RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 3,663
- 6,906
Ameshakimbia!!ujuaji wetu mwingi!Usikimbie hili swali please!
Ameshakimbia!!ujuaji wetu mwingi!Usikimbie hili swali please!
Huyu Daktari siku si ameonekana kuwa karibu na CEO wa zamani hizi siku za karibuni?Doctor akasuggest baadhi ya vipimo kwa CEO japokuwa muda mwingi alikuwa akimwambia huu ni uchovu tu, hali itakaa sawa na akawa anampa dawa za michongo!!
Ndiyo maana ilionekana kama covid 19?Hivyo after the meeting maamuzi yalifanywa kutumia powder inaitwa NSP, hii ni modified polonium 210! Hii inauwezo wa kucheza na mtu kwa more than 80 to 90 days since awe contacted with!!
Inasikitisha sana.He oppened his eyes, he looked tired, He tried to waved his left hand, it was kama anataka kusema nao neno but alikuwa hawezi!! His wife came close and hold his left hand, his son and doughter also came and stood behind their mother! They both in tears, watching their very sick father! then slowly He closed his eyes!
hili limelukwaKuna bwana ameleta waraka wa kumsihi bro ake asiondoke kwanza, kwamba muda ukifika atapewa majukumu ya kusimamia mabadiliko makubwa kwenye kampuni ikiwemo ya kitabu.
Hili limekaaje kitaalam?
Tumpe muda labda anasuka nondo atarudi.hili limelukwa
(2 Kings 6:12)😄😄 Nope!! Kina choendelea is to know nani amemfeed Taarifa, it means there is a snitch in the white house
Hii ndiyo inayoendelea sasa.Pili, miradi hiyo yote ya the late CEO waitwe wale outsider investors ambao ndio humpa kiburi mr born town waje wawe involved especially kwenye kuiendesha hiyo miradi itakapo kamilika With a very good interest kwao! Ilengo na wao wawe karib na huyu the new CEO
Kumbe yoga ni team, siyo mtu mmoja.Tumepindisha tena!! Sawaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nitag kwenye huo uzi wa waraka pleaseTumpe muda labda anasuka nondo atarudi.
nilisema Toka nyuma kidogo hapo they are to be deleted,Tutegemee reforms zozote zitakazo wafanya CDMA kuingia kwenye uchaguzi?
What going on with TAL?
Just know the big boss till to day is still in power whatever he likes might be!Kuna bwana ameleta waraka wa kumsihi bro ake asiondoke kwanza, kwamba muda ukifika atapewa majukumu ya kusimamia mabadiliko makubwa kwenye kampuni ikiwemo ya kitabu.
Hili limekaaje kitaalam?
In a war, and there is a side that is weak....... surprises are inevitable, just know those surprises are planned! they are only surprise since your people are weak in intelligence or they are snitching on you!(2 Kings 6:12)
Huyu ndiye snitch mtoa taarifa kwenye vyumba hivyo vya dark!
Yaani Yoga unaamini kabisa kuna mpango wowote wa Siri ukapangika Mungu asijue KUPITIA vyanzo vyake?
Yaani mtumie Bible kujifunza na kukopi ujasusi, Kisha mdhani mwanafunzi aweza kumzidi mwalimu maarifa sio!
Haya!
Tresor Mandala
Do you think CDM and its people dont really know what is coming? Are they reaaly that blind and dumb?nilisema Toka nyuma kidogo hapo they are to be deleted,
Even their infrastructures and financial sources are going to be taken, other leaders are going to be locked, unless they comply,
Fail to do so, it's the end
Does the company consider CDM as a threat, competitor or just a normal opposer.In a war, and there is a side that is weak....... surprises are inevitable, just know those surprises are planned! they are only surprise since your people are weak in intelligence or they are snitching on you!