lukindo
JF-Expert Member
- Mar 20, 2010
- 8,466
- 9,028
Ndio.....
sumsung inatumia line mbili (zantel na voda) na nimesajili voda kama line ya whatsapp na ndio huwa naweka bandle zote.
Nimekuja kugundua kuwa ninaowatumia msg za whatsapp zinaonyesha kutokea line ya zantel ambayo zaidi ya mwaka sijawahi kuweka kifurushi chochote!
Imekaaje hii wakuu!?
cc: pistmshai
sumsung inatumia line mbili (zantel na voda) na nimesajili voda kama line ya whatsapp na ndio huwa naweka bandle zote.
Nimekuja kugundua kuwa ninaowatumia msg za whatsapp zinaonyesha kutokea line ya zantel ambayo zaidi ya mwaka sijawahi kuweka kifurushi chochote!
Imekaaje hii wakuu!?
cc: pistmshai