Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 442
- Thread starter
- #721
ROM (haina power ya kuwaka) sasa uko wapi?Simu yangu Samsung s8 inaandika "custom binary blocked by frp" nifanyeje
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
ROM (haina power ya kuwaka) sasa uko wapi?Simu yangu Samsung s8 inaandika "custom binary blocked by frp" nifanyeje
15k nduguUtatoa 20,000/=?
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
ROM (haina power ya kuwaka) sasa uko wapi?
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
duh,noma sana,nishabutuliwaHii uza mkuu hayo majanga na utakemuuzia kama huku muweka wazi utagombanae akijua haina plastore wala huduma ya Google mwambie kabisaa mapema , unaiuza sh ngap mkuu
Kwasababu ni tecno.Jamaa sijawahi kuomba msaada humu ila Leo yamenifika
Tekno K7 hina shida
Yaani laini namba 2 ambayo ni airtel haitoi out call nimejaribu kubadilisha hadi upande lakini wapi bado
Lakini hiyo laini ukiweka kwenye simu nyingine ni fresh unapiga kama kawa so, what reason behind please
dharau hizi ha ha ha ha ha
Hebu restore kabla hujakutana na wapiga notiJamaa sijawahi kuomba msaada humu ila Leo yamenifika
Tekno K7 hina shida
Yaani laini namba 2 ambayo ni airtel haitoi out call nimejaribu kubadilisha hadi upande lakini wapi bado
Lakini hiyo laini ukiweka kwenye simu nyingine ni fresh unapiga kama kawa so, what reason behind please
Hizi simu zinatabia ya kuzima ghaflahabari, mi nataka kujua ukinunua simu mpya hizi za android unatakaiwa ukae nazo kwa muda gani km haisumbui hata mpk ubadilishe nyingine? na je ukikaa nayo miaka minne bila kukuletea shida je kuna tatizo?
halafu mf. simu imebadilishwa AC kuna shida kuendelea kutumia tena km haisumbui?
na je kuna mionzi kwenye simu za android? naomba kujua, asante.
Inajaa baada ya muda gani? Ni sawa na mwanzo?simu yangu samsung c5
kunauwezekano wa kupona
inatatzo inachemka sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeclick Allow imeandika kama ifuatavyo "Screen Overlay detected
To change this Permission setting,you first have to turn of then screen overlay from SettingOpen Settings,bado msaada wako nimhimu
daah ku-restore simu sio jambo la kawaida for this timeHebu restore kabla hujakutana na wapiga noti
yes ila inachemkaInajaa baada ya muda gani? Ni sawa na mwanzo?
Na kuisha kwake?
Lucky patcher, tafuta na apks modHio ni kinyume na sheria
Sent from my Infinix HOT 4 Lite using Tapatalk
Mkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2