Emanueli misalaba
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 2,913
- 3,899
John Mongela
Yule hadi utumie Mossad, CIA au wadogo zake na KGB bila hivyo mmmmmhWizoo usijali
Aliyeua sn wenzie na ye Hana muda mrefu kuondoka
More to come
Huyu au? 👇👇Habari. Kuna thread imeondolewa ilipostiwa mchana hivi nadhan , ni ya prophet sikumbuki jina lake ni kama ilitokea Instagram..unakumbuka...
Dah shukran boss. Hii hii..unayo videoHuyu au? 👇👇
AminaMungu amlinde na kumuepusha na mauti Mungu wa haki isimame na kuipigania haki ya kuishi ya huyu Baba hiyo mipango yao ifutike kwa Jina la Yesu Kristo... nakumbuka pia kuna mahali yoga alisema kijana msema sana anaandaliwa mauti na safari hii itaonekana kama natural death
Mungu ulie hai mkono wako haukupunguka hata usiwaze kuokoa ninaomba samehe dhambi yake na maovu yake yote mkumbuke Bwana, mlinde asipate madhara, kifo kabla ya wakati tunakataa kwa Damu ya Yesu Kristo
Chama chetu bado hakijafa tena kiko imaraUkiangalia wengi wanaojifariji humu ni wale kenge walitusumbua kila siku kuwa watazuia uchaguzi ila baada ya Mambo kuwaendea vigumu wamekaa pembeni kuomba ujinga ujinga utoke never ever Chama chenu ndiyo hivo kimeshakufa jiandaeni kuhamia kwingine
InakubaliHaikubali hata vpn haitumi ile otp text
NjemaHabari. Kuna thread imeondolewa ilipostiwa mchana hivi nadhan , ni ya prophet sikumbuki jina lake ni kama ilitokea Instagram..unakumbuka...
Wala yupo Mungu aliyemuumba ndo atamalizana nae ,hatuhitaji hao 😅Yule hadi utumie Mossad, CIA au wadogo zake na KGB bila hivyo mmmmmh
Things turning upside down, kipindi cha Magufuli Tanzania ilikuwa ni nchi tajiri inayoweza kujitegemea, na hii mentality ikaanza kujengeka kwenye akili na mioyo ya Watanzania.Ndo maana watu wanatoa ushauri na kupiga kelele baadhi ya vitu virekebishwe kupata hao viongozi ambao wako vzr laa sivyo Hali sio shwari
Yaani sshv ndo tunamuelewa Magufuli aliyekuwa na uthubutu
Kwa hiyo ndg nchi mbichi amewekwa kimkakati, ikitokea Mkuu akaenda zake, atafaa kuliongoza kalandinga.Oooh nimekuelewa...kwamba sawa atakuepo hadi iyo feb..ila yule bwana atachukua mpira kiulainii kwa mtelezo wa kitonga 😛😛...dah Bora mimi sikuwa jasusi..ningeshaweka maspika nchi nzima kutoboa siri
Mimi sijui...nimeelezea nilivyomuelewa yoga...ikumbukwe mtu akivuta bange anaweza andika loloteKwa hiyo ndg nchi mbichi amewekwa kimkakati, ikitokea Mkuu akaenda zake, atafaa kuliongoza kalandinga.
Huyu au? 👇👇
Mkuu! Mbona unajitetea kama umepigwa roba ya mbao?Mimi sijui...nimeelezea nilivyomuelewa yoga...ikumbukwe mtu akivuta bange anaweza andika lolote
Samia hajamkutia Magufuli kwa kukopa..Magu alikopa hadi kwa taasisi binafsi na mifuko ya wastaafu. By the way wote ni CCMThings turning upside down, kipindi cha Magufuli Tanzania ilikuwa ni nchi tajiri inayoweza kujitegemea, na hii mentality ikaanza kujengeka kwenye akili na mioyo ya Watanzania.
Ila sasa Tanzania ni nchi masikini, omba omba, na mikopo mara dufu.
Ogopa wahuni.
Mkuu mimi sina wakili wala bastola ya kujitetea nikiviziwaMkuu! Mbona unajitetea kama umepigwa roba ya mbao?
We nae zuzu tuKhaaaa!! 😂😂😂 December, shida hamjui muvie kamili inaaza February
Unaeza kuwa na Mawakili na Bado ukalala gerezaniMkuu mimi sina wakili wala bastola ya kujitetea nikiviziwa
Yeah tena ukakuta wako against naweweUnaeza kuwa na Mawakili na Bado ukalala gerezani
Too badThings turning upside down, kipindi cha Magufuli Tanzania ilikuwa ni nchi tajiri inayoweza kujitegemea, na hii mentality ikaanza kujengeka kwenye akili na mioyo ya Watanzania.
Ila sasa Tanzania ni nchi masikini, omba omba, na mikopo mara dufu.
Ogopa wahuni.