwa mbinu ya kuchelewesha maendeleo na kudhoofisha uaminifu wa wawekezaji.

Vita Vipya vya Kiuchumi – Vinavyopiganwa Mtandaoni
Katika zama hizi za kidijitali, vita havipiganwi kwa bunduki pekee, bali kwa taarifa. Watu maarufu mtandaoni, wanaharakati na wapiga kelele wa kisiasa wamekuwa silaha mpya katika vita vya kiuchumi na kisiasa.

Uchunguzi wa Oxford Internet Institute (2023) uliitaja Kenya miongoni mwa nchi 10 za Afrika zinazoendesha kampeni za kimtandao zilizoandaliwa mahsusi kwa ajili ya kupotosha maoni ya umma kwa malengo ya kisiasa au kibiashara.

Katika uchaguzi wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025, ushahidi unaonyesha vyombo vya habari na mitandao kutoka Kenya vilihusika kwa namna fulani kueneza taarifa za uongo. Wakati Watanzania wakipiga kura kwa amani, mitandao ya Kenya ilifurika na machapisho ya kejeli yakidai “vurugu zimezuka Tanzania,” yakitumia picha za zamani kutoka nchi nyingine.

Mwitikio wa Vyombo vya Usalama vya Tanzania
Licha ya mashambulizi ya kidijitali, vyombo vya usalama vya Tanzania vilijibu kwa weledi na kasi. Jeshi la Polisi, JWTZ, TISS, na FFU walishirikiana kurejesha utulivu ndani ya muda mfupi.

Dar es Salaam — ambako vituo vya mafuta na ofisi kadhaa ziliteketezwa — ilirejea katika hali ya kawaida ndani ya saa 48. Operesheni zilifanyika kwa tahadhari kubwa ili kulinda raia na mali zao.

Chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, serikali ilidumisha utulivu na uthabiti, ikithibitisha kuwa Tanzania si nchi rahisi kutikiswa na propaganda za mtandaoni.

Hitimisho: Vita Vya Kimya vya Uchumi na Taarifa
Tukio la Oktoba 29, 2025, halikuwa vurugu za kisiasa tu — bali ni sehemu ya vita baridi ya kiuchumi inayoendeshwa kwa njia ya kidijitali.

Tanzania inapojiimarisha kama kitovu kipya cha biashara Afrika Mashariki, Kenya inakabiliwa na ukweli wa kupoteza nafasi yake ya kibiashara ya kihistoria. Kupitia propaganda za mtandaoni, uchochezi wa kidijitali, na kauli za “utetezi wa demokrasia,” jitihada zinafanywa kuchelewesha kupaa kwa uchumi wa Tanzania.

Leo hii, vita havipiganwi kwa risasi — bali kwa algorithms, simulizi, na taswira. Hata hivyo, Tanzania imeonyesha ustahimilivu na nidhamu; ishara kuwa amani na maendeleo bado ndizo silaha zake kuu katika enzi hii mpya ya vita vya kimya.
 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amesema bara la Afrika linaweza kushuhudia mapinduzi zaidi, hasa kutokana na mtindo wa vijana wa kizazi kipya, maarufu kama Gen Z kuonyesha nia ya kupindua tawala ambazo hazitekelezi matakwa ya wananchi.

Akizungumza kufuatia mfululizo wa mapinduzi barani Afrika, ikiwemo Madagascar mwezi uliopita na machafuko ya kijeshi Guinea-Bissau wiki hii, Kagame amesema ni muhimu viongozi wa Afrika “kujiuliza sababu za mapinduzi haya badala ya kushangazwa nayo.”

Kwa mujibu wa takwimu zilizowasilishwa, tangu mwaka 1952 kumetokea mapinduzi 130 katika nchi 36 barani Afrika, huku karibu mapinduzi 10 yakitokea ndani ya miaka mitano iliyopita pekee.

Kagame amesema mataifa mengi ya Afrika, ikiwemo Rwanda, yana matatizo katika namna yanavyoendeshwa, jambo linalochochea misuguano kati ya watawala na wananchi. “Namna viongozi wanavyoendesha nchi zao inaweza kujenga mazingira ya mapinduzi,” amesema, akisisitiza kuwa vijana wanafanya hivyo wakiamini wanatafuta mabadiliko ya kiutawala na kiuchumi.

Ameongeza kuwa suluhisho si kuwadhibiti vijana, bali ni kujenga mifumo yenye uwajibikaji, haki, na kusikiliza kilio cha wananchi, hasa vizazi vipya vinavyotumia teknolojia na mitandao ya kijamii kuhamasisha hoja zao.
 
Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amesema bara la Afrika linaweza kushuhudia mapinduzi zaidi, hasa kutokana na mtindo wa vijana wa kizazi kipya, maarufu kama Gen Z kuonyesha nia ya kupindua tawala ambazo hazitekelezi matakwa ya wananchi.

Akizungumza kufuatia mfululizo wa mapinduzi barani Afrika, ikiwemo Madagascar mwezi uliopita na machafuko ya kijeshi Guinea-Bissau wiki hii, Kagame amesema ni muhimu viongozi wa Afrika “kujiuliza sababu za mapinduzi haya badala ya kushangazwa nayo.”

Kwa mujibu wa takwimu zilizowasilishwa, tangu mwaka 1952 kumetokea mapinduzi 130 katika nchi 36 barani Afrika, huku karibu mapinduzi 10 yakitokea ndani ya miaka mitano iliyopita pekee.

Kagame amesema mataifa mengi ya Afrika, ikiwemo Rwanda, yana matatizo katika namna yanavyoendeshwa, jambo linalochochea misuguano kati ya watawala na wananchi. “Namna viongozi wanavyoendesha nchi zao inaweza kujenga mazingira ya mapinduzi,” amesema, akisisitiza kuwa vijana wanafanya hivyo wakiamini wanatafuta mabadiliko ya kiutawala na kiuchumi.

Ameongeza kuwa suluhisho si kuwadhibiti vijana, bali ni kujenga mifumo yenye uwajibikaji, haki, na kusikiliza kilio cha wananchi, hasa vizazi vipya vinavyotumia teknolojia na mitandao ya kijamii kuhamasisha hoja zao.
Naonna amekwishajiandaa kisaokolojia.
 
Jamaniee, shughuli imeanza,😅

Sasa Kuna watu wameanza Kutumia akili na sio emotion Tena!! Hongereni

(Sasa nature inaweza isiwe the only solution)

(Japo Msimamo uko pale pale, hakuna kukili kosa guys)
 
Jamaniee, shughuli imeanza,😅

Sasa Kuna watu wameanza Kutumia akili na sio emotion Tena!! Hongereni

(Sasa nature inaweza isiwe the only solution)

(Japo Msimamo uko pale pale, hakuna kukili kosa guys)
yoga ongeza nyama kidogo hapa
 
Jamaniee, shughuli imeanza,😅

Sasa Kuna watu wameanza Kutumia akili na sio emotion Tena!! Hongereni

(Sasa nature inaweza isiwe the only solution)

(Japo Msimamo uko pale pale, hakuna kukili kosa guys)
Akina Habil na Redcross 26 au siyo?
Wanaipiga CCM mtandao na Gov paralysis ya hatari.
Cyber war imeshika kasi ...
PSYOPs za kutisha.
 
Back
Top Bottom