Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

I see pain every where!
So far so good
Mambo ni mazuri usijali kabisa hii vita ya kiroho na inapigwa huko, subiri tu uone ardhi itakavyoanza kumeza watu.

Kitu ambacho christian hawajui kuwa hii ni vita ya kulinyamazisha kanisa Kwa ujumla Wala sio huyo Gwajima,ndo maana tunaolewa tumeanua kuingia kazini rasmi Mungu hajawahi shindwa
 
Amen amen, Maombi ya Vita au ya aina ipi?
Maana nimekuwa nikimwombea, JG, Charles Kitime na wenye kupenda Uzalendo, ukweli na HAKI ya ki - Mungu kwenye taifa hili, Mungu awatetee, je ninadilishe maombi
Habari ndo hiyo unauliza tena boss
Unakumbuka ht Gwajima jpil alisema ,vaeni silaha zote , efeso 6: 10
.hapo ni kutoa upanga wa Bwana hautarudi alani mpk mtu aanguke

Ombea wote wenye haki hii nchi walindwe
 
Habari ndo hiyo unauliza tena boss
Unakumbuka ht Gwajima jpil alisema ,vaeni silaha zote , efeso 6: 10
.hapo ni kutoa upanga wa Bwana hautarudi alani mpk mtu aanguke

Ombea wote wenye haki hii nchi walindwe
Amen amen, wenye haki wote walindwe, na kuyafukuza majini, ma uganga pamoja na uchawi aliyojifanyia Yezebeli, mwanamke mwovu,
 
Back
Top Bottom