Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

yoga uzi hauna kona kona umenyooka kama road za germany. vp kuhusu captain wamatumaini bado yuko live nakama yuko live kuna comeback yoyote na kuhusu bishop msema kwer naye vp
Ile kamats nilihis mlengwa ni bishop Tu ili apotezwe kabisa kama mr fast fast sasa kuwaachia hawa nahis pia ni picha la kichina ili ajipeleke awaze kjinga kwamba nitaachiwa hapo ndio itakuwa goodbye bishop.ila yule jamaa aba akili sana sidhsni kama atarnfa hvhv..
 
Ni kwa muda mfupi tu coz ni binadamu ambao wamejaa madhaifu kibao, wataachia tu.

Power itarudi kwa umma coz hakuna aliyeweza kushindana na umma akashinda.

Hapa naona kama unataka kutuonyesha kuwa jamaa hatuwawezi, hawa ni binadamu kama sisi, tusiwape nguvu isiyokuwa yao!
Huyu ni mwana mtandao yuko humu kuvunja watu mioyo… lakini safari hii sijui wataongra lugha gani kufuta hizi hasira na maumivu mioyoni mwetu!
 
Ile kamats nilihis mlengwa ni bishop Tu ili apotezwe kabisa kama mr fast fast sasa kuwaachia hawa nahis pia ni picha la kichina ili ajipeleke awaze kjinga kwamba nitaachiwa hapo ndio itakuwa goodbye bishop.ila yule jamaa aba akili sana sidhsni kama atarnfa hvhv..
Bishop hawezi kukosa taharifa ya vita zake nyingi huwa anashinda na hii atashinda nina kaa Usubiri Slow slow alisalitiwa na watu wake wa karibu nae alijua ameshachelewa unakumbuka usiku ule akapotea alisema kuna wazee wameshajiandaa kwa ajili ya kukaa kwa maridhiano ya kiina macho cha Uchaguzi akasema wazee tuwakatae naye amewakataa maana wamejivunjia heshima ya miaka yote hiyo ni kauli ya kwamba nimesalitiwa tayari Kakulwa amekua wa ovyo sana
 

Attachments

  • Screenshot_20251024_134912_Chrome.jpg
    Screenshot_20251024_134912_Chrome.jpg
    26.5 KB · Views: 12
Back
Top Bottom