Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,847
- 37,543
Mbona mambo Bado subiri bunge livunjwe hutaaminiAisee,msajili ametengua uteuzi wa viongozi wa CDM na amekiondolea ruzuku pia 😆
Hata hawa wanaoonekana wapinzani Kwa ss Wala hawatakua na issue, upinzani wenyewe utatoka ndani
Just seat and watch....
Note, this time hii nchi mambo hayatakua km watu walivyozoea, turashuhudia mengi