Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

hizo imani ondoa mkuu hakuna kitu mungu atafanya dhidi ya utawala wa CCM .
ondoa hicho kitu akilini mwako mungu ahusiki na chochote kuhusu siasa hizi za bongo na matukio yanayoendelea .

ingekuwa ni hivyo basi angekuwa ashatoa hukumu kwa haya yalitokea siku ya maandamano
Maisha yangu ni Mungu kuondoa haiwezekani,
 
1762714663694.jpeg

1762714682090.jpeg


1762714743067.jpeg



SOON!!
 
The compass keeps pointing north, but the traveler insists on walking south.”
So kuna contradiction between the compass and the traveler
The concept that i've understood is north and south
Traveler ana kiburi kama tunavyo mjua hataki kuonekana kashindwa ingali ni Abnormal
 
Back
Top Bottom