Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 28,847
- 37,543
Msiwe na wasiwasi haya mambo hayana muda ,hakuna aliyeshindana na Mungu na akishinda, never.
Is he safe?Msiwe na wasiwasi haya mambo hayana muda ,hakuna aliyeshindana na Mungu na akishinda, never.
I believe that! 😷Is he safe?
I believe that! 😷
Acha wamalize maombi yao ya fasting 7 days
Akigoma kwenda watamfanya nini?Wanaendelea kukusanya taarifa. Baraza la wazee likiitwa naye kuja mbele yake na kuwekewa huo mzigo. Kisha anaambiwa jipime.
So far so goodI see pain every where!
Inauma sana sana.Msiwe na wasiwasi haya mambo hayana muda ,hakuna aliyeshindana na Mungu na akishinda, never.
Palapanda linalia.Akigoma kwenda watamfanya nini?
HatariPalapanda linalia.
Mungu atajibu kwa motoMsiwe na wasiwasi haya mambo hayana muda ,hakuna aliyeshindana na Mungu na akishinda, never.
Who?Is he safe?
NaelewaInauma sana sana.
Usibaki kuumia ,chukua hatua ,ombaInauma sana sana.
Nimeona code kwa yule msaliti wa Zambarau akimshambulia JG kwa sababu tu ana bendera ya Wana wa Yuda, kaingiza udiniNaelewa
Ila jua hii ni vita ya kanisa Wala sio Gwajima, walio rohoni wanaelewa ,ht mnayodhani makanisa makubwa tusipoomba yatafungiwa
Hawa wapuuzi wanatuchukulia poa sn ,but not this tine
Amen amen, Maombi ya Vita au ya aina ipi?Usibaki kuumia ,chukua hatua ,omba
Habari ndo hiyo unauliza tena bossAmen amen, Maombi ya Vita au ya aina ipi?
Maana nimekuwa nikimwombea, JG, Charles Kitime na wenye kupenda Uzalendo, ukweli na HAKI ya ki - Mungu kwenye taifa hili, Mungu awatetee, je ninadilishe maombi
Hii ni vita ya kanisaNimeona code kwa yule msaliti wa Zambarau akimshambulia JG kwa sababu tu ana bendera ya Wana wa Yuda, kaingiza udini
Amen amen, wenye haki wote walindwe, na kuyafukuza majini, ma uganga pamoja na uchawi aliyojifanyia Yezebeli, mwanamke mwovu,Habari ndo hiyo unauliza tena boss
Unakumbuka ht Gwajima jpil alisema ,vaeni silaha zote , efeso 6: 10
.hapo ni kutoa upanga wa Bwana hautarudi alani mpk mtu aanguke
Ombea wote wenye haki hii nchi walindwe