yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 2,002
- 10,372
- Thread starter
- #11,901
Yoga ni muongo🙊
Yoga Mpiga ramli🙊
Yoga hamna anacho jua 🙊
Yote ni sawa na NI kweli 😂😂😂😂😂
Kwa sababu hii ni adithi.....
na kwenye hadithi hii nawakumbusha kuwa, Kuna mtu anaitwa Mr born town, ama God father, uhusika wake ndani ya hadithi hii ni kuwa he is the master mind and he knows each and everything that happens in the company
Current CEO baada ya kushiriki kumuomdoa late CEO alianza kupambana kumondoa THE GOD FATHER and by surprise found out that she can't take him down and if she wish....... She needs time.
Ili ku by time, na kuandaa mpango kabambe anaamua ku comply na the God father, ambaye naye Kesha wakusanya the internal security agency ya campuni na kuwapa maelezo dhidi ya current CEO na team late CEO
kuna kundi la team late CEO wanapambana bila maaaarifa kum take down the present CEO na GOD father wake. changamoto wanasalitiana sana,
Fund pia ya kupush movement ndani ya kampuni haipo
sasa Mimi nawapa taadhari tu, na nasema Tena, this CEO is going to be the next CEO for another 5 years!! But it will be five kama hato enda kinyume na BORN TOWN,
kubwa zaidi ni kuwa everything is planned for her to be the CEO
ilaaaaa....,.. hizo 5 years to come thing will be differently!!
Yoga Mpiga ramli🙊
Yoga hamna anacho jua 🙊
Yote ni sawa na NI kweli 😂😂😂😂😂
Kwa sababu hii ni adithi.....
na kwenye hadithi hii nawakumbusha kuwa, Kuna mtu anaitwa Mr born town, ama God father, uhusika wake ndani ya hadithi hii ni kuwa he is the master mind and he knows each and everything that happens in the company
Current CEO baada ya kushiriki kumuomdoa late CEO alianza kupambana kumondoa THE GOD FATHER and by surprise found out that she can't take him down and if she wish....... She needs time.
Ili ku by time, na kuandaa mpango kabambe anaamua ku comply na the God father, ambaye naye Kesha wakusanya the internal security agency ya campuni na kuwapa maelezo dhidi ya current CEO na team late CEO
kuna kundi la team late CEO wanapambana bila maaaarifa kum take down the present CEO na GOD father wake. changamoto wanasalitiana sana,
Fund pia ya kupush movement ndani ya kampuni haipo
sasa Mimi nawapa taadhari tu, na nasema Tena, this CEO is going to be the next CEO for another 5 years!! But it will be five kama hato enda kinyume na BORN TOWN,
kubwa zaidi ni kuwa everything is planned for her to be the CEO
ilaaaaa....,.. hizo 5 years to come thing will be differently!!