Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 9,293
- 12,874
Sina mpango wa simu Tecno yangu yanitosha, yaani uchukue simu unifuate mpk home kwangu kwa G....Unataka utuibie simu?😆😆
Tayana-wog
nini sijui.
Sina mpango wa simu Tecno yangu yanitosha, yaani uchukue simu unifuate mpk home kwangu kwa G....Unataka utuibie simu?😆😆
Tayana-wog
Sio std7!Huu mzigo kama katuni za Masudi Kipanya full mafumbo, dah kweli shule muhimu.
Wanaendelea kukusanya taarifa. Baraza la wazee likiitwa naye kuja mbele yake na kuwekewa huo mzigo. Kisha anaambiwa jipime.Labda Mpaka mambo yatakapo haribika sana....
Sawa sawaWanaendelea kukusanya taarifa. Baraza la wazee likiitwa naye kuja mbele yake na kuwekewa huo mzigo. Kisha anaambiwa jipime.
Katiba inasemaje mkuu?au angevunja katiba?Twende mbele turudi nyuma,
Venance Mabeyo anajisikiaje kuruhu huyu mtu kukaa kwenye kiti?
Waliyempa kuongoza Maskani ameongozana inavyostahili?
Venance Mabeyo anapaswa kuja kuomba msamaha watanzania.
Analazimishwa kukikataa kiti. Maisha mengine yanaendelea.Katiba inasemaje mkuu?au angevunja katiba?
Twende mbele turudi nyuma,
Venance Mabeyo anajisikiaje kuruhu huyu mtu kukaa kwenye kiti?
Waliyempa kuongoza Maskani ameongozana inavyostahili?
Venance Mabeyo anapaswa kuja kuomba msamaha watanzania.
Mgombea urais huchangua makamu wake kweli au wazee ndiyo huchangua yenyewe?Hana sababu ya kuomba Msamaha, Alie tukosea ni JPM aliemchagua kama mgombea mwenza panoja na CCM yake.
Otherwise, Mobeyo alisimamia katiba, kwasababu hata waliotaka kumpoka madaraka bibie walikua na maslai yao binafsi.
Je aliyemtetea na kumpa kiti ili kufuata katiba,Otherwise, Mobeyo alisimamia katiba,