Exformer
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 837
- 946
Nina blog kutok blogger ila kuiendesh inakuwa ngum ushauri wako plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
dah! yaani km ulinitabiria ndugu, imezima ghafla jana jioni. nimetoka kubadilisha AC hata wiki haijaisha. basi tena. asante kwa ushauri.Hizi simu zinatabia ya kuzima ghafla
Simu nikiishika huwa namshauri mteja auze haraka hata kama ni kwa hasara...maana kifuatacho ni kuuza kama spare.
Kwa hiyo yako uza ndani ya miezi 2
Pole jamaa yangu. Hebu rudi tena kwa fundi..aguse guse kama ikiwaka uzadah! yaani km ulinitabiria ndugu, imezima ghafla jana jioni. nimetoka kubadilisha AC hata wiki haijaisha. basi tena. asante kwa ushauri.
Pole jamaa yangu. Hebu rudi tena kwa fundi..aguse guse kama ikiwaka uzadah! yaani km ulinitabiria ndugu, imezima ghafla jana jioni. nimetoka kubadilisha AC hata wiki haijaisha. basi tena. asante kwa ushauri.
Pole jamaa yangu. Hebu rudi tena kwa fundi..aguse guse kama ikiwaka uza
sio kosa lako mkuu kama waziri wako wa elimu ni kilaza sembuse product zake...Simu inasema unfortunalty android
hii nchi bwana burudani sana, halafu ukitoka hapa unaenda kwenye page ya aston villa kuporomosha utumboMkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Simu huawei kutoka china hai suport google service,google play,youtube,google map, etc.watsap na instagram nmezipata apk.Msaada
Wasiliana nami nikuundie simple website kwa 150,000/= tuuuNina blog kutok blogger ila kuiendesh inakuwa ngum ushauri wako plz
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua simu nzuri kama Infinixdah! yaani km ulinitabiria ndugu, imezima ghafla jana jioni. nimetoka kubadilisha AC hata wiki haijaisha. basi tena. asante kwa ushauri.
Aiseee jamaa kama tatizo ulitatuliwa please nisaidie hata mm simu yangu tatizo n hiohilo had sasa ni tecno K9Nina tecno k9 camera imegoma inaandika nifunge app zote zinazotumia camera (sijui ngeli nimejaribu) na nikiwasha kamera taa ya simu au flash light haifanyi kazi had ni restat ila nikipigiwa kwenye video call inafanya kazi ila kwa ubora wa chini tofaut na mwanzo
Naomba msaada kwa hili.
Qn
Nimemwambia anitumie simu na hajatumaAiseee jamaa kama tatizo ulitatuliwa please nisaidie hata mm simu yangu tatizo n hiohilo had sasa ni tecno K9
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu samahani, nisaidie tafadhali. Nina TECNO F1, kama ujuavyo tayari wenyewe wamesha-install YouTube Go. Kwangu mm YouTube Go siipendi kwani hainipi option ya ku-coment. Nikijaribu ku-install YouTube ya kawaida ambayo inatoa option ya ku-coment inakataa ku-install kwenye kimeo changu hiko cha tecno f1. Naomba unisaidie maarifa ya kuweza ku-install app hiyo. Aksante.Nimemwambia anitumie simu na hajatuma
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
Hizo app ni za adroid nokia mpo uwe na kifaa kama magic na kable yake ndio unairootnina simu yangu nokia 1 nahitaji niiroot lakini imegoma kabisa natumia kila app lakini wap(kingroot framaroot nk) lakini wap.... nitumie application ipi ili niweze kuiroot?
Wakuu Mimi ninatumia itel s11 lakini siku hizi inachukua muda mfupi sana kukaa na chaja. Swali langu ni je, nikinunua betri yake mpya nikaichaji mpaka full, inaweza kukaa muda mrefu kama ilivyonunuliwa na simu ikiwa mpya? Msaada...
Ndio ni smartphone...Itel nao wana smartphone !??